Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Kiongozi wa maandamano jijini Nairobi akionyesha waandishi mabango kuonyesha hisia zake.
No reforms
No erection !!!..
No reforms
No erection !!!..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma hapo chini ndio uelewe...na urudi shuleKiongozi wa maandamano jijini Nairobi akionyesha waandishi mabango kuonyesha hisia zake.
No reforms
No erection !!!..View attachment 607124
Unafurahia uwanzanga wa Mkenya mwenzie!Soma hapo chini ndio uelewe...na urudi shule
Uko sawa sawia!Wewe ndiye usiyeelewa.Ukisoma bango la chini tumboni ndo utajua anacho maanisha.Siyo election.
Mkuu hauko familiar na kauli mbiu za NASA za kutocheza na papuchi kipindi kwenye chaguzi za Kenya au .[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Ila Odinga ana hatari, hivi kweli nayeye huwa hachezei papuchi kipindi cha chaguzi au ni ku promote brainwashing to party followers across Kenya .Sometimes politics is madness!Kiongozi wa maandamano jijini Nairobi akionyesha waandishi mabango kuonyesha hisia zake.
No reforms
No erection !!!..View attachment 607124
Kiongozi wa maandamano jijini Nairobi akionyesha waandishi mabango kuonyesha hisia zake.
No reforms
No erection !!!..View attachment 607124[/QU
HAJAKOSEA KASEMA 'NO ERECTION' Halafu akasema HATAENDA KWA BIBI YAKE(MKE)
Forget the purported message ...that guy should be taken to Pakistan or Iran to be stoned for blasphemy .That lower sign is sooooo offensive to God and to many people .Ati Raila ni mungu na ndiye roho nini?Kiongozi wa maandamano jijini Nairobi akionyesha waandishi mabango kuonyesha hisia zake.
No reforms
No erection !!!..View attachment 607124
Aliyeandika bango rafudhi za kikabila chake zimemponza. Amekuwa akitamka silabi 'r' katika pahala pa 'l'. Hivyo aliposema "no reforms, no erection" yeye hakumaanisha kwamba "kama hakuna mageuzi/mabadilikl, hakuna kudinda/kudisa"
Bali amemaanisha "kama hakuna mageuzi, hakuna uchaguzi"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watanzania wenzangu mnaniangusha yaani kitu ipo wazi alikuwa anamaanisha nini tena kwa kukusaidia soma maelezo chini. Ingekuwa mtihani ungeshalampa F kwa sababu ya kukurupuka bila kusoma maelezo yote.
Ila mzungu nooooma yaan miafrika ipo kuangaika na kurekibishana lugha ambayo sio yao ebu tuige bala la Asia tuondokane na huu upumbavu eti ukikosea kuandika kiingireza eti hujasoma PUMBAVU Asia ana copy na kupaste vitu vya msingi sisi tuko kukosoana lugha NYAMBAFU. nina hasira na huu ujinga wahuusika toeni huu uzi hapa jf nenda huko kwa wajinga wenzio fb