Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Sasa wakuu na wajuvi wa mambo, njooni mtujuze bia moja hapo Serena Hotel ni sh. ngapi? Halafu tugawe kwa nusu bei.
Huu ni uhuni mwingine toka kwa Makonda! Ilipaswa sehemu kama Tabata kuwe na walau na centre moja ya nusu bei, ukija Tegeta unapata centre pia, Ubungo hivyo hivyo na maeneo mengine ambayo yanaweza kufikika kwa urahisi na ambapo wanaishi wanamichezo halisi achana na wale mabwanyenye!
Ama kweli wajinga waliwao!
Huu ni uhuni mwingine toka kwa Makonda! Ilipaswa sehemu kama Tabata kuwe na walau na centre moja ya nusu bei, ukija Tegeta unapata centre pia, Ubungo hivyo hivyo na maeneo mengine ambayo yanaweza kufikika kwa urahisi na ambapo wanaishi wanamichezo halisi achana na wale mabwanyenye!
Ama kweli wajinga waliwao!