Kumbe tunaokaa Marekani humu JF tuko wachache hivi?

Kumbe tunaokaa Marekani humu JF tuko wachache hivi?

Mshua yupo USA
Bitoz nipo Tandale
Jionee tofauti !!!
 
Mimi Nilitegemea Kuwa Muda Huu Ambako Hapa MAMTONI Ndiyo Kwanza Saa 5 Asubuhi Basi Hata Nikiingia Humu JF Nitakutana Na Wana ULAYA Wenzangu Ili Tuliendeleze Gurudumu La Kuwasiliana Ktk UZI Mbalimbali ILA Nimekuja Kugundua Kati Ya Members Wote Tuliopo Huku MAMTONI a.k.a MAREKANI Ni Wanne Tu Lakini Wote Waliobaki 98% Wanaishi AFRIKA Na Hasa Hasa TANZANIA Na Kama Pia Haitoshi Kumbe Hata Hawa Members Wengi Wanasubiria Tu Kuwekewa Bundles Na MABOSI Zao MAOFISINI Huku Wakitumia Gadgets Za MAKAZINI Mwao Kuingia Humu JF Badala Ya Zao ( In Short Wanasubiri KUWEZESHWA ).

Ngoja Tu Sasa Ni Log Out Niwahi Kwenda Kuangalia BARAFU Zinazotiririka Huku NJE Kisha Baadae Kidogo Nifanye Mpango Wa Kwenda Kuonana Na Donald Trump Kumsalimu Tu Halafu Baadae Nikamtembelee Mike Tyson Na Jioni Nimalizie Kumtembelea Willy Smith.

Na Nimegundua Kuwa Kumbe Hata Hao WAAFRIKA Wenzangu Hao Watatu Waliobaki Wengi Wao Wapo MAREKANI Ya VIJIJINI Ambako Kwa Sasa WANACHUMA TU MATUNDA Huku Wakibeba Magunia Ya Mahindi Kwenda Kulishia Ng'ombe Na Niliyepo MAREKANI Ya Down Town Nipo Peke Yangu Hadi Nimechukia.

Hakika Kuishi Huku MAREKANI NI RAHA SANA Na Nyie MLIO LALA SASA HIVI HUKO HASA HASA HUKO TANZANIA Hebu Jitahidini Basi Nanyi Muweze Kuja Huku MAREKANI ( MAMTONI ) TUJAZANE Tuwe Wengi Kwani Najiona MPWEKE MNO MAREKANI YOTE HII MWAFRIKA Kuwa Peke Yangu. Nini Labda KINAWASHINDENI Kuja Huku? Nisalimieni Sana Rais Dr. MAGUFULI Na Mlale Salama Nyote Huko TANZANIA Nawapenda KUNAKOTUKUKA Japo Tupo Mbali Sana In Miles And Miles.
marekani ndo kijiji gani
 
marekani ya manzese.


Juzi tu hapa alikua manzese na rais wake madee wakitutishia nyau kuchoma gari moto iwapo tu Arsenal itafungwa na Chelsea!
Hadi leo hajatupa mrejesho kama lile gari lilichomwa au la, tayari yupo marekani! Tueleze vizuri mzee ile taarifa kumbe madee alikutumia tu kwa email?!!?
 
Mm niko kusini mwa africa ,lkn mbona naona Tanzania kuna raha saha kuliko marekani watanzania hawaishi kwa wasiwasi wa may be ISIS au ALKAIDA watatshambulia lkn huko marekani kila mtu ana wasiwasi huo kama ni kula na kulala cc tunakula vzr coz ni fresh food kulala hata kwenye mabanda ila usingizi mnono tunaupata na mandoto kibao na starehe nyengne tunafanya pia, Acha ushamba wa maisha ww kwani marekani ndo nn cha muhimu mashiko co kuona majumba marefu, mbona tumetembea nchi nyngi na hatujisifu ushamba tu
 
Sasa Kama NAKAA MAREKANI Nisiseme Mkuu? Wewe Mwenzangu Upo Wapi Sasa? TANDAHIMBA au BULOMBOLA? Natamani Mno Kurudi Tanzania ILA Donald Trump Kanizuia Kwani ANANIHITAJI Sana Ktk KIKOSI KAMPENI Chake Huku Akitarajia Kunipa Cheo Kikubwa Tu. Kama WATANZANIA Mlivyompokea Na Kumtunuku Mchezaji Mbwana Samatta Basi MJIANDAE Pia Kumpokea Na Kumshangilia GENTAMYCINE Atakapokuja Tanzania Huku Nikiwa Na CHEO CHA KUTUKUKA Huku USA. Na Mimi Mniandalie Kiwanja, Party Na Hela Msipofanya Hivyo NAUKANA Rasmi UTANZANIA.
Mimi Papa nga naza awa ndeko nagai
 
Kama uko marekani na hizi kampeni zao za ushoga....!!

Usirudi tz tena! Baki huko huko ushogani....
 
Watuwengine bwana eti niko Majuu
Watu wanakimbilia Tanzania toka huko majuu kuja kupata ajira na kuishi vizuri hapa Bongo.
Mzee Ngosha kaamua awatimue
Nahuko Trump akiwa Raisi
Tutakuja kukupokea Airport
 
Sasa Kama NAKAA MAREKANI Nisiseme Mkuu? Wewe Mwenzangu Upo Wapi Sasa? TANDAHIMBA au BULOMBOLA? Natamani Mno Kurudi Tanzania ILA Donald Trump Kanizuia Kwani ANANIHITAJI Sana Ktk KIKOSI KAMPENI Chake Huku Akitarajia Kunipa Cheo Kikubwa Tu. Kama WATANZANIA Mlivyompokea Na Kumtunuku Mchezaji Mbwana Samatta Basi MJIANDAE Pia Kumpokea Na Kumshangilia GENTAMYCINE Atakapokuja Tanzania Huku Nikiwa Na CHEO CHA KUTUKUKA Huku USA. Na Mimi Mniandalie Kiwanja, Party Na Hela Msipofanya Hivyo NAUKANA Rasmi UTANZANIA.
unakaa au unaishi marekani .kale miogo huko.ktk sscreen yangu inaonyesh jum uko bongo.

swissme
 
Sasa Kama NAKAA MAREKANI Nisiseme Mkuu? Wewe Mwenzangu Upo Wapi Sasa? TANDAHIMBA au BULOMBOLA? Natamani Mno Kurudi Tanzania ILA Donald Trump Kanizuia Kwani ANANIHITAJI Sana Ktk KIKOSI KAMPENI Chake Huku Akitarajia Kunipa Cheo Kikubwa Tu. Kama WATANZANIA Mlivyompokea Na Kumtunuku Mchezaji Mbwana Samatta Basi MJIANDAE Pia Kumpokea Na Kumshangilia GENTAMYCINE Atakapokuja Tanzania Huku Nikiwa Na CHEO CHA KUTUKUKA Huku USA. Na Mimi Mniandalie Kiwanja, Party Na Hela Msipofanya Hivyo NAUKANA Rasmi UTANZANIA.
Tutakupa u captain wa twiga star
 
Mkuu Hata Mimi SIPENDI Kabisa Kukaa Huku MAREKANI ( MAMTONI ) Ila Sijui Kwanini SITAKI Kuondoka Wakati Huu Sasa Ni Mwaka Wangu Wa 27 Naiashi Huku. Kama Vipi Nipe MBINU Je Nifanyeje Ili Niweze Kupata Hamu ILIYOTUKUKA Ya Mimi Kuweza Kurudi Huko Tanzania?
Mtukane Obama watakurudisha tu
 
Sasa Kama NAKAA MAREKANI Nisiseme Mkuu? Wewe Mwenzangu Upo Wapi Sasa? TANDAHIMBA au BULOMBOLA? Natamani Mno Kurudi Tanzania ILA Donald Trump Kanizuia Kwani ANANIHITAJI Sana Ktk KIKOSI KAMPENI Chake Huku Akitarajia Kunipa Cheo Kikubwa Tu. Kama WATANZANIA Mlivyompokea Na Kumtunuku Mchezaji Mbwana Samatta Basi MJIANDAE Pia Kumpokea Na Kumshangilia GENTAMYCINE Atakapokuja Tanzania Huku Nikiwa Na CHEO CHA KUTUKUKA Huku USA. Na Mimi Mniandalie Kiwanja, Party Na Hela Msipofanya Hivyo NAUKANA Rasmi UTANZANIA.
hihi yupo tandahimba,...
tanzania bhana kuna baadhi ya sehemu
majina yake bhanaa,....ni tatizoo
 
Kama Donald Trump atabahatisha kuwa Rais, wewe utakuwa mmoja wa wahamiaji haramu kurudishwa kwani huna makaratasi; huo mpango wenu wa kuoa wazungu ili muwe na makaratasi ya kubeba boksi huko umeishastukiwa!!
alaf kubeba box kuna mwisho
 
Alafu unajua kubeba BOX kuna mwishoo,..
we lete jeuri2 apa,...
wataanza kutumia robots kubeba hizo,...
nawewe bila box la bibi uwez kuishii,..
utaleta li uzii apa ukiliia
 
Back
Top Bottom