kidaganda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2013
- 2,995
- 2,572
Aisee nimekuja kugundua hii nyimbo ya Salome ina matusi tena ya mwendo kasi
Hasa ka reyvanny
Kwanza anaanza kama anamsifia mwanamke eti
"kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodoka, mwendo na shepu vyote mwanana mi suruali yanidondoka"
Hapo kakaanza matusi madogomadogo sasa suruali inakudondoka je??
Akaendelea
"Tukimbizane nini Salome wangu hiyo michezo ya jogoo"
Matusi yakaendelea
"mbona watizama chini salome wangu ukimwona jongoo (kidudu)"
Matusi yakaanza kuwa makubwa
"inama chini shika magoti (doggy flani) mi nimesimama kama ngogoti (kadinda)"
Mtoto jojo (mlaini) sio roboti (sio mgumu kama chuma) chumbani bingili bingili samasoti"
Aisee dai si akaingia kucement matusi kabisa maana kumbuka hapo mtoto kashabog'oa na jamaa kashadinda na kashamshikashika kagundua mlaini
Dai sasa
"unantekenyaga ukinyonga Salome, unantekenyaga ukinyonga" (hapo sex inaendelea Miksa Mtoto anakatiba balaa)
Verse ya dai naye akaendeleza sex maana utasikia "utamu kolea" Mara "ting'ari tig'ari ndani kwa moto" huku akijisifulia kuwa na yeye kwenye sex sio "ngenge ni nganga"
Mama yangu Ray si akaja na matuzi makubwa zaidi
"Baby kwangwau isimamie kama kangaroo, ibane kangwau babu nyuma mpige kwakwalu kwakwalukwa" hapo ni obviously alikuwa anakaribia kucome
*Matusi matupu*
Niko natafakari kwasababu Mimi ndo nilimtumia hii nyimbo mshua madai asikilize wimbo Wa saida umeimbwa na dai na nikaisifia sana sasa najiuliza akiniuliza maana ya wimbo nitamjibu je
Hasa ka reyvanny
Kwanza anaanza kama anamsifia mwanamke eti
"kioo hakidanganyi mama umejipodoa umepodoka, mwendo na shepu vyote mwanana mi suruali yanidondoka"
Hapo kakaanza matusi madogomadogo sasa suruali inakudondoka je??
Akaendelea
"Tukimbizane nini Salome wangu hiyo michezo ya jogoo"
Matusi yakaendelea
"mbona watizama chini salome wangu ukimwona jongoo (kidudu)"
Matusi yakaanza kuwa makubwa
"inama chini shika magoti (doggy flani) mi nimesimama kama ngogoti (kadinda)"
Mtoto jojo (mlaini) sio roboti (sio mgumu kama chuma) chumbani bingili bingili samasoti"
Aisee dai si akaingia kucement matusi kabisa maana kumbuka hapo mtoto kashabog'oa na jamaa kashadinda na kashamshikashika kagundua mlaini
Dai sasa
"unantekenyaga ukinyonga Salome, unantekenyaga ukinyonga" (hapo sex inaendelea Miksa Mtoto anakatiba balaa)
Verse ya dai naye akaendeleza sex maana utasikia "utamu kolea" Mara "ting'ari tig'ari ndani kwa moto" huku akijisifulia kuwa na yeye kwenye sex sio "ngenge ni nganga"
Mama yangu Ray si akaja na matuzi makubwa zaidi
"Baby kwangwau isimamie kama kangaroo, ibane kangwau babu nyuma mpige kwakwalu kwakwalukwa" hapo ni obviously alikuwa anakaribia kucome
*Matusi matupu*
Niko natafakari kwasababu Mimi ndo nilimtumia hii nyimbo mshua madai asikilize wimbo Wa saida umeimbwa na dai na nikaisifia sana sasa najiuliza akiniuliza maana ya wimbo nitamjibu je