dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ahsante ya kunywa energy!Hauna pesa ya kula unatupa asante ya nini?
Watu huwa tuna kunywa eneji na kulia Chapati kabisa, Mimi kila asubuhi lazima ninywe eneji Kwanza. Kuna vijana saidia fundi kwenye site za ujenzi huwa wanakula eneji na ugali kabisaa ๐๐๐Nimepiga energy ya azam yokeaa sa sita Hadi saas HV Wala hkn njaa nasikia
Nadhani kinywajji hiki iatasadia wengi
Ila tafadhalini usinywe Zaid ya mbili kwa siku
Leo Sina pesa kbsa ya kula
Asanteni
A
Tuambie tu umetumwa kutangaza biashara zao basi tutakuelewaNimepiga energy ya Azam tokea saa sita hadi sasa hivi wala hakuna njaa nasikia
Nadhani kinywaji hiki itasadia wengi Ila tafadhalini usinywe zaidi ya mbili kwa siku
Leo Sina pesa kabisa ya kula.
Asanteni
Red Bull sio sumu? Wa Bongo bhana ๐๐๐Sumu hiyo!! ๐ฅ๐ฅ๐ฎ
Walai vile sijui Kama nitatoboaa Hadi jioni naaanza KUWAZA mishaki ya Mia 200 mbili za hapo swaswa๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ pitia mishikaki na ndizi choma hapo mboriko...
Hpn mkuuTuambie tu umetumwa kutangaza biashara zao basi tutakuelewa
Uko serious mkuuntumie nambako niku mpesa
Ndio maana.nimejitokeza kuuza wazo la biasharaunakosa hela ya kula na unauza mawazo ya biashara mkuu