Kumbe shida kubwa kwa WanaCHADEMA ilikuwa ni kulamba asali na wala sio maslahi mapana ya umma. Shida kubwa ilikuwa mpate mlo wala sio kutetea wananchi

Kitila hovyo kabisa
 
Kwa kuwa unachosema sasa kazi hiyo umeachiwa wewe jaribu kuwapigania wanan hi tukuone
 

Attachments

  • IMG-20220604-WA0000.jpg
    38 KB · Views: 5
CDM inamtizamo wake na inatenda inavyo ona sawa na wewe, wakati wa jiwe kwakuwa ulikuwa unapatiwa damu za watu alio waua na kuwakandamiza hukuonekana kuumia mana udhalimu uliokuwa unafanyika ni furaha kwako.
CDM wakati huo walikuwa wanaumia, kama we we unavyo umia na amani na haki iliyopo sasa.
 
Umasikini wako hautakwisha Kwa kumchukia Rais Samia na Chadema. Utakufa kwa kihoro mwaka huu, tafuta mume uolewe tu Meko kafa na hatafufuka kamwe.
 
Chadema wameteswa sana, wamelemazwa sana, wameuliwa sana na mzee wa Chattle. Its time nao wapumue kidogo. Mungu ibariki CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…