Kumbe ukifikia kiwango hiki ndio unaitwa Malaya?

Wakati Rais anatangaza wagonjwa Tele wengine kwenye mitungi.

Na sisi JF tunao watu kama hawa
 
Binafsi naona umalaya hauna maana hata, wala sio ujanja ni ufala tu.
Ujanja ni kua na demu mkali hadi ukipita nae watu wanageuka kuwatizama au
Ujanja ni kua na demu ambae siwa kukupa tunda pekee bali pia awe demu wa faida, awe msaada kwako kwa sehemu moja ama nyingine kimaisha.

Ila kama ni kupalamia papuchi ovyoovyo huwa mwishoni ni majuto tu, let say mmoja kati ya hao wasichana ushatia mimba, unatasolve vip hiyo inshu kama sio kijitia matatizo na laana tu.
 
WEWE ULIJUAJE KUA WOTE UMEWATAFUNA KWA USAHIHI NA UMEPERFOM VIZURI?
NAFIKIRI HAO MADEMU NDIO WANAJUA KAMA ULIWATAFUNA KWA USAHIHI LAKINI SIO WEWE, WEWE UNAWEZA KUJISIFU HATA KAMA ULIKUA DHAIFU.
 
Hapo bado sana hujafikia kua malaya kazana kabisa maana kuna tuzo huko marekani ukatuwakilishe,ukishinda utakua umekua malaya wa uhakika.
 
WEWE ULIJUAJE KUA WOTE UMEWATAFUNA KWA USAHIHI NA UMEPERFOM VIZURI?
NAFIKIRI HAO MADEMU NDIO WANAJUA KAMA ULIWATAFUNA KWA USAHIHI LAKINI SIO WEWE, WEWE UNAWEZA KUJISIFU HATA KAMA ULIKUA DHAIFU.
Ukiona mkimaliza kutafunana mdada akajaza glass moja ya maji akanywa ujue apo umeshugulika effectively
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…