Kumbe Tanzania hatuna amani tuna woga tu

Kumbe Tanzania hatuna amani tuna woga tu

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
Kumbe Watanzania tuna woga na siyo amani, hoja ndogo tu tena ya nia njema ya kutukwamua mahali tulipo DP world tunatukanana mpaka mapovu yanatutoka.

Hivi katika Dunia hii walioweza kufanikiwa bila kusubutu ni Taifa lipi kwa mfano. kelele ngapi zilizopigwa Chuma aliposema tunahamia Dodoma?

Kelele ngapi zilipigwa aliposema tunajenga bwawa la Nyerere anayetaka asitake tunajenga , maendeleo makubwa tunayoyaona Duniani hata madege na mameli ya kutisha baharini yalianza kwa kusubutu.

Nani aliota ndoto za kigongo Busisi kutandikwa daraja, lazima kusubutu na alichotujengea Chuma ni uthubutu, mimi sina kauli za umaskini tena sisi ni matajiri. umaskini wetu uko vichwani.

Mama twende zetu mbele kwa mbele Kikwete alisema,"huwezi kula bila kuliwa" tutaliwa kidogo lakini na sisi tutakula, DRC CONGO wanatusubili tufanye maamuzi sahihi Burundi, Malawi Uganda hata Kenya.

Tupunguze malumbano tuchape kazi.

Mama kwani hawa Dp wanaanza lini?
 
Kumbe watiz tuna woga na siyo amani , hoja ndogo tu tena ya nia njema ya kutukwamua mahali tulipo DP world tunatukanana mpaka mapovu yanatutoka. hivi katika Dunia hii walioweza kufanikiwa bila kusubutu ni Taifa lipi kwa mfano. kelele ngapi zilizopigwa Chuma aliposema tunahamia Dodoma? kelele ngapi zilipigwa aliposema tunajenga bwawa la Nyerere anayetaka asitake tunajenga , maendeleo makubwa tunayoyaona Duniani hata madege na mameli ya kutisha bahalini yalianza kwa kusubutu, nani aliota ndoto za kigongo Busisi kutandikwa daraja, lazima kusubutu na alichotujengea Chuma ni uthubutu, mimi sina kauli za umaskini tena sisi ni matajiri. umaskini wetu uko vichwani.
Mama twende zetu mbele kwa mbele Mh. Kikwete alisema,"huwezi kula bila kuliwa" tutaliwa kidogo lakini na sisi tutakula, DRC CONGO wanatusubili tufanye maamuzi sahihi Burundi, Malawi Uganda hata Kenya. tupunguze malumbano tuchape kazi.
Mama kwani hawa Dp wanaanza lini?
Kuthubutu siyo kugawa nyumba unayolala kwa marafiki. Tofautisha mifano yako na kitu unachokiongelea.
 
Kuthubutu siyo kugawa nyumba unayolala kwa marafiki. Tofautisha mifano yako na kitu unachokiongelea.
kuna waliokumbatia woga wakajikuta wanauza watoto na wake zao, alloo umaskini wa fedha ni umaskini wa mawazo,
 
Kumbe Watanzania tuna woga na siyo amani, hoja ndogo tu tena ya nia njema ya kutukwamua mahali tulipo DP world tunatukanana mpaka mapovu yanatutoka.

Hivi katika Dunia hii walioweza kufanikiwa bila kusubutu ni Taifa lipi kwa mfano. kelele ngapi zilizopigwa Chuma aliposema tunahamia Dodoma?

Kelele ngapi zilipigwa aliposema tunajenga bwawa la Nyerere anayetaka asitake tunajenga , maendeleo makubwa tunayoyaona Duniani hata madege na mameli ya kutisha bahalini yalianza kwa kusubutu.

Nani aliota ndoto za kigongo Busisi kutandikwa daraja, lazima kusubutu na alichotujengea Chuma ni uthubutu, mimi sina kauli za umaskini tena sisi ni matajiri. umaskini wetu uko vichwani.

Mama twende zetu mbele kwa mbele Kikwete alisema,"huwezi kula bila kuliwa" tutaliwa kidogo lakini na sisi tutakula, DRC CONGO wanatusubili tufanye maamuzi sahihi Burundi, Malawi Uganda hata Kenya.

Tupunguze malumbano tuchape kazi.

Mama kwani hawa Dp wanaanza lini?

Vima koya ! Ngeke eew !
 
kuna waliokumbatia woga wakajikuta wanauza watoto na wake zao, alloo umaskini wa fedha ni umaskini wa mawazo,
Yaani unasaini mkataba unaosema kama unataka kweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari uende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi, ukaombe ridhaa Dubai kwa Mali zako, huko ndio "KUTHUBUTU?"
 
Mimi nilidhani unahamasisha tufanye sisi Mwenyewe kama tulivyohamisha ikulu bila ya kuingia mikataba na watu wengine.kumbe wewe unahamasisha kukubali wawekezaji ambao hawataki tena tuwe karibu na walikowekezea.
 
Mimi nilidhani unahamasisha tufanye sisi Mwenyewe kama tulivyohamisha ikulu bila ya kuingia mikataba na watu wengine.kumbe wewe unahamasisha kukubali wawekezaji ambao hawataki tena tuwe karibu na walikowekezea.
kufanya wenyewe tumeshindwa, hata akina Kalamagi walipokuja na wazo la kuwekeza na tuliwapa tukijua yupo mwenzetu atakuwa mzalendo lakini wizi tu, wakati wengine wanaiba wakileta kujenga nyumbani, sisi tunaiba tukipeleka kuficha nje wakati wanetu hawana vyoo na madarasa. kichaa cha elimu mbovu
 
Kisu hakijafika kwenye mfupa!
Hata mbwa hazaliwi mkali, mpaka umsunde usongo...
 
Kumbe Watanzania tuna woga na siyo amani, hoja ndogo tu tena ya nia njema ya kutukwamua mahali tulipo DP world tunatukanana mpaka mapovu yanatutoka.

Hivi katika Dunia hii walioweza kufanikiwa bila kusubutu ni Taifa lipi kwa mfano. kelele ngapi zilizopigwa Chuma aliposema tunahamia Dodoma?

Kelele ngapi zilipigwa aliposema tunajenga bwawa la Nyerere anayetaka asitake tunajenga , maendeleo makubwa tunayoyaona Duniani hata madege na mameli ya kutisha baharini yalianza kwa kusubutu.

Nani aliota ndoto za kigongo Busisi kutandikwa daraja, lazima kusubutu na alichotujengea Chuma ni uthubutu, mimi sina kauli za umaskini tena sisi ni matajiri. umaskini wetu uko vichwani.

Mama twende zetu mbele kwa mbele Kikwete alisema,"huwezi kula bila kuliwa" tutaliwa kidogo lakini na sisi tutakula, DRC CONGO wanatusubili tufanye maamuzi sahihi Burundi, Malawi Uganda hata Kenya.

Tupunguze malumbano tuchape kazi.

Mama kwani hawa Dp wanaanza lini?
JPM alitaka tuwe na uthubutu wa kufanya wenyewe na sio kufanyiwa. Tuwe na uthubutu wa kulinda rasilimali zetu zisiibiwe na sio kufungua milango ya kukaribisha wezi tena. Alitaka tuwe na uthubutu wa kuanzisha vitu vyetu wenyewe na kuvisimamia na sio kuwa na uthubutu wa kujipuuza na kuamini wengine wana uwezo zaidi wa kutuanzishia na kutusaidia kuvisimamia walivyovianzisha, ati kwa manufaa yetu sisi wapiga domo na wasifiaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kufanya wenyewe tumeshindwa, hata akina Kalamagi walipokuja na wazo la kuwekeza na tuliwapa tukijua yupo mwenzetu atakuwa mzalendo lakini wizi tu, wakati wengine wanaiba wakileta kujenga nyumbani, sisi tunaiba tukipeleka kuficha nje wakati wanetu hawana vyoo na madarasa. kichaa cha elimu mbovu
Sasa kama wewe mwenyewe huwezi kufanya huo uthubutu wako wakuwapa watu wengine wakufanyie unakua hauna maana.Kuthubutu kungekua na maana endapo tungethubutu kufanya sisi wenyewe kwa ufanisi.Hao tunaowapa watufanyie ndio wenye akili zakuthubutu ila sio sisi.Wao wameweza sisi hatuwezi kwasababu wao walithubutu kitu ambacho sisi hutujakifanya.Sifa ziende kwa waliothubutu nasasa tunawatafuta watufanyie sio sisi mapooza.
 
Uthubutu ni ule unaokutazamisha kwenye faida na siyo ukutazamishe kwenye ombaomba!
 
Kuna mstari ndogo kati ya kuthubutu kufanya jambo na kukurupuka kufanya jambo. Sasa ogopa kukurupuka alafu uwe umekurupuka kufanya ujinga
 
Kumbe Watanzania tuna woga na siyo amani, hoja ndogo tu tena ya nia njema ya kutukwamua mahali tulipo DP world tunatukanana mpaka mapovu yanatutoka.

Hivi katika Dunia hii walioweza kufanikiwa bila kusubutu ni Taifa lipi kwa mfano. kelele ngapi zilizopigwa Chuma aliposema tunahamia Dodoma?

Kelele ngapi zilipigwa aliposema tunajenga bwawa la Nyerere anayetaka asitake tunajenga , maendeleo makubwa tunayoyaona Duniani hata madege na mameli ya kutisha baharini yalianza kwa kusubutu.

Nani aliota ndoto za kigongo Busisi kutandikwa daraja, lazima kusubutu na alichotujengea Chuma ni uthubutu, mimi sina kauli za umaskini tena sisi ni matajiri. umaskini wetu uko vichwani.

Mama twende zetu mbele kwa mbele Kikwete alisema,"huwezi kula bila kuliwa" tutaliwa kidogo lakini na sisi tutakula, DRC CONGO wanatusubili tufanye maamuzi sahihi Burundi, Malawi Uganda hata Kenya.

Tupunguze malumbano tuchape kazi.

Mama kwani hawa Dp wanaanza lini?
Jaribu vurugu ndio uwe na ufahamu wa neno amani. Ukishiba wakati wote hutojua neno kushiba lina maana gani.
 
Back
Top Bottom