Kumbe tulimsifu Hayati Magufuli kwa kubana matumizi huku Serikali ikiwa na matumizi ya ovyo hivi?

Kumbe tulimsifu Hayati Magufuli kwa kubana matumizi huku Serikali ikiwa na matumizi ya ovyo hivi?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kati ya vitu ambavyo Magufuli alikuwa akiimbwa navyo ni kubana matumizi ya Serikali

Ila leo baada ya kumsikiliza Mwigulu akiweka mikakati mipya ya kubana matumizi, nimeona kumbe Serikali ina matumizi ya hovyo ambayo hata huyo Magufuli aliendelea nayo hadi sasa Samia ndio anakuja kuyapunguza

Mojawapo ya lililonishtua ni kuwa Mkurugenzi au Katibu Mkuu akitumbuliwa bado anaendelea kulipwa mshahara uleule aliokuwa nao, akasema kuwa inawezekana hata ukakuta kuna wizara 15 tu lakini ukakuta kuna watu 50 wanalipwa mshahara wa katibu mkuu, ama kuna halmashauri 100 lakini wanaolipwa kama wakurugenzi ni 500.

Aisee
 
Kati ya vitu ambavyo Magufuli alikuwa akiimbwa navyo ni kubana matumizi ya Serikali

Ila leo baada ya kumsikiliza Mwigulu akiweka mikakati mipya ya kubana matumizi, nimeona kumbe Serikali ina matumizi ya hovyo ambayo hata huyo Magufuli aliendelea nayo hadi sasa Samia ndio anakuja kuyapunguza

Mojawapo ya lililonishtua ni kuwa Mkurugenzi au Katibu Mkuu akitumbuliwa bado anaendelea kulipwa mshahara uleule aliokuwa nao, akasema kuwa inawezekana hata ukakuta kuna wizara 15 tu lakini ukakuta kuna watu 50 wanalipwa mshahara wa katibu mkuu, ama kuna halmashauri 100 lakini wanaolipwa kama wakurugenzi ni 500.

Aisee
Wewe nae umelopoka tu.

Unajua hiyo ilianza lini?

JPM alikuwa nawaondoa hadi wanakonda balaa. ameingia tu mama akawa anawaacha waendelee kula pesa. Hadi watumishi hewa karudisha nao sasa wanalipwa.

Kimsingi Mwigulu anamsaidia tu kumkumbusha mambo ya JPM.

Muulize mama safari za kilama ulaya zinaghalimu shilingi ngapi?. Mbona maisha yanaendelea kuwa magumu?
 
Wewe nae umelopoka tu.

Unajua hiyo ilianza lini?

JPM alikuwa nawaondoa hadi wanakonda balaa. ameingia tu mama akawa anawaacha waendelee kula pesa. Hadi watumishi hewa karudisha nao sasa wanalipwa.

Kimsingi Mwigulu anamsaidia tu kumkumbusha mambo ya JPM.

Muulize mama safari za kilama ulaya zinaghalimu shilingi ngapi?. Mbona maisha yanaendelea kuwa magumu?
Mwigulu kasema hilo lonafanywa kwa sababu lipo kisheria na Samia itabidi wabadili sheria kwanza....So kipindi cha Magufuli walikuwa bado wanalipwa sababu sheria hazikubadilishwa
 
Lakini Barabara zilijengwa miradi iliyobadilosha taswira ya Tanzania ilijengwa hapakuwa na ziara za kijinga nje ya nchi miundombinu ya afya elimu bure n.k iliomekana!
 
Nimecheka kwa nguvu, kwahiyo huyu ana card namba ngapi huko CCM? Eti Cdm wanatukana zaidi!
Sasa wewe point yako ni ipi, huyo katukana sababu nimemkosoa Magufuli, unadhani atakuwa Chadema au CUF?
Inahitaji akuonyeshe kadi?
 
Back
Top Bottom