Kumbe ukifikia kiwango hiki ndio unaitwa Malaya?

mwanzo wetu

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
1,581
Reaction score
462
Habari wakuu pole na majukumu ya uzalishaji.

Leo Mimi nimeshangaa Sana kukutana na wadada wa wili, mmoja nimemtafuna saa nne asubuhi na mwingine akaja Geto pia saa saba mchana na wote nikawatafuna kwa kiwango sahihi na ni kawa na perfomance nzuri tu.. hivi sitayari kiwango hiki ni chakuitwa Malaya, Kama uhuni ulivyo na kiwango tofauti tofauti. Je? Wewe mwenzangu pia unahisi uko ktk kiwango gani Cha Umalaya?

Tusemezanwe na tujuane viwango.
 
Una kazi?
 
Umesikia mama kasema kuna wagonjwa wangapi sasa wa wave 3?
Ni wagonjwa wa Covid-19 season Three Wapo zaidi ya 100.

Sio Ngwengwe hivyo huyu jamaa bado yupo mahali salama kwenye Gheto lake wanaingia kwa zamu maana hakuna mikusanyiko.
 
Ni wagonjwa wa Covid-19 season Three Wapo zaidi ya 100.

Sio Ngwengwe hivyo huyu jamaa bado yupo mahali salama kwenye Gheto lake maana hakuna mikusanyiko.
Ooooh kwahiyo hayupo kwenye hatari ya kuupata eenh kwa tabia hizi? Haya poa, kazi na iendelee
 
Ni wagonjwa wa Covid-19 season Three Wapo zaidi ya 100.

Sio Ngwengwe hivyo huyu jamaa bado yupo mahali salama kwenye Gheto lake maana hakuna mikusanyiko.
Nimefuata mwongozo wa WHO
 
Uzuri umalaya hauna tuzo na wala huwezi ukaja kuwasimulia watoto wako.
Tuzo la umalaya watoto wengi wakikomaa wewe unafanya zamu tu kuwatembelea leo huku kesho kule ukikamilisha mzunguko mmoja ni miaka miwili unaanza tena moja!
 
Umefanya vizuri kesho ongeza idadi qawe 7
 
Mmoja anaitwa Mzinifu,wawili na kuendelea wazinifu,pia wazinzi. Blaalifish!
 
Hongera Mkuu.

Endelea kuchakacha papuchi. Wewe ni jidume.

Ila wadudu watakapokuvamia usisite kujisifia pia unakunywa dozi kwa wakati.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…