Kumbe Vannesa Mdee ni Kipofu/Haoni

baraka bb

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2016
Posts
2,691
Reaction score
3,884
sina mda wa kuwasalimu

Kupitia video fupi aliojirekodi mwana music wa zamani Vanessa mdee AKA vee money,,, Ametuambia kua yeye alipata tatzo la macho akiwa mdogo lilopelekea kutokuona kwake

Nawasilisha, usimcheke mtu jamaan watu walikuwaga wanamcheka macho yake kumbe bidada aoni[emoji848][emoji848]
 
Ok. Ana uoni hafifu, inawezekana hata mjulubeng wa jux alikuwa hauoni vizuri ndipo akamtafuta yule jamaa shombeshombe! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Wee nae mbona kama umekurupuka, umesikiliza mwenyewe alichosema au umehadithiwa
Amesema alipata tatizo mwaka 2015 lilipelekea upofu kwa jicho lake moja kwa hiyo jicho moja ndio halioni, hizo habari za tangia mtoto umezitoa wapi
 
Wee nae mbona kama umekurupuka, umesikiliza mwenyewe alichosema au umehadithiwa
Amesema alipata tatizo mwaka 2015 lilipelekea upofu kwa jicho lake moja kwa hiyo jicho moja ndio halioni, hizo habari za tangia mtoto umezitoa wapi
unanisuta wakati me nimenukuu tu maneno yake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi nimepaliwa khaaaah lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…