Kweli ukiwa na hasira unaweza ukapiga mtu risasi. Nimemsikiliza Mh. Mwakyembe akiongea na staff wa ATCL nikapandwa na hasira. Hii ni baada ya kulinganisha nilichokisikia kwenye Power Breakfast asubuhi ya leo na comments zilikonda za vilaza wa hicho kipindi. Mwanataaluma amekuja na facts ambazo kama ni Uchina tungekuwa tunauliza shimo la kutupia mizoga hiyo. Pamoja na utumbo mwingi walioufanya kwa kipindi hiki kifupi, Staff wawili wa ATCTL eti walikaa China mwezi mmoja na nusu kusimamia ushonwaji wa uniform 17 kwa gharama ya USD 49,900. Yaani ni wastani wa sh. 4.6 Mil kwa uniform. Sijajua zikoje..
Long live Dr. and stay blessed!! Sasa miezi ikisogea kimbia huko uje huku kwetu Peopleeeeeeeeez tumekuwekea nafasi.
Long live Dr. and stay blessed!! Sasa miezi ikisogea kimbia huko uje huku kwetu Peopleeeeeeeeez tumekuwekea nafasi.