Kumbe sex bila kuzama chumvini haijakamilika!

Kumbe sex bila kuzama chumvini haijakamilika!

Acha unafki....tukuulize wewe uliyepractise.....Uchi unyonye wewe,swali utuletee siye...ila kumbuka shahawa umalizika kutoka siku tatu tangu sex...Ivo kama alipigwa Juzi na mshkaji mwingine...ulichonyonya si uterezi wa mwanamke bali ni shahawa za mwanaume mwenzio...nitajiosha,utanikuta Safi kwa nje ila unavyovifyonza vinatoka uzazini kule hatugusi kwenye hatua ya kujisafisha....SIJUI UMENIELEWAA!?
Alooo kumbe tunalamba shahawa za midume wengine😲😲😲😲
 
Aisee.

Mapenzi ya sasa yamekuwa moto.

Tumeacha Romance tumejifunza ya kwenye video sasa tunafanya Prac.

Kuzama chumvini imekuwa kitu cha kawaida. 69 imekuwa normal.

Watu wameacha asili wamekuwa wajuzi wa mambo.

Tunaelekea wapi?
Asili ni nini?
 
Yaani hii ni case ya sinners judging other sinners for sinning differently.. Asiye na dhambi arushe jiwe.. Wewe kama mungu wako aliyetengeneza sayari trillions huko galaxy billions anaumia kisa Kanjunju kamlamba demu wake chumbani kwake.. ujue hio dini ina matatizo.. Kuna mambo mengi ya maana.. utapeli, ufisadi, mauaji, disasters tofauti, njaa, vita.. huyo mungu wako hajali hayo ..anajali watu wanafanya nini chumbani... Afu asili ni nini? We aliyekuambia alichofanya Mudy uarabuni miaka ambayo hata gazeti hamna na si tufanye ni nani? We huwezi acha.. upo hapa unatishia moto watu wazima...tishia watoto wako kwamba usiponisikiliza Nitakuunguza.. eee si ndo baba Bora huyo...
🤣Mtu Yuko busy na starehe za watu ...haumiliki mtu hii nchi
 
Back
Top Bottom