Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Huyu ni mtoto wa mwana JF mwenzetu miss chagga
Miss Chagga yupo wapi siku hizi simuoni jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mtoto wa mwana JF mwenzetu miss chagga
Atakua ni mzee wa kuweka mzigo (kubet)Mkuu weekend umesahau ni wakati wa kufungua maduka huo
Ndiyo maana ya kuea na asili ya Tanzania.Lakini amezaliwa Tanzania tena Itigi.
Tatizo la watz ni kuvamia vamia uraia wa watu bila kujua sheria inasema nini juu ya suala la uraia, fuatilieni sheria zinasemaje,yaani siku hizi kila mchezaji utasikia MTANZANIA YULE!Nilikuwa nafuatilia league kuu ya Austria Bundesliga baada ya kufungua taarifa za hii timu kwenye picha nikakutana na mchezaji anaitwa Lema nikashutuka mbona jina la watanzania hili kufungua zaidi nakuta ni mtanzania kweli. Jamaa timu yake sihaba kwenye league ya Austria na dogo bado ana miaka 20 tu mpaka sasa amieshacheza match 5 za league msimu huu.
Etiene Ndayiragije mfuatilie huyu.
Anachezea timu ya Sturm GrazView attachment 1219147
Nemo judex in causa asuaMiss Chagga yupo wapi siku hizi simuoni jukwaani
Nemo judex in causa asua
Nilikuwa nafuatilia league kuu ya Austria Bundesliga baada ya kufungua taarifa za hii timu kwenye picha nikakutana na mchezaji anaitwa Lema nikashutuka mbona jina la watanzania hili kufungua zaidi nakuta ni mtanzania kweli. Jamaa timu yake sihaba kwenye league ya Austria na dogo bado ana miaka 20 tu mpaka sasa amieshacheza match 5 za league msimu huu.
Etiene Ndayiragije mfuatilie huyu.
Anachezea timu ya Sturm GrazView attachment 1219147
Wengi mnoooo....... Kuna page instagram jama kawapost kama hamsini hivi.... Daah ....Mwingine nani?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()