Kama ni complicated Malaria ni aibu sana kwa mtu yeyote yule hapa Tanzania kufa na ugonjwa unaotibika kama Malaria. Hasa kwa raisiErio Ameweka Wazi.....
Cause of Death:Cardiac Arrest Secondary to Complicated(Severe Malaria).
Mjadala umemalizwa vizuri na ndg.Erio.
Rest In Peace Benjamin W.Mkapa,aaamen.
I concurNo it is not Corrona. Believe me.
Sahihisha hapo Mkuu alikuwa anapiga story na Mzee wetu RIP aliyekuwa na shambulio la moyo (Cardiac Arrest!) Naomba nikomee hapo na tumuombee Mr. Ben pumziko la amanindammu,
Kumbuka jana yake kikwete alikuwa hospitali na marehemu wakipiga story, sidhani kama hospitali ni wajinga kuruhusu kikwete kama mkapa angekuwa na corona.
Ulitaka Erio akuambie mkururo wa hayo uliyosema?!!!Kama ni complicated Malaria ni aibu sana kwa mtu yeyote yule hapa Tanzania kufa na ugonjwa unaotibika kama Malaria. Hasa kwa raisi
May be had hx of hypertension, coronary syndrome.
Pascal Mayala, hii haistahili ulete habari kama hii mtu kama wewe. Japo siyo Daktari, lakini kuna vingine ni very basic.Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Huyu ni alikuwa mkuu wa ppf kabla haijavunjwa
Mkapa ni National figure.. Tukitegemea hizi taarifa zitolewe na Kiongozi mkuu wa nchi na sio mwana familiaUsiwe mgumu kuelewa. Sasa kama pale palianza kuwa na hiyo idara unadhani imevunjwa baada ya JKCI kuanzishwa?
Au ndo wanachukulia utaalamu pale/ kushea wataalam
Maana yangu ilikua kwamba pale wana uwezo mkubwa kuliko hata kule Muhimbili
Aksante kwa unumbe p.mayala a.k.a Kitimoto, kada mtiifu wa ccmWanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Duuuh😂😂 salama mzeyaBwana jumbe bia yetu aliechangamka...
Mambo vipi mkuu
Ila wananchi waache uzushi..
Wengine wanasema eti ili kuficha ujio wa lissu,
Nani asiye na ubinadamu afanye haya eti kuogopa lissu.
Nadhani wananchi watulie na wazingatie sababu zinazo elezwa.
Mkapa ni National figure.. Tukitegemea hizi taarifa zitolewe na Kiongozi mkuu wa nchi na sio mwana familia
Mbona taratibu nyingine ni Serikali ina fanya?
Ukiwa huna hoja, ukiwa huna uwezo wa kujenga hoja, matokeo yake ndo haya sasa!Wee jamaa sijui hata kuishi kwako huko Marekani unakuza vipi akili yako! Yani mawazo yako na ya yule msukuma wa kule Sumve ndani kabisa hayana tofauti. Upo hovyo balaa!
Mkuu wataalam wetu wa humu ndani wamefafanua ktka posts....Tatizo in kuwa unakuta mtu haelewi màana ya cardiac arrest,hajui inatokeaje na hajui inakuwaje baada ya kumpata mtu mtu.
P kuna ukakasi mwingi sana kwenye hizo sababu za kifo hebu tuzame mtandaoni tuone cardiac arrest inatokeaje kwanza
[/QUOTd
Siri kwa Tanzania huwa ni kwenye Corona pekee lakini magonjwa mengine kwa Tanzania ya viwanda huwa yapo wazi,Sioni haja ya kujua marehemu kafa Na ugonjwa gani?.
NI UTARATIBU MBAYA.
ugonjwa wa marehemu ni siri yake Na ndugu zake.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Tanzania ya viwanda gonjwa la corona ni siri kubwa hupaswi kulisema mbele za watuCorona Tanzania haisemwi maana Ina mahusiano na umaarufu wa mtu
Tafasiri ya umbea ni kupokea taarifa au kusambaza taarifa ambayo hukuiomba hata wewe ni mbea kwani unahangaika kukataa siyo corona huo ni umbea pia, maana ya umbea ni kusikiliza kupokea taarifa ambazo hukuziomba zije bali zimeletwa na watu.Mnalazimisha watu waongee kwa umbea wenu wa kwenye mitandao na wanasema jambo la uongo lisipokanushwa linageuka kuwa la kweli