Kumbe shida kubwa kwa WanaCHADEMA ilikuwa ni kulamba asali na wala sio maslahi mapana ya umma. Shida kubwa ilikuwa mpate mlo wala sio kutetea wananchi

Kumbe shida kubwa kwa WanaCHADEMA ilikuwa ni kulamba asali na wala sio maslahi mapana ya umma. Shida kubwa ilikuwa mpate mlo wala sio kutetea wananchi

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!

Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?

Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
👇
20220604_013508.jpg
 
Kwa nini unalazimishia CHADEMA waende kadri ya matakwa yako ewe mataga?
Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!

Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?

Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
[emoji116]View attachment 2249836
 
Wewe utakuwa Sukuma gang,
Wenzenu wanalamba asali nyinyi mpo mitandaoni mnapambana na hiyo mnaita sukuma gang 😂😂

Bavicha wanaenda kwenye mpaka kwenye mechi na t-shirts za katiba mpya alafu wanaemdai katiba mpya anakula bata na Mbowe na Sugu wakiwa wamevaa suti za nguvu hawavai uchafu umeandikwa katiba mpya 😂😂😂

Asali ni tamu tuendelee kuilamba Lissu anachekelea mahela yake anasema mama ni mtenda haki 😄
 
Wewe kijana acha dharau. Mimi sio Mataga. Kwani si mlijinasibu kuwa nyie ni wapinga ufisadi?
Unao uhakika kwamba CDM imeacha kupinga ufisadi?Je,waliopo Bungeni wameitendeaje ripoti ya CAG?Ulitaka CDM ifanye nini kuhusu hilo suala la ufisadi wa CCM.
Mlipowanyang'anya CDM ubunge na Urais mlitegemea kuwa CCM inaweza kuacha ufisadi?CCM ya JPM ilijinadi kuwa wapinzani wametuchelewesha kimaendeleo,je tumefikia wapi kimaendeleo?
Haya ndiyo yanatufanya tuendeleze madai yetu ya Katiba ya Wananchi wa Tanzania ya Tanganyika na Zanzibar.
 
Nikiona mtu anatoa povu eti kuna mwanasiasa fulani anampambania uwa namdharau sana. Nchi hii aliyekuwa anapambania watu wa chini ni Magufuli peke yake na hakuna mwingine atatokea kwenye kizazi chetu.
Yupo wapi huyo mpambanaji wenu?Rejea kauli ya kachero BM.
 
Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!

Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?

Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
👇View attachment 2249845
Magufuli aliwakosea sana kwa kuwanyima hata tone moja tu. Alikuwa akikutana nao, watapiga picha tu lakini hawapati hata tone moja.
 
Sasa
Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!

Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?

Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
👇View attachment 2249845
Sasa wakulaumiwa ni aniue hakuwa asali au anaye hawa asali.Siku zote mpishi hawezi kufa na njaa mimi nahakika CDM bado ipo kwenye pisition nzuri ktk kutekeleza malengo yao.
 
Nikiona mtu anatoa povu eti kuna mwanasiasa fulani anampambania uwa namdharau sana. Nchi hii aliyekuwa anapambania watu wa chini ni Magufuli peke yake na hakuna mwingine atatokea kwenye kizazi chetu.
Anapambania maskini kwa kumnyanyasa tajiri? Anadai Nchi ya maskini lkn kodi anachukua kwa matajiri [emoji23][emoji23][emoji23] angewalipisha kodi maskini.
Alijisahau kua maskini haohao wanamtegemea tajiri kuishi, hakujua ndio anawafanya maskini wazidi kua maskini,

MUNGU FUNDI BWANA
 
Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!

Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?

Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
👇View attachment 2249845

Mtakuja na propaganda nyingi kuficha hasira zenu. Huyo profesa Mkumbo mwenyewe kaondolewa uwaziri ataongea nini?.
 
Back
Top Bottom