Nadhani Hujamuelewa Pasco. Maalim Anaogopwa Na Watawala Na Si RaiaUmeandika vizuri sana ila umekosea sentensi moja tu ambayo imefuta maana yote ya Makala yako, maalim Seif Sharif Hamad ni kipenzi cha wazanzibari kwa hiyo ishu sio rangi nyeusi au ya kiarabu
Pasco huwezi kumfananisha na Mudi.Mudi ni hatari sana kwa ustawi wa nchi hii.Pasco na Mohamed said wote ni wachochezi..wanatofautiana dini tu..mmoja mkristu mwingine muislam
Kwa nini mnachukia mkiambiwa ukweli?tundu dogo itakua linamuwasha
Ukweli utabaki tu. Seif Hamad hatapata ongoza Zanzibar hata nusu siku. Ale tu pesa ya Oman urais asiote. Mapinduzi yalishawatoa waarabu wapumzike salamaWewe ndio umekosea sana, Maalim ni kipenzi cha Usultani na Sultani Jmshid.
Na ndio maana hataweza kuwa Rais wa Zanzibar.
Mapinduzi Daima!!
Nani kakudanganya kuna taifa kubwa litakuwa pamoja na Seif au ni zile statement za usa and eu. Zile ni statement tu sio support au endorsement ya Seif. Msidanganyike hata kidogo hakuna kitu pale mtaishie segerea+plus Tanganyika haitegemewi kuungwa mkono na nchi yoyote katika vita vya serikali dhidi ya watu wake kama ikitokea Zanzibar ila wananchi wa Zanzibar chini ya Maalim wataungwa mkono na mataifa makubwa ambayo yameshaonyesha utayari. Na sidhani kama Ngosha atakomaa sana maana atarisk regime change Tanganyika. Anachokifanya Maalim ni kuifanya serikali na jeshi liingie kwenye mkakati wake halafu ngoma itwangwe.
Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...Mapinduzi Daima!. Muungano Milele. Pasco
Pasco shikamoo kaka!Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.
Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.
Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.
Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.
Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.
Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?
Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.
Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.
Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.
Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.
Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.
Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.
Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco
Mkuu Jebbs,damu ni nzito kuliko maji!!Pamoja na facts zote hizi, wale machotara wa Pemba bado watabisha, hata ukimkumbussha umekuwa chotara sababu wale Waarabu waliotawala hapa, waliokuwa wanawauza kama kuku au mbuzi, waliwalawiti na kuwabaka mama na bibi zenu, ndio mkatokea, watabisha, ukiwakumbusha asili ya Pemba na Unguja, au binadamu wa kwanza walioshi huko visiwani ni WABARA wa pembezoni mwa Tanganyika(Tanga, Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, Kilwa) bado watabisha, sasa sijuwi tuwasaidie kivipi?! Na ni kwanini kelele zote hizi zapigwa na machotara tu?!
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa!, walijiondokea wenyewe!, hakuna yoyote aliyekuwa akimtafuta sultani ni uoga tuu ndio ulimkimbiza
Kwahiyo alipokuwa serikali ya CCM huyo maalim hamkujua ni mtoto wa sultan mpaka pale anapogombea urais kupitia CUF??? je mlipompa umakam wa Rais hamkujua ni mtoto wa sultan???Wanabodi,
Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!.
Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!.
Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nimekutana na video nyingi zenye urongo wa kupikwa kwa kuuchanganya na ukweli kidogo tuu ili ku make believe kuwa kila kitu ni kweli tupu!.
Lakini miongoni mwa video hizo za urongo, nimekutana video hii ambayo ni ya kweli,
inaonyesha mahojiano ya Sultani wa mwisho aliyepinduliwa Zanzibar katika yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, na kukimbilia uhamishoni!, huyu ni Sultan Jamshid!.
Baada ya mauaji ya Muasisi na Shujaa wa Mapinduzi yale Sheikh Abedi Amani Karume, mwaka 1972, BBC ilifanya mahojiano na Sultan huyu mkimbizi, jiji London. Sultan Jamshid alitamka wazi kufurahia mauaji yale na akawa anasubiria kwa matumaini kuitwa kurejea Zanzibar kuendelea kuwa Sultan!.
Jee hivi kweli kuna binadamu anayefurahia kifo cha binadamu mwingine?!. Mimi ni pro life, siungi mkono kifo cha aina nyingine yoyote zaidi ya kazi ya Mungu!, hata adhabu ya kifo, na sifurahii kifo chochote au kumwagika kwa damu yoyote kwa sababu yoyote ndio maana ni miongoni mwa tuliomlilia Osama, Saadam na Ghadafi!.
Siku ya Kupinga Adhabu ya Kifo
Adhabu ya Kifo: Jee kweli bado inahitajika? |
Wana JF tuungane kusema NO hukumu ya kifo
Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika ..
Karume Aliuwawa Na Utawala Dhalimu wa Sultan
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano .
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila .
Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?
Wananchi wakitaka kujua nani alimuua nani?
Sasa jee wajua msingi wa furaha ya Sultan Jamshid kwa kifo cha Karume?!. Sikiliza kwa makini, ameeleza mwenyewe!.
Ila jee wajua baada ya kifo cha Karume, ni nini kilimkwamisha Sultan Jamshid asiitwe tena Zanzibar kuurejelea Usultani wake?!, ukikijua, naamini utajua kwa nini kuna mtu kila siku anashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini hatangazwi!.
Sii wengi humu wanaojua kuwa miongoni mwa inteligensia kubwa zaidi duniani, ni intelijensia ya vinasaba!. Wanaintelijensia wamemaliza kazi yao zamani na kubaki kuangalia senema za siasa!.
Endeleeni kusubiria 2020 kujaribu tena, wenzenu wanaoijua historia hii na sababu zilizomo ndani ya mahojiano haya, wanawaangalia tuu jinsi watu wanavyoruhusiwa kujifurahisha kwa maigizo la uchaguzi hadi uchaguzi!.
Ukiujua ukweli utakuweka huru, ushauri wa bure, kwa 2020 badilisheni mgombea kuepuka visingizio vya taarifa za kinteligensia vya uhusiano wa vinasaba ya kuwa kumpa fulani ni kumrejelesha Sultan aliyepinduliwa kwa mlango wa nyuma!.
Pamoja na madhila yote ya Muungano yanayolalamikiwa na upande wa pili, ila kiukweli kuna maeneo fulani fulani, Muungano umesaidia!, maana just imagine, usingekuwepo Muungano huu adhimu, hali ingekuwaje?!.
Mapinduzi Daima!.
Muungano Milele.
Pasco
Muungano una faida ganiNa ndio maana Nyerere aliwaambia wana CCM kwamba wasione haya kusisitizia serikali mbili hadi mwisho wa dunia. Serikali tatu itakuwa kihama kwa huu muungano.
Kumbe huna unalofahamu wweUmenisaidia kuiona hii clip lakini nataka kukupinga kuhusu kuamini kuwa Maalim Seif huwa anashinda na kunyimwa ushindi wake. Nachosema hii kauli haina ukweli. Maalim Seif hajawahi kushinda uchaguzi wowote tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze. Mwaka 1995 utata ulikuwa ni kwenye kokotoa matokeo kwani kura zilizoharibika hazikutumika katika kupata asilimia 52% za Salimin wala za Seif. Iwapo zingetumika uchaguzi ungerudiwa kwani katiba ilitaka mshindi ni aliyepata zaidi ya asilimia hamsini.
Baada ya kuuona huu usumbufu, katiba ya JMT na ya Zanzibar zilibadirishwa na kuruhusu ushindi kwa kuzidi kura. Pia kufungu cha kuruhusu jimbo kuwa wazi kwa siku 90 nacho kilibadirishwa na kufanya jimbo laweza kuwa wazi kwa miezi 25 au kadiri bunge litakavyoona inafaa.
Pia hapa umetumia neno kila siku anashinda lakini hatangazwi. Hapa naona naona umetia ufundi tu wa kucheza na maneno kwa kutia chumvi kidogo maana ingekuwa hivyo sasa hivi ningekuwa nasubiri kutangazwa matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana.
Tuthibitishe niliyosema kwa kwenda kudurusu vyanzo husika kama ZEC na nyingine nyingi ukweli utabainika kuwa Seif hajawahi kupata kura nyingi kuliko mgombea wa urais yeyote wa ccm Zanzibar.
Shein katokea upande gani ???? Ni mpemba au muunguja??? Ukipata jibu niambie kwanni shein sio seif??Pamoja na facts zote hizi, wale machotara wa Pemba bado watabisha, hata ukimkumbussha umekuwa chotara sababu wale Waarabu waliotawala hapa, waliokuwa wanawauza kama kuku au mbuzi, waliwalawiti na kuwabaka mama na bibi zenu, ndio mkatokea, watabisha, ukiwakumbusha asili ya Pemba na Unguja, au binadamu wa kwanza walioshi huko visiwani ni WABARA wa pembezoni mwa Tanganyika(Tanga, Dar es Salaam, Mtwara, Lindi, Kilwa) bado watabisha, sasa sijuwi tuwasaidie kivipi?! Na ni kwanini kelele zote hizi zapigwa na machotara tu?!