Tetesi: Kumbe Sio Ushawishi Bali ni Vitisho vya Kimafia Vinatolewa!

Tetesi ni kama habari ya kiuchunguzi hivyo mwenye lolote liwezalo kuifanya isiwe tetesi kwani anao ushahidi anaweka hapo. Huna la kuandika kula kona!
Ninalo la kuandika. Jamii yoyote ya watu wanaojielewa wanajadili facts zenye ushahidi wa kujitosheleza.

Tetesi ni jambo ambalo halina uthibitisho. Kama halina uthibitisho ina maana laweza kua kweli au sio kweli.

Sasa kwanini tujadili kitu ambacho hatuna uhakika kama ni kweli kimetokea, wakati kuna vitu vingi vyenye uthibitisho kwamba vimetokea?
 
Unapaswa kutumia akili, unaona JF walio weka icon ya Tetesi walikuwa wajinga na hawakujua huo werevu wako?
 
Haiwezi kuwa kweli. Labda kama ni comedy
Unaelewa nini walifanyiwa masheki wa Uamsho mpaka wakalalamika mahakamani? Acha kufikiri tunaongozwa na waungwana wakati sio kweli. Kuna tabia za kishenzi huwezi kuamini kabisa kwamba zinapangwa na watu hao
 
Kulawitiwa tena?
 
So tuna uongozi wa juu wa nchi unaofanya uchafu wa kulawiti...hii ni dhambi isiyosamehewa, naomba mkono wa Mungu upige kichwa cha kiongozi anayependa uchafu huu, hatupaswi kuongozwa na mashetani!
Ni kweli kabisa. Niliposikia wakati ule wale mashehe wa Zanzibar wanalalamika mahakamani kuwa wanaletwa watu mahabusu walipo wawadhalilishe sikuamini kabisa, lakini nimeanza kuona mantiki ya malalamiko yao.
Ni aibu kuwa na watu wa aina hiyo
 
Kama ni kweli wanatishiwa kwa nini wasi report kwenye vyombo vya dola na kuwataja hadharani wanaowatishia?
 
Waondoke wote tutabakia na CHADEMA yetu na bendera kuliko kupenda shetani ccm
 
Hoja za waitara hazikuwa na mantiki kabisa, wakati anaongea macho na uso wake vilionyesha siri nzito...
Umenikumbusha Kova alivyokuwa anatoa statements zake mbele ya media
 
Muulize CHAHALI knows better maana anasema kuna "KOMPROMAT", hata PAULO ame MKOMPOMAT mzee wetu. Amesema ipo siku ataelezea jambo hili vizuri.
Tuombe uzima
 
Chakaza hebu tupashe ubongo moto kidogo. Hivi leo hii mimi au wewe akikufuata mtu na akakuambia acha kazi yako hama nyumba yako uliyojenga unayoishi la sivyo atatafuta watu wakulawiti, kukupiga picha na kuzisambaza utahama? Nadhani atakayeamini tetesi kama hii atakuwa na ubongo nusu. Unataka kuniambia kuwa sasa wanawaume wa Tanzania wamekuwa waoga kiasi ambacho wako tayari kufanya lolote wanaloamriwa na majambazi ili tu wasilawitiwe na kupigwa picha?
 
Hivi utamlawiti Mkurya tena Waitara? kapitia kote mpaka UDSM
ina maana hajui TISS wako wapi polisi hata mbinu za kikurya
hebu acheni visababu vya uongo
 
Mzee hiyo sio style, huo ni mchakato mrefu sana hadi kufikia huko. Subiri utakuja yasikia. Na sio wote wanakuwa approached namna hiyo wapo wa mshiko pia
 
Hivi utamlawiti Mkurya tena Waitara? kapitia kote mpaka UDSM
ina maana hajui TISS wako wapi polisi hata mbinu za kikurya
hebu acheni visababu vya uongo
Nacho tendewa huyu siyo atendewacho yule. Hiyo vitisho madiwani wengi ndio waathirika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…