Cc baba tupacTupac yupi, maana Bongo wapo wengi?
Ushahidi ni kwamba tangu achezee njugu mwaka 1996 alipotoka kwenye pambano la tyson hajaonekana tena hadharani mpaka leo.Una ushahidi?
Tupac Hakupigwa risasi . He still.aliveUshahidi ni kwamba tangu achezee njugu mwaka 1996 alipotoka kwenye pambano la tyson hajaonekana tena hadharani mpaka leo.
Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,
nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Tupac Hakupigwa risasi . He still.alive
Why aonekane wAkati.lengo lake haswa lilikuwa NI to fool his enemies into blvng that he is dead so that he can use that as a pretext to go.somewjere and start a.new.and.peaceful life?
Mara hujui, mara nyimbo zao zinachochea madawa ya kulevya.Mbona uzi ni mauza uza tupu? Title haifanani na content
Halafu watu weusi ndio maana tunaonekana maboya tu
Huyo Tupac na Biggie sijui hata mnawahusudu nini,
nyimbo zao nyingi ni kuchochea mauaji, umalaya, kuuza na kutumia madawa ya kulevya.
Walichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana weusi na watoto leo hii tunawaabudu. Sisi kweli ni watumwa
Hahah, umejifikiriaje kusema Biharamulo?Wa Biharamulo, unapoishi wewe
Mwandiko wa Kisandu kabisa!Kwenye wimbo wake " Troublesome 96" Tupac anasema " SCREAMIN CUFK ALL Y'ALL NIGGAS IN SWAHILI"
# Nimepata ushahidi mzito na wenye mashiko kuhusu Tupac kuwa hai. Nitaupost kesho.
# The other day nilipost uzi hapa jf wenye title " TUPAC ALIKUFA BAADA YA KUMEZWA NA.KIVULI CHA MAUTI CHA BIGGIE SMALLS" but ushahidi nilio usoma mahali kuhusu kuwepo hai kwa Tupac umenifanya NI debunk theory yangu kuhusu the so called " kifo" cha Tupac
# A wise man always change his view when presented with better argument.So I have changed my view.