Kumbe ukifumaniwa hali inaweza kuwa kama hivi!

Kumbe ukifumaniwa hali inaweza kuwa kama hivi!

Ah wapiii, hii inaonyesha kabisa ilipangwa, mbona binti haonyeshi kuchanganyikiwa? Usipime kufumaniwa sio mchezo,jasho humtoka mtu sehemu kuna baridi ohoooo. Acha bana.
 
Wanaonekana hawako serious, huyu dada kama anatabasamu vile au wamekula deal yeye na mumewe ili wamchomoe pesa huyu bwana?
Hizi mbona ziko sana Bongo. Mwanamke anajilengesha kwako kimakusudi, anakuonesha kila dalili kuwa anapatikana japo ni ghali. Nawe unasema 'potelea mbali bwana, starehe gharama', unagharamia. Hapo anakuwa ameshahakikisha kuwa unazo hela za kujilipia ransom. Anafanya framing nzuri, anajifanya ati ni ma-romance anakufanyia ya kukuvua nguo zote ili ufaidi vizuri, wakati umepagawa ndio unadhani sasa ndio ule muda wa kufaidi umefika, unashangaa mlango unafunguliwa (hauvunjwi), wanaingia ndani na mapanga, video camera, na mkataba unaoonesha kuwa umeuza gari yako kwa mmoja wa wafumaniaji, hapo unaamriwa ukitaka kupona uusaini huo mkataba na kumpigia
mkeo simu kuwa akabidhi kadi ya gari kwa huyo atakayeenda kuichukua nyumbani kwako. Kwa kifupi ni kuwa gari utaitoa bure, lakini utakuwa umesaini mkataba kuwa umeiuza.
 
huyo mwanamke nadhani alikuwa na nyeeeeege kali....manake kavua haraka nguo zake kabla ya jamaa hajavua hata soksi...kaaaa!
 
Huu ulikuwa mchezo wa kuigiza? kwani mwanamke haoneshi wasiwasi kabisaa,manake movie za kibongo hazina uhalisia kabisa.

On top of that mwanaume kafumaniwa amefaa jinsi na shati lake vifungo vyote vimefungwa, itakuwa wamepozi tu wapige picha hamna fumanizi la kuvaa nguo, mda alipata wapi
 
Back
Top Bottom