Kumbe tunahesabu awamu za Serikali bila kuwa na sheria au utaratibu maalum unaotuongoza? Si muhimu sasa kuweka utaratibu rasmi?

Kumbe tunahesabu awamu za Serikali bila kuwa na sheria au utaratibu maalum unaotuongoza? Si muhimu sasa kuweka utaratibu rasmi?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kifo cha Magufuli kimethibitisha pasipo shaka kuwa sisi kama nchi hatuna utaratibu wowote rasimi wa kikatiba, kisheria au usio wa kisheria unaotuongoza katika kuhesabu au kuzitambua awamu za serikali.

Kama utaratibu rasimi huo, basi ni wazi hauleweki na unapaswa kutazamwa upya ili kuondoa huu mkanganyiko unaojitokeza sasa tena ukiwahusisha viongozi wakubwa tu katika nchi yetu.

Hivyo, tunapaswa kuwa na utaratibu unaotamka rasimi kama awamu ya serikali inahesabiwa pale anapoingia Raisi mpya hata ikitokea Raisi aliepo madarakani anafariki na kurithiwa na makama wake au vinginevyo. .


Tujiulize, ikitokea tunapata Raisi mwingine kutokana na sababu zilizoainishwa na katiba yetu, Raisi huyo atakuwa ni wa serikali ya awamu ya tano, ya sita au ya saba?

Kwakuwa hatuna utaratibu unaoeleweka, hata awamu ya Nyerere inaweza isiwe ni awamu ya kwanza kwani zilikuwepo serikali za kikoloni kabla ya Nyerere kuwa Raisi.

Tujifunze kutokana na makosa kwa kuupatia suluhisho huu mkanganyiko uliopo sasa.

Kama ambavyo mikutano ya Bunge na vikao vyake viko well defined, basi na hizi awamu pamoja na chaguzi zake ziwe well defined.
 
Kifo cha Magufuli kimethibitisha pasipo shaka kuwa sisi kama nchi hatuna utaratibu wowote rasimi wa kikatiba, kisheria au usio wa kisheria unaotuongoza katika kuhesabu au kuzitambua awamu za serikali.

Kama utaratibu rasimi huo, basi ni wazi hauleweki na unapaswa kutazamwa upya ili kuondoa huu mkanganyiko unaojitokeza sasa tena ukiwahusisha viongozi wakubwa tu katika nchi yetu.

Tunapaswa kuwa na utaratibu unaotamka rasimi kama awamu ya serikali inahesabiwa pale anapoingia Raisi mpya hata ikitokea Raisi aliepo madarakani anafariki na kurithiwa na makama wake.


Tujiulize, ikitokea tunapata Raisi mwingine kutokana na sababu zilizoainishwa na katiba yetu, Raisi huyo atakuwa ni wa serikali ya awamu ya tano, ya sita at saba?

Tujifunze kutokana na makosa kwa kuupatia suluhisho huu mkanganyiko uliopo sasa.
ukweli ni kwamba samia anaongoza awamu ya tano siyo ya sita. Kungeitishwa uchaguzi mkuu baada ya JPM kufariki ndipo tungesema tuko awamu ya sita. Hata waziri mkuu wake ni yule yule wa awamu ya tano na wala hakutangaza kuvunja baraza lote la mawaziri akaunda jipya. Alikubali kurithi la awamu ya tano akafanya marekebisho madogo tu kuwaondoa asiowapenda hasa wasukuma.

Kusema hii ni awamu ya sita ni janja ya kukwepa failures za kipindi cha JPM akiwa rais na Samia akiwa Makamu.
 
ukweli ni kwamba samia anaongoza awamu ya tano siyo ya sita. Kungeitishwa uchaguzi mkuu baada ya JPM kufariki ndipo tungesema tuko awamu ya sita.

Kusema hii ni awamu ya sita ni janja ya kukwepa failures za kipindi cha JPM akiwa rais na Samia akiwa Makamu.
Kama Raisi aliepo madarakani sasa aanaamini hii sio awamu ya tano bali ni ya sita, hauoni teyari huu ni mkanganyiko?

Tungekuwa na utaratibu maalumu au rasimi wa kikatiba, kisheria au vinginevyo unaotuongoza, haya yangetokea?
 
tena wa ajabu na wa kuchekesha. angeitisha uchaguzi mkuu ili tupate awamu ya sita
Hili ni jambo dogo sana lakini limedhihirisha Tanzania ni nchi isiyo na watu makini hata kidogo. Hata mimi niliposikia wanasema ni awamu ya sita nilibaki mdomo wazi. Itawaje awamu ya sita wakati yeye amekuwa rais wa muda mpaka uchaguzi utakapofanyika 2025?
 
Kifo cha Magufuli kimethibitisha pasipo shaka kuwa sisi kama nchi hatuna utaratibu wowote rasimi wa kikatiba, kisheria au usio wa kisheria unaotuongoza katika kuhesabu au kuzitambua awamu za serikali.

Kama utaratibu rasimi huo, basi ni wazi hauleweki na unapaswa kutazamwa upya ili kuondoa huu mkanganyiko unaojitokeza sasa tena ukiwahusisha viongozi wakubwa tu katika nchi yetu.

Hivyo, tunapaswa kuwa na utaratibu unaotamka rasimi kama awamu ya serikali inahesabiwa pale anapoingia Raisi mpya hata ikitokea Raisi aliepo madarakani anafariki na kurithiwa na makama wake au vinginevyo. .


Tujiulize, ikitokea tunapata Raisi mwingine kutokana na sababu zilizoainishwa na katiba yetu, Raisi huyo atakuwa ni wa serikali ya awamu ya tano, ya sita at saba?

Tujifunze kutokana na makosa kwa kuupatia suluhisho huu mkanganyiko uliopo sasa.
 
Nimeandika nimefuta, wacha nipite tu. Btw nakuelewa mleta mada.
Wanaosema hii ni awamu ya sita, hawana reference yoyote ya kikatiba au kisheria kutetea hoja zao.Halikdhalika kwa wanaosema hii ni awamu ya tano. Yaani ni full mkanganyiko.
 
Hiyo issue wao wanasema ni jadi yao, CCM ndio wametunga huo utaratibu na wameamua kuufuata, hii biashara kichaa kwa maoni yangu naiona ndio inazidi kuwafanya hawa jamaa wajione wana hati miliki ya kututawala.

Kwa kufanya hivyo wataendelea kututawala kwa njia haramu ilimradi watu wao waendelee kupokezana hizo awamu wanazozihesabu.

Hii kitu imewatengenezea kaubinafsi fulani ambao unawafanya waone mpinzani kushika hatamu kwao ni sawa na kuchafua huo utaratibu wao waliojiwekea.

Nashauri kwanza tuipate Katiba Mpya, halafu haya mengine yote yawepo ndani yake, tofauti na sasa tutahangaika kubadilisha sheria wakati ni wao pekee ndio wanaotutawala kwa matakwa yao.
 
ukweli ni kwamba samia anaongoza awamu ya tano siyo ya sita. Kungeitishwa uchaguzi mkuu baada ya JPM kufariki ndipo tungesema tuko awamu ya sita. Hata waziri mkuu wake ni yule yule wa awamu ya tano na wala hakutangaza kuvunja baraza lote la mawaziri akaunda jipya. Alikubali kurithi la awamu ya tano akafanya marekebisho madogo tu kuwaondoa asiowapenda hasa wasukuma.

Kusema hii ni awamu ya sita ni janja ya kukwepa failures za kipindi cha JPM akiwa rais na Samia akiwa Makamu.
Huo ukweli uliambiwa na nani? Kwanza awamu inarefer jina la Rais. Hii kama hutaki namba 6, sema tu awamu ya Mama Samia, basi. Ukiulizwa ni Rais wa ngapi, sema Rais wa 6 wa JMT.
 
Huo ukweli uliambiwa na nani? Kwanza awamu inarefer jina la Rais. Hii kama hutaki namba 6, sema tu awamu ya Mama Samia, basi. Ukiulizwa ni Rais wa ngapi, sema Rais wa 6 wa JMT.
Imeandikwa wapi tuna-refer Jima la Raisi? Na serikali za kikoloni mbona hatuzihesabu na ziiongoza hii nchi?Nadhani mpaka hapa utakuwa umeona umuhimu au logic ya hizi awamu kuwa defined tena baada ya nchi yetu kuwa huru vinginevyo hata awamu ya Nyerere sio awamu ya kwanza bali tutasema serikali ya kikoloni ndio awamu ya kwanza.
 
Hili ni jambo dogo sana lakini limedhihirisha Tanzania ni nchi isiyo na watu makini hata kidogo. Hata mimi niliposikia wanasema ni awamu ya sita nilibaki mdomo wazi. Itawaje awamu ya sita wakati yeye amekuwa rais wa muda mpaka uchaguzi utakapofanyika 2025?
Rais Samia ni rais kamili kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania hadi 2025 na wala sio wa muda, Magufuli awamu yake imeishia pale alipokufa na haendelezi muda wa yeyote na kwa mujibu wa katiba hiyo anaruhusiwa kugombea kipindi kimoja zaidi.
 
Kifo cha Magufuli kimethibitisha pasipo shaka kuwa sisi kama nchi hatuna utaratibu wowote rasimi wa kikatiba, kisheria au usio wa kisheria unaotuongoza katika kuhesabu au kuzitambua awamu za serikali.

Kama utaratibu rasimi huo, basi ni wazi hauleweki na unapaswa kutazamwa upya ili kuondoa huu mkanganyiko unaojitokeza sasa tena ukiwahusisha viongozi wakubwa tu katika nchi yetu.

Hivyo, tunapaswa kuwa na utaratibu unaotamka rasimi kama awamu ya serikali inahesabiwa pale anapoingia Raisi mpya hata ikitokea Raisi aliepo madarakani anafariki na kurithiwa na makama wake au vinginevyo. .


Tujiulize, ikitokea tunapata Raisi mwingine kutokana na sababu zilizoainishwa na katiba yetu, Raisi huyo atakuwa ni wa serikali ya awamu ya tano, ya sita at saba?

Kwakuwa hatuna utaratibu unaoeleweka, hata awamu ya Nyerere inaweza isiwe ni awamu ya kwanza kwani zilikuwepo serikali za kikoloni kabla ya Nyerere kuwa Raisi.

Tujifunze kutokana na makosa kwa kuupatia suluhisho huu mkanganyiko uliopo sasa.
Polepole kasema hii ni awamu ya tano. Lakini kilivyo cha hovyo, akipewa nafasi nyeti na Samia atasema hii ni awamu ya sita
 
Kifo cha Magufuli kimethibitisha pasipo shaka kuwa sisi kama nchi hatuna utaratibu wowote rasimi wa kikatiba, kisheria au usio wa kisheria unaotuongoza katika kuhesabu au kuzitambua awamu za serikali.

Kama utaratibu rasimi huo, basi ni wazi hauleweki na unapaswa kutazamwa upya ili kuondoa huu mkanganyiko unaojitokeza sasa tena ukiwahusisha viongozi wakubwa tu katika nchi yetu.

Hivyo, tunapaswa kuwa na utaratibu unaotamka rasimi kama awamu ya serikali inahesabiwa pale anapoingia Raisi mpya hata ikitokea Raisi aliepo madarakani anafariki na kurithiwa na makama wake au vinginevyo. .


Tujiulize, ikitokea tunapata Raisi mwingine kutokana na sababu zilizoainishwa na katiba yetu, Raisi huyo atakuwa ni wa serikali ya awamu ya tano, ya sita at saba?

Kwakuwa hatuna utaratibu unaoeleweka, hata awamu ya Nyerere inaweza isiwe ni awamu ya kwanza kwani zilikuwepo serikali za kikoloni kabla ya Nyerere kuwa Raisi.

Tujifunze kutokana na makosa kwa kuupatia suluhisho huu mkanganyiko uliopo sasa.
Ukweli hii ni awamu ya tano ila CCM wenye nchi yao wamelazimisha kuwa awamu ya sita na Rais ambaye si chaguo la wananchi. LET IT BE.
 
Rais Samia ni rais kamili kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania hadi 2025 na wala sio wa muda, Magufuli awamu yake imeishia pale alipokufa na haendelezi muda wa yeyote na kwa mujibu wa katiba hiyo anaruhusiwa kugombea kipindi kimoja zaidi.
No. Amechukuwa awamu ya Magufuli anamalizia japo ni rais kamili. Tulifanya ''uchaguzi'' wa kutafuta serikali ya awamu ya tano, na ndiyo iliyoko bado madarakani. Awamu nyingine inaanza 2025.
 
Nyerere aliyeoongoza Tanzania kwa miaka 21 akiwa na mawaziri wakuu na makamu rais tofauti alitawala kwa awamu ngapi?
ukweli ni kwamba samia anaongoza awamu ya tano siyo ya sita. Kungeitishwa uchaguzi mkuu baada ya JPM kufariki ndipo tungesema tuko awamu ya sita. Hata waziri mkuu wake ni yule yule wa awamu ya tano na wala hakutangaza kuvunja baraza lote la mawaziri akaunda jipya. Alikubali kurithi la awamu ya tano akafanya marekebisho madogo tu kuwaondoa asiowapenda hasa wasukuma.

Kusema hii ni awamu ya sita ni janja ya kukwepa failures za kipindi cha JPM akiwa rais na Samia akiwa Makamu.
 
Nyerere alitawawala kwa awamu ngapi?
Kama Raisi aliepo madarakani sasa aanaamini hii sio awamu ya tano bali ni ya sita, hauoni teyari huu ni mkanganyiko?

Tungekuwa na utaratibu maalumu au rasimi wa kikatiba, kisheria au vinginevyo unaotuongoza, haya yangetokea?
 
Nyerere alitawala kwa awamu ngapi?
Hili ni jambo dogo sana lakini limedhihirisha Tanzania ni nchi isiyo na watu makini hata kidogo. Hata mimi niliposikia wanasema ni awamu ya sita nilibaki mdomo wazi. Itawaje awamu ya sita wakati yeye amekuwa rais wa muda mpaka uchaguzi utakapofanyika 2025?
 
Nyerere alitawala kwa awamu ngapi?
Ukweli hii ni awamu ya tano ila CCM wenye nchi yao wamelazimisha kuwa awamu ya sita na Rais ambaye si chaguo la wananchi. LET IT BE.
 
Back
Top Bottom