GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na ninasikia Wiki hii au ijayo kuna Mchezaji / Wachezaji Wawili nao wanaenda Kushtaki FIFA kwa Madeni yaliyokubuhu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magodoro yamedoda yana Kunguni Tegeta Nyuki hadi Mbagala Kizuiani.GSM atalipa
Timu inadaiwa karibia Bilioni 7 lakini Mishabiki haijui na inadanganywa kwa Picha za Hakimu na Msela Msomali wa Fire.okrah huyo.
GSM atalipa pesa ya akiba ipoMagodoro yamedoda yana Kunguni Tegeta Nyuki hadi Mbagala Kizuiani.
Yanga bingwa 2024/25Timu inadaiwa karibia Bilioni 7 lakini Mishabiki haijui na inadanganywa kwa Picha za Hakimu na Msela Msomali wa Fire.
Sawa wa kuziuzulu fc tumekusikia. Ni nyie tu kuchagua wabaki wale wale ili ziishie 7-2 au waongezeke wengine ili dozi iongezeke.Na ninasikia Wiki hii au ijayo kuna Mchezaji / Wachezaji Wawili nao wanaenda Kushtaki FIFA kwa Madeni yaliyokubuhu.
hakuna shida,ni mambo ya kawaidaNa ninasikia Wiki hii au ijayo kuna Mchezaji / Wachezaji Wawili nao wanaenda Kushtaki FIFA kwa Madeni yaliyokubuhu.
bilioni 7 au bilioni 7-2..?Timu inadaiwa karibia Bilioni 7 lakini Mishabiki haijui na inadanganywa kwa Picha za Hakimu na Msela Msomali wa Fire.
Vipi, Mangungu ameshajiuzulu? Au zile siku ulizompa bado hazijaisha?Na ninasikia Wiki hii au ijayo kuna Mchezaji / Wachezaji Wawili nao wanaenda Kushtaki FIFA kwa Madeni yaliyokubuhu.