Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Tatizo pm huna jipya ni ujinga tu utaniambia πππIjumaa Kareem Bibie, nicheki pm basi π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo pm huna jipya ni ujinga tu utaniambia πππIjumaa Kareem Bibie, nicheki pm basi π
Moyo mwembamba na joto hili wanini sasa??Inatanua moyo. Achana nayo.
Njoo πππππTatizo pm huna jipya ni ujinga tu utaniambia πππ
Alipata cancer ya nini?Duuuh hiii ni hatari wakuu sababu namjua mshua m'moja alikuwa busy sana ni engineer alikuwa anatembea na carton ya Redbull kwenye gari hana hata muda wa kula sasa, mwishowe it was so sad alikufa kwa cancer..
Kuna ishara hizi. Research ya kawaida tu barabarani watu wameshika sana hizi mikononiMiak 10/25 baadae hospital zitakuw na wateja wengi walizalishwa na Energy
Najua ni ujinga tyuu!! πππNjoo πππππ
Mbona umetanguliza ujinga?
Wanaita kumtoa kikoa,Siyo umemtoa Kweli kafara
Nasikia pia inaongeza stamina kwa bed eti mkimix nanini Sijui!
Sinywagi hivyo vinywaji sweetheart...Nasikia pia inaonekana stamina eti mkimix nanini Sijui!
Noumaaa narobotatu
Kuna siku nimeinywa nikiwa mazoezini, walahi hazifai kbisa ingeniuaNimepiga energy ya Azam tokea saa sita hadi sasa hivi wala hakuna njaa nasikia
Nadhani kinywaji hiki itasadia wengi Ila tafadhalini usinywe zaidi ya mbili kwa siku
Leo Sina pesa kabisa ya kula.
Asanteni
Yeah Najua uko kamilii gadoo loπΊSinywagi hivyo vinywaji sweetheart...
Hivi mnayapendea nini? Humu kijijini baada ya miaka kuna watu watakuwa wachache sana
Wanakunywa kama maji
Aliwazalo Mjinga ndio linalomtokea πππNajua ni ujinga tyuu!! πππ
Nikufungulie uje ulete uzi uliombwa afu tatu π€£π€£π€£Aliwazalo Mjinga ndio linalomtokea πππ
Nipo mlangoni mwa PM yako hebu nifungulie nizame inside basi ππππ