kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kitila hovyo kabisaSasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!
Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?
Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
[emoji116]View attachment 2249845
kwani kupinga ufisadi ni kazi ya chadema peke yao? hata wewe unaweza kupinga sio kila kitu mfanyiwe na chadema nyie mataga,Wewe kijana acha dharau. Mimi sio Mataga. Kwani si mlijinasibu kuwa nyie ni wapinga ufisadi?
SaluteNikiona mtu anatoa povu eti kuna mwanasiasa fulani anampambania uwa namdharau sana. Nchi hii aliyekuwa anapambania watu wa chini ni Magufuli peke yake na hakuna mwingine atatokea kwenye kizazi chetu.
Umasikini wako hautakwisha Kwa kumchukia Rais Samia na Chadema. Utakufa kwa kihoro mwaka huu, tafuta mume uolewe tu Meko kafa na hatafufuka kamwe.Sasa hivi imekuwa kila neno ni maridhiano. Maridhiano gani mnayodai kuwa eti ni kwa ajili ya haki na usalama wa nchi wakati sasa inaonekana mnafumbia macho ufisadi kwa kisingizio cha maridhiano!
Kwa nini hamtaki kukubali ukweli tu kumbe shida yenu kubwa ilikuwa ni kupata chochote kitu kwa ajili ya matumbo yenu?
Mmelamba asali sasa mnaona mmepata kila kitu
[emoji116]View attachment 2249845
NomaaMagufuli aliwakosea sana kwa kuwanyima hata tone moja tu. Alikuwa akikutana nao, watapiga picha tu lakini hawapati hata tone moja.
Pooovuuu hadi mjifungue nyie virobotoTangu lini ibilisi akampambania mwananchi. Ibilisi Magufuli aliwatumia wananchi Kama chambo.
Chuki ikaanzia hapa.Magufuli aliwakosea sana kwa kuwanyima hata tone moja tu. Alikuwa akikutana nao, watapiga picha tu lakini hawapati hata tone moja.
Tunaangalia kila chama na mlengo wake.Leo m
Leo mnaitegemea CHADEMA. Mnaichagua CCM halafu mnaipangia CHADEMA Cha kufanya?. Kuna vyama vingi nendeni huko acheni kiherehere.
Una roho ya kimasikini sana wewe kama yule ibilisi aliyefukiwa hule chatoTunaangalia kila chama na mlengo wake.