Kumbe Stend Nyegezi kuna gulio la ngono

Kumbe Stend Nyegezi kuna gulio la ngono

Mkuu hiyo ni kawaida sana maeneo hayo. Kuna chimbo liko hapa Buhongwa, nasikia hadi polisi wanapewa chochote kitu ili chimbo liendelee. Ulizia chimbo linaitwa 'Mudo'.
 
Si nawapa makavu wale wanaobisha watu wa Jf hatuna magari. Relax
Hayo makavu ya kitoto,kawape wadada wenzio. Mimi kwangu gari sio kitu nimeanza kumiliki gari toka 2011. Kuna vitu vya kuringia watu sio gari
 
Duuuh saizi imekuwa jambo la kawaida sana,hapo Riverside ubungo napo saizi pamoto,kuanzia Kinyaiya Pub unashuka mpaka Kituo cha Mabibo hostel ni malaya tu wamejipanga na wanawahi sana, kuanzia 1830pm wameshajipanga, inasikitisha sana cos wengi ni mabinti wadogo sana kiumri
 
Duuuh saizi imekuwa jambo la kawaida sana,hapo Riverside ubungo napo saizi pamoto,kuanzia Kinyaiya Pub unashuka mpaka Kituo cha Mabibo hostel ni malaya tu wamejipanga na wanawahi sana,kuanzia 1830pm wameshajipanga, inasikitisha sana cos wengi ni mabinti wadogo sana kiumri
Dah, inauma sana kwa dada na mama zetu hawa. Wengine unakuta ni mabinti wadogo kweli! 😥
 
Kuna siku nilipita kule ccm kirumba kwa nyuma aise nilichokiona kina sikitisha sana ni zaidi ya sodoma na gomola
 
Kutaja Hilo chimbo uoni police wataenda hapo kuwasumbua kwann ujaamua kukaa kimya maana unaelewa mtaani Maisha yalivyo Magumu so police wakiwakamata unajua what going on?
Naona bwana mdogo unawapambania dada na shangazi zako kwenye biashara yenu pendwa ya zama na zama.
No wonder maybe you been raised through these activities...!
 
Nimesema niliongea na yule dada aliyetaka tutafute chumba
Sawa ni kweli uliongea na huyo na umeishaeleza.

Swali ni kwamba: hao vijana wadogo waliokuja kubagain na malaya kwa buku 2/5, wewe ukiwa umepozi kwenye gari lako, maongezi hayo uliyasikiaje?

Ndiyo msingi wa swali.
 
Hivi lile chimbo la CCM kirumba Bado lipogooo wakuu🤣
Haaaahaaa mkuu pale ni hatari nadhani litakuwepo ni ngumu sana haya machimbo kufa. Pale ikifika saa moja tu kazi inaanza yaani watu wanagaragazana kwenye nyasi. Ikipita gari unaona viuono tu vinachezacheza af wakiona gari la patroo wanatimua mbio na nguo zao mkononi yaani pale kirumba ni vichekesho vitupu.
 
Mkuu wa huko Dar na mikoa mingine wanalipa Ushuru? au jiji linafaidika vipi na hiyo biashara pendwa? Mfano jiji la Kifirauni Dar limefaidika vipi na hiyo biashara. Acha watu wapige kazi mkuu na sio hapo Nyegezi tu maeneo mengi hapo Mwanza wanawake wanakodisha vikojoleo vyao, mfano Villa parck, Daimond, Bundasilga, Buhongwa pote hawalipi ushuru acha watu wapige kazi.
 
Mkuu wa huko Dar na mikoa mingine wanalipa Ushuru? au jiji linafaidika vipi na hiyo biashara pendwa? Mfano jiji la Kifirauni Dar limefaidika vipi na hiyo biashara. Acha watu wapige kazi mkuu na sio hapo Nyegezi tu maeneo mengi hapo Mwanza wanawake wanakodisha vikojoleo vyao, mfano Villa parck, Daimond, Bundasilga, Buhongwa pote hawalipi ushuru acha watu wapige kazi.
Next month nakuja hapo,ntakutafuta mkuu unionyeshe hizo chimbo nikate kiuuu,nina kiu hatari jombaa,ntaka nipambane na hao wala sangara
 
Back
Top Bottom