Kwani Manyanza ukisema ww ndio saidia fundi mwenyewe nani atakupiga?? π€£π€£π€£Watu huwa tuna kunywa eneji na kulia Chapati kabisa, Mimi kila asubuhi lazima ninywe eneji Kwanza. Kuna vijana saidia fundi kwenye site za ujenzi huwa wanakula eneji na ugali kabisaa πππ
Mkuu hebu katafute hata mihogo ule , huwezi kushiba na chemicals hayo...ndio yale asemayo Prof JanabiNimepiga energy ya Azam tokea saa sita hadi sasa hivi wala hakuna njaa nasikia
Nadhani kinywaji hiki itasadia wengi Ila tafadhalini usinywe zaidi ya mbili kwa siku
Leo Sina pesa kabisa ya kula.
Asanteni
tuma namba ioπUko serious mkuu
Ila uzizidishe mkuu leo Sina njaa kabisaUtaskia hiyo ni sumu, ila hata mimi ni mpenzi wa energy drinks.
Janabi Ni tapeli yuleMkuu hebu katafute hata muihogo ule , huwezi kushiba ma chemicals hayo...ndio yale asemayo Prof Janabi
ππππππππ Nimecheka haki ya mungu umenichekesha mbayaUsikute ndio wazo la kibiashara unalouza.
Hakuna kitu Kama hcho mkuuInatanua moyo. Achana nayo.
Hahahahaha tapeli wa afya ?Janabi Ni tapeli yule
Wee tapeli bhntuma namba ioπ
ooh jaman oneni uyuWee tapeli bhn
Ndugu acha hii kitu, kuna fundi alifia kwangu ile siku kabla Idd baada tu ya kunywa Energy,Nimepiga energy ya Azam tokea saa sita hadi sasa hivi wala hakuna njaa nasikia
Nadhani kinywaji hiki itasadia wengi Ila tafadhalini usinywe zaidi ya mbili kwa siku
Leo Sina pesa kabisa ya kula.
Asanteni
Alikuwa amefunga?Ndugu acha hii kitu, kuna fundi alifia kwangu ile siku kabla Idd baada tu ya kunywa Energy,
Alikuwa anafanya kazi kwangu ya ujenzi muda wa kufuturu alikuwa anakunywa Azam Energy kabla hata ya kuimaliza tukaona mtu amekaa chini akilalamika anajisikia vibaya mwili hauna nguvu, anatokwa na jasho, ikabidi tumkimbize zaanati ya karibu ndipo tunapewa taarifa ameshaagana na roho, mpaka hivi leo siko sawa kabisa.
achana na hayo mavituNimepiga energy ya Azam tokea saa sita hadi sasa hivi wala hakuna njaa nasikia
Nadhani kinywaji hiki itasadia wengi Ila tafadhalini usinywe zaidi ya mbili kwa siku
Leo Sina pesa kabisa ya kula.
Asanteni
jichanganye udaiwe fidia. Umeuliza kwa nidhamu mnoππUko serious mkuu
Ijumaa Kareem Bibie, nicheki pm basi πKwani Manyanza ukisema ww ndio saidia fundi mwenyewe nani atakupiga?? π€£π€£π€£
Daaah mm naionaga tuu sijawahi kuwaza kuila..Walai vile sijui Kama nitatoboaa Hadi jioni naaanza KUWAZA mishaki ya Mia 200 mbili za hapo swaswa
YesAlikuwa amefunga?