Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...

Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.

Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.

Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.

Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.

Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.

Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?


Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.

Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.

Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.

Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.

Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.

Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.

Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco

Yaani pasco uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo? Too bad!
 
Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.

Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.

Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.

Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.

Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.

Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?


Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.

Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.

Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.

Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.

Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.

Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.

Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco

Kama siku umeleta utumbo kwenye baraza hili basi hii ndio utumbo uliopita yote. Kwa yoyote aliezaliwa Zanzibar, na sio memba wa maskani ya Kisonge au "wakuja" atakwambia video yako ni ya kupika na mpishi tunamjua.

Sote tunajua nani kamuua Karume na kwa sababu gani.Mauaji ya Karume yalikuwa hayana malengo ya kubadilisha utawala yalikuwa na malengo ya kumuondoa mtawala. Ukuiljua hilo inatosha ya kujibu utumbo wako hapo juu.Vilevile unajua watu kadhaa waliotuhumiwa kushiriki mauaji walipewa " hifadhi bara" na hata hapo Alhaj Jumbe alipojitahidi kuwaomba washtakiwa kwena Zanzinzibar kujibu mashtaka walikingiwa kifua na bara. Mtuhumiwa mkubwa kuliko wote alikuwa Col. Ali Mahfoudh, ambae alikuwamtu wa kwanza kufika sehemu ya aliouwa Mzee Karume, na kuupiga teke maiti ya muuaji, Humud na kusema " bloodyful". Baadae Col. Mahfoudh alipandishwa cheo! Tunajua ni kwa nini matokeo ya uchaguzi yanakuwa kama yanavyokuwa. Hayana mkono wa Jamshid wala Oman yana mkono wa Tanganyika kuendelea kuitawala Zanzibar na kuzimeza rasilimali zake.

Sipingi kama Jamshid alifurahi alipouliwa Karume, lakini watu hao walikuwa wengi, fanya utafiti zaidi na hasa Tanganyika. Kuna kiongozi mmoja wa Tanganyika hakuweza kuzizia hisia zake na kusema " jinamizi " limeondoka. Kuna watu wamepika pilau Zanzibar na wengine kunyongeka na hili ni jambo la kawaida kwa msiba wowote ambapo utokeaji wake unaweza kuleta faraja au kutokea kwake kutaleta majonzi u furaha.

Msiwafanye wazanzibari mazuzu kiasi hicho. Mbinu hizi zinajirejea tu kupumbaza ili kumficha adui wa kweli wa Zanzibar. Nakuheshimu lakini kwa video ya kuungwa ungwa na kuwekwa vionjo kwenye midomo ya watu hayo sio tu hayanogi lakini umeonesha rangi zako halisi. Sikuamini tena
 
Umenisaidia kuiona hii clip lakini nataka kukupinga kuhusu kuamini kuwa Maalim Seif huwa anashinda na kunyimwa ushindi wake. Nachosema hii kauli haina ukweli. Maalim Seif hajawahi kushinda uchaguzi wowote tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze. Mwaka 1995 utata ulikuwa ni kwenye kokotoa matokeo kwani kura zilizoharibika hazikutumika katika kupata asilimia 52% za Salimin wala za Seif. Iwapo zingetumika uchaguzi ungerudiwa kwani katiba ilitaka mshindi ni aliyepata zaidi ya asilimia hamsini.
Baada ya kuuona huu usumbufu, katiba ya JMT na ya Zanzibar zilibadirishwa na kuruhusu ushindi kwa kuzidi kura. Pia kufungu cha kuruhusu jimbo kuwa wazi kwa siku 90 nacho kilibadirishwa na kufanya jimbo laweza kuwa wazi kwa miezi 25 au kadiri bunge litakavyoona inafaa.
Pia hapa umetumia neno kila siku anashinda lakini hatangazwi. Hapa naona naona umetia ufundi tu wa kucheza na maneno kwa kutia chumvi kidogo maana ingekuwa hivyo sasa hivi ningekuwa nasubiri kutangazwa matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana.
Tuthibitishe niliyosema kwa kwenda kudurusu vyanzo husika kama ZEC na nyingine nyingi ukweli utabainika kuwa Seif hajawahi kupata kura nyingi kuliko mgombea wa urais yeyote wa ccm Zanzibar.
kuhusu seif kushinda siku zote hlo halina shaka,tatizo 'hatuwapi' kwa aina ya 'utu' walio nao
 
Masopakyindi, Maalim will be president trust me.
I will make the logistics very clear for you.

1. Maalim has all the big international players on his back.
2. Maalim has the support of the majority and respectable personalities in Zanzibar.
3. Maalim and CUF have a cause to fight for because yes they won.
4. Maalim has done his homework to prapare his people for the struggle.
5. Maalim has chosen a strategy that can harm CCM the most and that is non violent struggle though it could go vieolent if CCM push too hard.
6. CCM doesnt have a cause to fight, they are devoid of moral authority.
7. There isnt so much at stake for Tanganyika to risk a full scale civil war in Zanzibar which could also backfire in Tanganyika and set a precident in other elections.
8. If it boils down to arms, Zanzibar is a very fragile zone and dont forget that the kind of people that will be involved dont have a harbit of shying away from arms.
Mkuu you are misled!
Maalim is a goner!
Maalim amekuwepo si leo, bali jana na juzi na kila mara amekuwa akifungwa goli la uhakika bila matatizo.
Maalim ni mteja wa CCM!
As for arms, jiridhishe na kifua kilchokuwepo visiwani wakati wa uchaguzi!!!
 
Ntarudi baadae,huyu sultan nilimsoma juu juu tu,hata hivyo ataendelea kuziwekea kivuli siasa za Zanzibar mpaka pale wahafidhina uchwara wa Ccm watakapotangulia mbele ya haki,vijana wengi hawana habari na propaganda za ccm
 
Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.

Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.

Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.

Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.

Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.

Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?


Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.

Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.

Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.

Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.

Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.

Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.

Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco

Pasco,
Jamshid
kufurahia kifo cha Karume si jambo la kupendeza na si kitu cha
sisi leo kukipa uzito.

Ila nashindwa kufanya mjadala wowote wa maana kwa kuwa katika maandishi
yako hakuna ''sense,'' ila ni ushabiki.

Tabu sana kujadili ushabiki.
Nimekuja hapa kwa moja tu nalo ni kuhusu Usultani Zanzibar.

Nimezungumza na wanasiasa wa juu kabisa katika Zanzibar na watu waliopigania
uhuru wa Zanzibar na wote walinambia kuwa kuondolewa kwa Sultani Zanzibar
lilikuwa jambo la muda tu.

Wanasema Sultani asingeweza kuwa na maana yoyote katika siasa zile za 1960.
 
Juzi waarabu saba wameuana mwanza

juzi waarabu wamembaka binti guest


Siku kadhaa waarabu wafugaji wameuana na waarabu wakulima


Muarabu mwenye macho mekundu anauliwa waarabu wenzake eti mchawi

Muarabu albino anauwawa eti ni dili kwa waarabu weusi
 
Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.

Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.

Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.

Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.

Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa
Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akaw
a anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea
Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.

Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siu
ngi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya
kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yo
yote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongo
ni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.



Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo

Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani

Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.
Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni ninikilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena
Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.


Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi ya
o zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.
Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la
uchaguzi hadi uchaguzi!.
Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni

kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.
Pamoja na madhila yote ya Muungano
yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukwel
i kuna maeneo fulani fulani, Muungano
umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.
Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco


Hizo ni sababu za ccm kujihalalishia kutawala. Kweli mtu mzima na akili anaamini kama waarabu wanataka kurudi zanzibar zama hizi! Mbona wanaofurahia vifo vya wenzao ni wengi tu, hata ccm wanafurahia kuuwa wapinzani na ndio maana huimarisha jeshi wakati wa uchaguzi! ikiwa serikali iko tayari kuuwa raia wake kuna nini cha kushangaza kwa mtu kufurahia kifo cha wa mbali. CCM watafute njia nyengine za kudanganya watu wa zama hizi, mbinu hizi zilitumika nyima ila sasa kila mtu anaelewa ukweli, si wakati wa kuburuzwa tena.
 
Juzi waarabu saba wameuana mwanza

juzi waarabu wamembaka binti guest


Siku kadhaa waarabu wafugaji wameuana na waarabu wakulima


Muarabu mwenye macho mekundu anauliwa waarabu wenzake eti mchawi

Muarabu albino anauwawa eti ni dili kwa waarabu weusi
Karibu na endelea kwa kasi hiyo hiyo na ari, usichoke
 
Nimezungumza na wanasiasa wa juu kabisa katika Zanzibar na watu waliopigania
uhuru wa Zanzibar na wote walinambia kuwa kuondolewa kwa Sultani Zanzibar
lilikuwa jambo la muda tu.
Nafikiri umezungumza na wana mapinduzi wa Maskani ya Kisonge! Sultan Zanzibar kaondoka hakupinduliwa. Aliepundiliwa ni serikali ya Moh' d Shamte. Jamshid kaondoka Zanzibar saa sita akiisubiri meli ya MV. Salama kutoka Dsm ikifanya safari za kawaida,ilifika na kutia nanga , ikashusha abiria na watu wakaelezwa yaliotokea. Wengine walishuka na wengine hawakushuka wakaondoka na Jamshid. Wakati huo Mhammed Shamte na baraza la mawaziri wote wameshakamatwa. Kama lengo ni Jamshid kwa nini hawakumkamata?
 
ccm wanatapatapa kutafuta kuungwa mkono na kupunguza hasira za watu ila wamechelewa.Wamechukua madaraka kwa nguvu lkn bado wanaumia wakiona support na mapenzi ya wazanzibar kwa maalim!
 
Hahahahaah!! Pasco wakati mwingine nabaki nacheka tu.

Wewe umezaliwa Magu wakati huo ilikuwa Wilaya ya Mwanza, Pwani umekuja baada ya Mzee kuja kufanya kazi kwa waungwana cha kuchekesha unawafundisha watu wa pwani historia ya mapinduzi ya Zanzibar daah!

Ni sawa mtu atoke Kengeja Zanzibar, mpaka Misungwi Mwanza, awafundishe wasukuma historia ya Mwanamarundi.
 
Mapinduzi matukufu Zanzibar yanaendelea tu kuanzia 1964........ 2000, 2005,2010,2015 - kitu kimoja kinayaendesha haya mapinduzi - kupindua maamuzi ya sanduku la kura
 
Thread za kipumbavu.kwann mnataka kutugawa? Wote tunapita hapa duniani waasisi wapo wapi?njaa zisitutoe utu.unamuwaza sultani tu mbona humuwazi mjerumani
 
Nafikiri umezungumza na wana mapinduzi wa Maskani ya Kisonge! Sultan Zanzibar kaondoka hakupinduliwa. Aliepundiliwa ni serikali ya Moh' d Shamte. Jamshid kaondoka Zanzibar saa sita akiisubiri meli ya MV. Salama kutoka Dsm ikifanya safari za kawaida,ilifika na kutia nanga , ikashusha abiria na watu wakaelezwa yaliotokea. Wengine walishuka na wengine hawakushuka wakaondoka na Jamshid. Wakati huo Mhammed Shamte na baraza la mawaziri wote wameshakamatwa. Kama lengo ni Jamshid kwa nini hawakumkamata?
Haya ulioyasema humu ndio yale nilioyasema humu kuwa
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa!, walijiondokea wenyewe!, hakuna yoyote aliyekuwa akimtafuta sultani ni uoga tuu ndio ulimkimbiza!.

Pasco
 
Back
Top Bottom