Kumbe unaweza ukaitwa timu ya taifa ila ukawa unatumika kama Comedian

Kumbe unaweza ukaitwa timu ya taifa ila ukawa unatumika kama Comedian

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Sio wote wanaoitwa timu zao za taifa wanaenda kucheza, la hasha.

Wengine wanaitwa kama comedians ili kwenda kuwafurahisha wachezaji wengine.

Hivyo sio kila national team call up ni ya kufurahia nyie mashabiki mbumbumbu!

Edward Kumwembe alikuwa mbele ya muda. Alikuwa sahihi
 
Sio wote wanaoitwa timu zao za taifa wanaenda kucheza, la hasha.

Wengine wanaitwa kama comedians ili kwenda kuwafurahisha wachezaji wengine.

Hivyo sio kila national team call up ni ya kufurahia nyie mashabiki mbumbumbu!

Edward Kumwembe alikuwa mbele ya muda. Alikuwa sahihi
Msimu wa masika huu nadhani unajua kinachoendelea pale jangwani
 
Kwenye safari ya beach,wewe kiuno inabidi uwaachie masela,manake umekaa umbea umbea
 
Mnachukia baada ya kumzidi unenguaji mchezesha manyonyo wenu?
 
Back
Top Bottom