Kumbe uchumi wote wa dunia umeshikwa na Israel?

Status
Not open for further replies.

Exactly mkuu, I hate this inferiority complex shown here, people do not read at all, they just believe in what they are told. I have said it in another post it all boils down to research and development funds from the government more than 4% of their GDP is spend on research, highest in the world so naturally you would expect a lot from them!
 

Sawa kabisa mkuu ni kweli kabisa. Tatizo wengi wanatoa coments hapa nadhani wanaelewa tuu mother tongue zao maana hata kiswahili kimekuwa kigumu kwao kuelewa hapa. So usishangae mtu akapinga hili pia
 
Kwa hiyo?

Ndo unataka kunambia mungu anayakamata mabomu ya HAMAS yasiangukie huko Tel Aviv?

Kila mtu anajua sila za Israel nyingi ni za Kimarekani.

Na kwenye silaha conventional hapa duniani hakuna zaidi ya Mmarekani.

Nuff said.

Hizohizo za marekani zinatengenezwa na wao wayahudi..hata bomu la nyuklia lilitengenezwa na myahudi Einstern..hahaha
 

tense tatizo siyo spend ni spent!
 

Obama mwenyewe myahudi halafu mijitu humu mibishi sana.

Hata roman abromovich wa chelsea ni myahudi sema ana uraia wa russia..pia hata dogo wa facebook ni myahudi

Adhabu ya kugeuka Nyani ukiikojolea Koran

Hizohizo za marekani zinatengenezwa na wao wayahudi..hata bomu la nyuklia lilitengenezwa na myahudi Einstern..hahaha

Naona Division one za KANISA zinaongea.

Nashkuru Mungu nchi yangu haina kiongozi AKILI kuambiwa KIASI HIKI.
La si hivyo leo TZ tungerudi zile KARNE za Nyerere za kuvaa KANIKI na Kuficha mafuta ya ledigey usijeonekana na MGAMBO.
 
waongoze wasiongoze kwa uchumi duniani watu hao wanalaana ya muumba wa mbingu na ardhi siku ya mwisho jahanam ndio makazi yao
 
Tatizo tunaleta udini kushinda uhalisia..mwarabu hana historia kubwa katika nyanya ya sayansi ba teknolojia kumlinganisha na myahudi..huu ndo ukweli
 
hivi huu uzi umegeukaje kuwa wa kidini? dah! inaniuma sana wengine hapa ni ndugu ila hatujuani na ID fake zetu, lakini tunaishia kutukanana
 
Tatizo tunaleta udini kushinda uhalisia..mwarabu hana historia kubwa katika nyanya ya sayansi ba teknolojia kumlinganisha na myahudi..huu ndo ukweli

Mkuu yaani watu wengine wanaongozwa na hisia. Psychological wako na shida sasa wanashindwa kujua kuwa hata mada inahusu nn wanaleta hisia zao hapa. Ila hiyo yote inaonyesha ni jinsi gani wako na stereotype
 
mbona hukuweka Manchester united,chelsea,West Ham na Tottenham???ambazo wanaozimiliki wote wana asili ya kiyahudi???kumbuka R.Abramovic aliwahi toa 40m dollars kuisaidia govt ya Israel siku za nyuma...ni mrussian jew...

Roman Abromovic ni mrusi mwenye uyahudi kwenye damu yake. Wazazi wake ni wayahudi. Pia yeye ni chairman wa Federation of Jewish Communities of Russia. Yuko urusi lakini bado anaendesha movement za Kiyahudi ndani ya nchi hiyo. Na hakuna wa kumzingua. Serikali ya urusi iko kiganjani mwake.
 

Pia tukiachana na mmiliki wa Chelsea kuwa Mrusi-Myahudi wamiliki wa Manchester united familia ya Glazer ni Wamarekani-Wayahudi. Baba wa Malcon Glazer Mzee Abraham Glazer alihamia marekani kutoka Israel. Waisraeli wametawanyika kwenye mataifa makubwa duniani. Na ndio wanaendesha uchumi wa Dunia Indirectly.
 

Unadhalilisha sana hilo jina la Isike..
Isike hakuwa mjinga kama wewe!
 
Jews wako na akili mingi sana bila hivyo wasingeweza kuishi katikati ya maadui wao wa ukweli, cheki hapa chini wanavyodungua mdogo mdogo hawa watoto wa house girl wa Abraham

 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo makao makuu ya hayo makampuni yote yako Israel?

Kama ni hivyo kwa nini sasa Israel haina uchumi mkubwa zaidi duniani?

kwa sababu asilimia kubwa wa wayahudi hawaishi kwenye nchi yao (Israel)... wameshikilia nafasi nyeti za nchi mbalimbali duniani!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…