Kumbe USA kama bongo tu, nilikua naogoopa

Kumbe USA kama bongo tu, nilikua naogoopa

USA baby ngoja aja mzee wa mimba USA baby ila mleta uzi acha mambo ya ki...
 
Hivi sio ya yule teja aliekua mbeya akajikuta u.s.a cha ajabu akabahatika kuona basi limeandikwa NBS, [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] bange bhana
 
Mafuta ya kulainisha miqunduh imepigwa marufuku. Wewe endelea kuvuta bange mqundun
 
Amerika ni kama bongo tu, bongo ukiwa na fweza zako huhitaji kwenda kwa racist.......
 
"Niaje Wazeiyaaaah...
Mko Bwaxx....

Ebana katika majukum yetu haya ya ukandarasi nikajikuta (nikabahatika) majuz kufika USA.
Nisiwe na porojo sana, ni kwamba the way nilivokua napackia palivo, maisha na kila kitu ni tofauti kabisa na nilivokuta.
yan hakuna toafuti na bongo.

Cku ya kwanza tu nafika nikashangaa mbona watu weusi ndio wengi huku???
Mbona wanaongea Kiswahili kama bongo tuu??

kama haitoshi hadi fedha wanayotumia ni Tanzanian Shillings.
Sio hivo tu, hadi bangi, mateja na miziki inayopigwa kwa radio statios na night clubs ni kama bongo tuuu

Yaani kifupi USA hakuna tofauti na bongo.
Kidoogo labda ka ubaridi kule kamezidi.

Sasa KILICHONIACHA HOI kabisa mpaka nikaamua kutype haya maneno ni kuwa:
Mpaka bank ya NMB ina tawi lake liko USA bana huwez amini.
Mimi nilidhani "USA River" ni pakishuua kumbe kama bongo Dar es salaam tuu."

Umenikosha mkuu
 
Back
Top Bottom