Kumbe ukiwa chama cha upinzani unasahahu kusoma na kuandika

Kumbe ukiwa chama cha upinzani unasahahu kusoma na kuandika

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Nimetafakali na kuwaza sana zaidi ya wagombea elfu 16 za wagombea wa vyama vya upinzani walikosea kujaza form. Cha ajabu form hizo ziliandikwa kwa k Swahili. Lakini cha ajabu CCM walijaza kwa ufasaha wote.
Hii ndio sababu ya kuuliza hivi ukiingia champ chochote cha upinzani una sahahu hapo hapo kusoma na kuandika. Tafadhali kama unaujuzi au umefanya utafiti au una mawazo ya haraka naomba unijuze
 
Mitihani ya Taifa au benki watu wanakosea lakini wanasaidiwa kurekebisha makosa!
Ila kwenye uchaguzi wa viongozi muhimu maishani kukosea fomu ni kupoteza haki!
 
Nimetafakali na kuwaza sana zaidi ya wagombea elfu 16 za wagombea wa vyama vya upinzani walikosea kujaza form. Cha ajabu form hizo ziliandikwa kwa k Swahili. Lakini cha ajabu CCM walijaza kwa ufasaha wote.
Hii ndio sababu ya kuuliza hivi ukiingia champ chochote cha upinzani una sahahu hapo hapo kusoma na kuandika. Tafadhali kama unaujuzi au umefanya utafiti au una mawazo ya haraka naomba unijuze
We nae lazima utakuwa ni upinzani
 
Nimetafakali na kuwaza sana zaidi ya wagombea elfu 16 za wagombea wa vyama vya upinzani walikosea kujaza form. Cha ajabu form hizo ziliandikwa kwa k Swahili. Lakini cha ajabu CCM walijaza kwa ufasaha wote.
Hii ndio sababu ya kuuliza hivi ukiingia champ chochote cha upinzani una sahahu hapo hapo kusoma na kuandika. Tafadhali kama unaujuzi au umefanya utafiti au una mawazo ya haraka naomba unijuze
Mashetani lazima yajaze hata yakikosea kwao ni sawa shetani ni shetani tu.
 
Ni nani huyu anajiaminisha kwamba wapinzani hawana akili ya kujaza form?
 
Back
Top Bottom