Kumbe TRA hawatungi Sheria za Kodi

Kumbe TRA hawatungi Sheria za Kodi

Joined
May 6, 2024
Posts
77
Reaction score
103
Nimesikiliza clip mbili za Waziri wa fedha Mwigulu Lameck Nchemba akizungumzia kuhusu ukusanyaji wa kodi na ingine akiongelea madeni ya kodi bungeni leo. Kuna ujumbe naona kama waziri alikuwa anamjulisha mtu bungeni leo sijajua ni nani hasa.

PIA SOMA
- Serikali yasisitiza matumizi ya mashine za kutoa Risiti za Kielekroniki (EFD)




 
Back
Top Bottom