Kumbe uchumi wote wa dunia umeshikwa na Israel?

Kumbe uchumi wote wa dunia umeshikwa na Israel?

Status
Not open for further replies.
Kweli mkuu..
We angalia mpaka sasa hivi Israel imeshaua waislamu zaidi ya 190, lakini wayahudi wamejeruhiwa hata sita hawafiki..
Pia usisahau kwamba mashambulizi ya safari hii yamesababishwa na Hamasi kuwateka vijana 3 wa Kiyahudi na kuwaua!
Kwa hiyo kwa hesabu yako ya 1=100, then 3=300, kwa hiyo 300-190=------, hahahha bado ngoma nzito.

ni kweli lakini sio ishu ya kufurahia kaka
 
Ujumbe huu wa kugomea kununua bidhaa zinazotokana na ISRAEL kupinga mashambulizi yanayoendelea sasa kule Gaza UMENIFANYA NIJUE KUMBE Uchumi wote wa Dunia UMESHIKWA NA ISRAEL!! shikamoo Israel.
______________
Shops & Clothing:
______________
- Starbucks
- Tesco
- M&S
- Disney Shop
- McDonalds
- Hugo Boss
- Sunglass Hut
- GAP
- Giorgio Armani
- Calvin Klein
- Ralph Lauren - Playtex
- Banana Republic
- River Island
- Timberland
______________
Drinks:
______________
- Coca Cola
- Fruitopia
- Fanta
- Kia Ora
- Lilt
- Sprite
- Sunkist
- Evian
- Volvic
- Nescafé
- Nesquik - Perrier
- Vittel
______________
Foods & Chocolates:
______________
- Nestle
- Maggi (Noodles)
- Buitoni
- Crosse & Blackwell
- KitKat
- MilkyBar
- Quality Street
- Smarties - After Eight - Aero
- Lion
- Polo
- Felix (Cat Food)
______________
Makeup/Perfumes & Health:
______________
- L'Oreal
- Clinique - DKNY
- Prescriptives - Origins - La Mer
- Bobbi Brown
- Tommy (Perfume)
- Bumble & Bumble
- Kate (Cream)
- Johnson & Johnson (Baby Oil)
- Huggies
- Garnier
______________
Others:
______________
- Arsenal Football Club
- AOL
- Time Warner Time Life Magazine
- CNN
- Barbie
- Intel - Motorola
- Kotex
- The Sun
- The Times
- Australian Newspapers
- National Geographic
- Star Channels (Indian)
- Sky
- Fox
- Nokia
- Standard Newspapers
- New York Post
- The Telegraphed
- Independent
Kuna uwezekano wa kugome vyote hivyo?au lazima tuishi chini ya himaya ya hawa jamaa?

umesahau na kushabikia timu ya Man United pia maana mmiliki wake ana asili ya Uyahudi kama ndio hivyo!
 
Ujumbe huu wa kugomea kununua bidhaa zinazotokana na ISRAEL kupinga mashambulizi yanayoendelea sasa kule Gaza UMENIFANYA NIJUE KUMBE Uchumi wote wa Dunia UMESHIKWA NA ISRAEL!! shikamoo Israel.
______________
Shops & Clothing:
______________
- Starbucks
- Tesco
- M&S
- Disney Shop
- McDonalds
- Hugo Boss
- Sunglass Hut
- GAP
- Giorgio Armani
- Calvin Klein
- Ralph Lauren - Playtex
- Banana Republic
- River Island
- Timberland
______________
Drinks:
______________
- Coca Cola
- Fruitopia
- Fanta
- Kia Ora
- Lilt
- Sprite
- Sunkist
- Evian
- Volvic
- Nescafé
- Nesquik - Perrier
- Vittel
______________
Foods & Chocolates:
______________
- Nestle
- Maggi (Noodles)
- Buitoni
- Crosse & Blackwell
- KitKat
- MilkyBar
- Quality Street
- Smarties - After Eight - Aero
- Lion
- Polo
- Felix (Cat Food)
______________
Makeup/Perfumes & Health:
______________
- L'Oreal
- Clinique - DKNY
- Prescriptives - Origins - La Mer
- Bobbi Brown
- Tommy (Perfume)
- Bumble & Bumble
- Kate (Cream)
- Johnson & Johnson (Baby Oil)
- Huggies
- Garnier
______________
Others:
______________
- Arsenal Football Club
- AOL
- Time Warner Time Life Magazine
- CNN
- Barbie
- Intel - Motorola
- Kotex
- The Sun
- The Times
- Australian Newspapers
- National Geographic
- Star Channels (Indian)
- Sky
- Fox
- Nokia
- Standard Newspapers
- New York Post
- The Telegraphed
- Independent
Kuna uwezekano wa kugome vyote hivyo?au lazima tuishi chini ya himaya ya hawa jamaa?
fafanua zaidi,na how exactly they own the world economy?
 
Waambie hao!

Manake sijui hata wanachokiongelea ni kitu gani.

Halafu, iweje Israel kama ndo inashikilia uchumi wa dunia ipewe misaada na Marekani?

Mkuu uchumi wa marekani unashikiliwa na muisraeli,ndio maana jambo lolote linalofanyika isael mmarekani anajihusisha direct,sio kwamba anapeleka msaada,ila anapeleka nyumbani,najua huwezi kuelewa,swaumu kali
 
ni kweli lakini sio ishu ya kufurahia kaka

Sio kwamba nafurahia mkuu..
Tatizo jamaa ni wabishi. Kuna mapendekezo yametolewa na Misri ili kusitisha mapigano, Israel wameyakubali, lakini wao hawataki, eti kufanya hivyo ni sawa na kusalimu amri.
Mtu kama kakuzidi nguvu kwa nn usikubali kwamba kakuzidi? Waache wachapwe!
 
Ujumbe huu wa kugomea kununua bidhaa zinazotokana na ISRAEL kupinga mashambulizi yanayoendelea sasa kule Gaza UMENIFANYA NIJUE KUMBE Uchumi wote wa Dunia UMESHIKWA NA ISRAEL!! shikamoo Israel.
______________
Shops & Clothing:
______________
- Starbucks
- Tesco
- M&S
- Disney Shop
- McDonalds
- Hugo Boss
- Sunglass Hut
- GAP
- Giorgio Armani
- Calvin Klein
- Ralph Lauren - Playtex
- Banana Republic
- River Island
- Timberland
______________
Drinks:
______________
- Coca Cola
- Fruitopia
- Fanta
- Kia Ora
- Lilt
- Sprite
- Sunkist
- Evian
- Volvic
- Nescafé
- Nesquik - Perrier
- Vittel
______________
Foods & Chocolates:
______________
- Nestle
- Maggi (Noodles)
- Buitoni
- Crosse & Blackwell
- KitKat
- MilkyBar
- Quality Street
- Smarties - After Eight - Aero
- Lion
- Polo
- Felix (Cat Food)
______________
Makeup/Perfumes & Health:
______________
- L'Oreal
- Clinique - DKNY
- Prescriptives - Origins - La Mer
- Bobbi Brown
- Tommy (Perfume)
- Bumble & Bumble
- Kate (Cream)
- Johnson & Johnson (Baby Oil)
- Huggies
- Garnier
______________
Others:
______________
- Arsenal Football Club
- AOL
- Time Warner Time Life Magazine
- CNN
- Barbie
- Intel - Motorola
- Kotex
- The Sun
- The Times
- Australian Newspapers
- National Geographic
- Star Channels (Indian)
- Sky
- Fox
- Nokia
- Standard Newspapers
- New York Post
- The Telegraphed
- Independent
Kuna uwezekano wa kugome vyote hivyo?au lazima tuishi chini ya himaya ya hawa jamaa?

mkuu umesahau Vimto.
 
Kweli ujinga ni ugonjwa sasa wewe upo manyoni huku tanzania mishipa inakutoka eti unashangilia israel ina uchumi mkubwa, sasa inakusaidia nini kama siyo kilema cha akili?
 
Sio kwamba nafurahia mkuu..
Tatizo jamaa ni wabishi. Kuna mapendekezo yametolewa na Misri ili kusitisha mapigano, Israel wameyakubali, lakini wao hawataki, eti kufanya hivyo ni sawa na kusalimu amri.
Mtu kama kakuzidi nguvu kwa nn usikubali kwamba kakuzidi? Waache wachapwe!

it doesnt work that way.
 
umesahau 'flash diski'...zile zile flashi ambazo umesave CV yako....halafu hata internet na kinga ya polio nasikia ni wao
 
Unajielewa (serious), ameshikilia uchumi wa Tanzania?

Hivi tunabishana nini? hayo mnayaeneza nyie wenyewe mitandaoni mkihamasisha waislamu wasinunue hizo bidhaa ili kuwakomoa wayahudi, hizo bidhaa ni baadhi tu na ni zili za matumizi ya kila siku, wakiwawekea dhahabu na makampuni ya mafuta mtaweza kuyanunua?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom