Kumbe uchumi wote wa dunia umeshikwa na Israel?

Kumbe uchumi wote wa dunia umeshikwa na Israel?

Status
Not open for further replies.
Yataisha tu Ustaadh Swaleh na #TeamBrazil itaanza mkakati wa kujisuka upya tayari kwa Copa America USA 2016 na Kombe la Dunia kule Russia 2018. Yule Babu Scolari wameshamtimua.

Yaani we acha tu! Mi badi niko depressed kiaina.

Ila yataisha tu haya maumivu!
 
Last edited by a moderator:
Kama Israel
inashika uchumi wa dunia iweje sasa uchumi mkubwa haupo Tel Aviv au
Jerusalem?
Wote na jamaa yako ni ma mburura wa kutupa mnazozana kwa dini za kuletwa na wakoloni! Waisraeli au Wasaudia washakuleteeni nini katika familia zenu? makalio yenu.
 
Wote na jamaa yako ni ma mburura wa kutupa mnazozana kwa dini za kuletwa na wakoloni! Waisraeli au Wasaudia washakuleteeni nini katika familia zenu? makalio yenu.

Wewe unaeabudu mizimu imeshakuletea nini?

Kumbuka Israel na Saudi Arabia zote ni nchi mpya. Moja imeanza 1932 moja imeanza 1945 or so.
 
hii list yako haileweke ! kuna kampuni na bidhaa zote umechanganya pamoja !
kwa mfano Nestle Food ni kampuni ya Kiswiss na ni yatokea 1800 huko !

Kotex ni kampuni ya Kikorea ya kutengeneza pedi za kina mama ! uzi wako una dalili ya uzushi au kutia chumvi ! Giorgio Armani ni Mbunifu wa Kiitali

kiongozi jitahid uache ubishi hao unao waona kama wataliano au cjui wapi ni mayahudi au hizo kampun hisa wanamiliki wao nyingi
 
Mark kazaliwa Marekani, kakulia Marekani, kasomea Marekani, anaongea kama Mmarekani, kampuni kaianzisha Marekani, makao makuu yake yapo Marekani, inalipa kodi Marekani.

Kisa tu yeye ana asili ya Kiyahudi hakumfanyi awe Myahudi. Ni kama ilivyo Obama. Obama ni Mmarekani, siyo Mkenya.


Sasa kama huyo Mark angezaliwa Israel, angekulia Israel, angesomea Israel, kampuni angeianzishia Israel, maka yake makuu yangekuwa Jerusalem, hapo ungekuwa na hoja.

broda hujui madai makubwa ya wapalestina ni kuwa wayahud ni wahamiaji kutoka ulaya? hawa watu awe amezaliwa popote pale dunian macho yke yote yapo Israeli na kwa taarifa yako huwez kuwa rais nchin Marekan bila kwanza hawa watu kukubali. wanamiliki vyombo vyote vya maamuzi sio Marekan ulaya mpaka Urusi hata hukoAmerica ya kusin na South africa.
 
Viber, Face Book, Whats app makampuni makubwa ya mafuta ni yao yananufaika na mafuta ya uarabuni ndio maana Osama alikuwa analalamika sana akataka kuipindua utawala wa kifalme wa saudi arabia aknyanganywa uraia. Hawa watu ni hataree. Romana abromovich siyo raia wa israel lakini ni myahudi kila pasover yupo jerusalem. Gooogle Sergei brim muanzilishi mmyahudi Pepsi pia ni yao. Taasisi za fedha zote pia ni zao. Hawa watu ukiwabariki utabarikiwa ukiwaalaani utalaaniwa tu. Angalia waarabu wanamuita israel adui wao namba moja lakini wnyewe kwa wenyewe wanauana kama kuku. Sasa hivi wanajeshi elfu thelathin wa saudi arabia wameweka kambi mpaka wa iraq na saudi arabia kuhofia ISIS kuingia kuwachinja waisilam wenzao. Cha kushangaza Msaudia yupo radhi kuwa rafiki na muisrael kuliko muislamu mwenzake Muirani. NI HATAREEEE HAWA WATU UKWELI UNAUMA TU watabakia sijui allah atalipizaatalipiza wapi na nyinyi kwa nyi hampendani.

KUwakumbusha tu. Wayahudi wote duniani wako milioni 17 na wote wanajiita kitu kimoja and their hoem land is ISrael.

Gd Bless Israel Yesuuuu Akbar Yesuuuu Akbar Yesuuuu Akbar. Hoo watasema sijui walimuua yesu swali linakuja na ni hao hao wayahudi akina petro yohana paula walituletea ukristo tutawapenda tu. Ukweli unauma:tongue:

Eeh utabishiwa tu.
 
Kweli ujinga ni ugonjwa sasa wewe upo manyoni huku tanzania mishipa inakutoka eti unashangilia israel ina uchumi mkubwa, sasa inakusaidia nini kama siyo kilema cha akili?

mitanzania sijui ina akili gani? Mtu kakazana eti taifa teule, taifa teule so what?
 
Mkuu yaani watu wengine wanaongozwa na hisia. Psychological wako na shida sasa wanashindwa kujua kuwa hata mada inahusu nn wanaleta hisia zao hapa. Ila hiyo yote inaonyesha ni jinsi gani wako na stereotype

Psychological ndio mnyama gani tena!
Halafu na hio stereotype ni sifa? Cheo? Au kashfa!

Hlafu We ndo unajiita mwalim mkuu!
Tehe tehhe tee!

Sasa ungekuwa tu mwalimu wa kawaida hali ingekuwa vipi sijui hapo shule ya parokia ya kusi.
 
Basi kama Israel inauza bidha kila nchi hapa duniani ingekuwa inaongoza kwa pato hapa duniani. Hiyo post haina ushahidi tupa kule

Una idea yoyote labda ya uchumi!!!.... bila shaka huna..... ungekuwa nayo usingejibu ulichojibu.... unajiaibisha...
 
GDP ya Israel ni ngapi?

Unaweza ukawa na GDP kuuuubwa lakini GDP PER CAPITA ikawa ndogo.... jipange upya.....GDP sio kipimo sio indicator significant for economy status.... kuna vitu vingi... GROSS NATIONAL SAVINGS...DOMESTIC INVESTMENT...HOUSING...MEDICAL AND HEALTH SERVICES.... UNEMPLOYMENT...INCOME DISTRIBUTION.... na nyingine nyingi....tuta choshana tu... ila kifupi GDP sio indicator inayoaminika katka kutabiri au kutambua hali ya uchumi wa nchi.... inaweza kukua kwa kupunguza thamani ya pesa....lakini kiukweli haujakuwa ...mfano GDP ya Tanzania by 2012 ilikuwa USD 28 BILS ....karibuni hapa unaambiwa ni USD 31 BILS ki akili ya KINDEZINDEZI utasema uchumi umekuwa ..lakini ni hola hamna kitu... moja ni mauzo ya gold, alomasi ambazo hata hazina faida kwa nchi yalipelekea GDP kupanda.... pili shilingi kushuka thamani leo USD 1 sio ile ya 2012... so ndufu yangu usijidanganye kukimbilia GDP...ni hayo tu...afu unilipe hii tuisheni
 
,,order order order orderrrrr,,,0 k , kibongobongo si yatusaidia nin?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom