Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
"Huku akisema CCM haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu, ambayo ni KMC ya Kinondoni, kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya CCM".
Haya yalisemwa na Bananga kwenye uzinduzi wa Ramadhan Cup iliyoanzishwa na CCM.
Kutokana na pande zote mbili za nchi kuongizwa na jamii moja udini hauepukiki umeingia michezoni.
Haya yalisemwa na Bananga kwenye uzinduzi wa Ramadhan Cup iliyoanzishwa na CCM.
Kutokana na pande zote mbili za nchi kuongizwa na jamii moja udini hauepukiki umeingia michezoni.