Kumbe uchumi wote wa dunia umeshikwa na Israel?

Status
Not open for further replies.
Raia wa Israel ni genius,mfano Mark(mmiliki wa facebook)

Kuwa genious haimaanishi wewe upo karibu na mungu au una baraka za mungu kwani hata wezi wengi wanaotuibia kila siku maofisini , makaburu waliwaua waafrika wenzetu na kuwafananisha na mbwa pia walikuwa na akili sana za kuvumbua vitu , n.k haina maana wao ni watukufu au wamebarikiwa.
Ni lazima utambue hapa duniani tunategemeana hakuna mtu aliyebora juu ya mwenzake, hata hao wazungu pamoja na hela na teknolojia yao still wanatutegemea sisi kwa namna nyingine, ndio maana unaona obama na raisi wa china wanavyopigana vikumbo kwa kikwete.
 
Sikiliza nikuambie kitu israel ni nchi ya ahadi na ukifuatilia wavumbuzi wa vitu karibu wote duniani japo hawaishi israeli ni raiya wa nchi hiyo na huwa wanafanya mambo yao kwa maono hutaki unaacha.
Nafikiri hata waliposulubu,walisulubu kwa maono,na pia wanapomkataa yule msulubiwa,ni kwa maono,kwa hiyo na sisi tumkatae msulubiwa.
 
Kwani hiyo?

Hata Ethiopia kuna Wayahudi lakini ni Wa Ethiopia.

Uchumi mkubwa hapa duniani upo Marekani tu.

Na Marekani ndo taifa kubwa pekee hapa duniani.

Na Marekani inaipa misaada Israel.

Hivi unafahamu asili ya Bill Clinton na George Bush?
 
Muslim Arabs nations’ control of U.S. companies

[TABLE="class: MsoNormalTable, align: right"]
[TR]
[TD="width: 270"]


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sovereign Wealth Funds in six Persian Gulf countries – including Kuwait, the United Arab Emirates and Qatar – have now amassed $1.7 trillion, positioning them for attempts to control major banks and securities firms in the U.S.
The funds are ready to invest petrodollar earnings worldwide as their managers examine equity plays on businesses around the globe, Business Week reports.
Sovereign Wealth Funds in the Persian Gulf are comprised of government-controlled investment portfolios amassed largely as a result of the windfall profits from oil climbing to record highs.

Increasingly, U.S. investment bankers are traveling to the Middle East to meet what Business Week calls the “New Kings of Wall Street.” The fund managers include:




  • Bader M. Al Sa’ad is the managing director of the $213 billion asset Kuwait Investment Authority, a fund which has become the cornerstone investor in the Industrial and Commercial Bank of China, China’s largest commercial bank.


  • Sheikh Hamad bin Jassim bin Jabir Al-Thani is Qatar’s prime minister and head of the Qatar Investment Authority, a $50 billion investment fund that in September bought 20 percent of the London Stock Exchange.


  • Soud Ba’alawy, the executive chairman of Dubai Group, a financial conglomerate which includes the Dubai Investment Group that through Borse Dubai owns a 19.9 percent stake in Nasdaq, the second largest securities exchange in the U.S.
Among U.S. companies, including many of the largest banks and financial institutions, there are many candidates that now or soon may be more than willing to receive capital infusions from foreign sources, including Middle East Sovereign Wealth Funds.
The Wall Street Journal at the end of December published a list of U.S. companies with earning problems resulting from the sub-prime meltdown, the housing slowdown and the credit crunch experienced as the U.S. economy slowed down in the fourth quarter last year.
The Wall Street Journal list included:


  • Ambac Financial Group expected a $5.4 billion pretax write-down in the fourth quarter 2007 and planned to cut its quarterly dividend by two-thirds;


  • American International Group, or AIG, saw a $2.54 billion after-tax drop in the value of investments in assets that are backed at least in part by sub-prime mortgages;


  • J.P. Morgan Chase reported fourth quarter 2007 net earnings fell 34 percent as it recorded $1.3 billion in markdowns on sub-prime positions and saw higher credit costs;


  • Washington Mutual expected to record a fourth quarter 2007 loss on a $1.6 billion goodwill write-down on the value of its home loans business;


  • Wells Fargo announced that fourth quarter net income fell 38 percent on a $1.4 billion reserve for credit losses.


  • On the list were several financial institutions that have already showed up in the market exploring foreign investment capital, including Bank of America, Bear Stearns, Citigroup, Merrill Lynch and Morgan Stanley.
Equity investments by Sovereign Wealth Funds differ from traditional private or public investment in that the equity purchased is not owned by a private investor or public holder of listed common stock but by a foreign government that owns the stock as a government entity.
Foreign investments in U.S. companies are subject to approval from the Committee on Foreign Investment in the United States, or CIFUS, organized within the U.S. Treasury.
As WND reported, a national outrage broke out in 2006 when a Dubai company, Dubai Ports World, proposed to take over operation of some 22 U.S. ports, as part of an acquisition involving the London-based Peninsular & Oriental Steam Navigation.
In the closing months of last year, foreign investments announced to help major U.S. banks and financial institutions received, by comparison, almost no public outcry. Many believe that’s largely because the infusion of foreign capital was perceived by the public as necessary as troubled U.S. financial institutions scrambled to find capital required to continue operations under asset and reserve requirements.

SASA ANGALIA HAKUNA COMPANY HATA MOJA ILIYOKWENDA ISRAEL KUOMBA MSAADA WA KUPIGWA JEKI KWANI WENYEWE MASIKINI WA MUNGU TU...KAMA SIO KUSAIDIA NA WAMAREKANI HAKUNA ISRAEL.
LEO ISRAEL PRODUCTS ZAKE ZOTE HAZITOZWI USHURU ZIKIINGIA SOKO LA USA...WANASAIDIWA .KAMA WAO WANA CONTROL UCHUMI WEGESAIDIA SIO KUSAIDIWA.
NI UJINGA KUUONA ISRAEL KAMA TAIFA LENYE NGUVU SANA UKWELI NI SURROGATE NATION YA MAREKANI PALE MASHARIKI YA KATI
ISRAEL NI KAMA JIMBO TU LA USA LEO WAMERAKANI WAKIGOMA KUIPA MISAADA NA WAO KULIPA KODI ZAO ISRAEL NI KAPPUTY LABDA SASA ATAKUA GAIDI WA NUCLEAR
 

nani kasema msaada ni mdogo wakati 70% ya msaada wa marekani duniani unakwenda israel?
Vipi utasema msaada mdogo wakati bidhaa za uyahudi n tax free ziingiapo usa?
Ni masikini kama wengine wapo wachache wameukata wengi wamewekwa kwenye vijiji vya ujamaa kule wana viita kibutz.

HAIMO KATIKA NCHI ZILIZOENDELEA
 
Kwi kwi kwi kwi Watu wanadanganyana sana "Ustaadh Swaleh"


Kwa hiyo makao makuu ya hayo makampuni yote yako Israel?

Kama ni hivyo kwa nini sasa Israel haina uchumi mkubwa zaidi duniani?
 
Jamani wandugu sio uteule wa MUNGU... binadamu wote tu wateule kama wao,tupo sawa tu hawa wenzetu wali-invest mapema kwenye education walikuwa na viongozi wenye maono makubwa ya kibinadamu na wakawekeza kwenye knowledge na result yake ndo hii. hata sisi tukipata kiongozi sasa akafanya hivyohivyo baada ya miaka 100 wenzetu watasema TZ ni taifa teule!! Hebu tuache ujinga wa kudhani kuna mungu wa kuweka watu kwenye makundi..basi hatakuwa mungu atatumia jina lingine. Tunaposoma historia ya wayahudi tusiingize dhana ya uteule..kwani wakati huo hata huku kwetu kulikuwa na watu na viongozi wao lakini aina ya vipaumbele walivyoweka ndo vimetufikisha hapa..
 
LoL!!! Hahahahaha nipo bado nina huzuni kubwa ya kichapo cha team yetu #TeamBrazil 🙂🙂

Yaani we acha tu! Mi bado niko depressed kiaina.

Ila yataisha tu haya maumivu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…