Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Wakuu hii threads haihusiani na masuala ya imani za kidini, ni katika kujiuliza tu; ni kwanini Wanyama hususani jamii ya nyani ambao ndio tunashabihiana nao sana, hawatumiwi sana katika tafiti za tiba kwa ajili ya kupata viungo vya kupandikizwa watu wenye mahitaji ya viungo kama; figo, moyo, ini, mapafu, macho nk ??, nikiwa katika hamu ya kujua jambo hilo nikabahatika kuingia kwenye mtandao na kuona; Indian journal of Urology, ambamo nakakuta "thesis" yenye kichwa cha habari hii; "The potential advantages of transplanting organs from pig to man".
Humo nikapata jibu la swali langu; kwanini jamii ya nyani haitumiki katika tafiti kupata viungo kwa ajili ya watu??--- jibu lilikuwa hili; (1) Risk of Virus and (2) most primates are classed as endangered species.--- hizo ndizo sababu kuu mbili jamii ya nyani hawatumiwi katika huo utafiti.
Badala yake nikaona maneno haya; "Pigs Organs are ANATOMICALLY similar to human organs".
Hapo nimejifunza kitu kwamba; viungo vya nguruwe bali hata nyama yake inashabihiana (similar in anatomy) na viungo na nyama ya mtu, hoja ni hii; je tukisema kula.nyama ya nguruwe na viungo vyake ni karibu (similar) na kula nyama ya mtu hapo itakuwa ni kosa??!.
NB: Tafiti bado zinaendelea ili kufanya viungo vya nguruwe visiwe rejected na recepient immune system kwasababu hicho hadi sasa ndio kikwazo kikubwa watafiti wamekuwa wakipambana nacho, waila katika jambo hilo kama watafiti watafanikiwa basi kitimoto atapanda thamani kubwa sana duniani kuliko hivi sasa anavyokuwa "cannibalised" na watu.
Nawasilisha.
Humo nikapata jibu la swali langu; kwanini jamii ya nyani haitumiki katika tafiti kupata viungo kwa ajili ya watu??--- jibu lilikuwa hili; (1) Risk of Virus and (2) most primates are classed as endangered species.--- hizo ndizo sababu kuu mbili jamii ya nyani hawatumiwi katika huo utafiti.
Badala yake nikaona maneno haya; "Pigs Organs are ANATOMICALLY similar to human organs".
Hapo nimejifunza kitu kwamba; viungo vya nguruwe bali hata nyama yake inashabihiana (similar in anatomy) na viungo na nyama ya mtu, hoja ni hii; je tukisema kula.nyama ya nguruwe na viungo vyake ni karibu (similar) na kula nyama ya mtu hapo itakuwa ni kosa??!.
NB: Tafiti bado zinaendelea ili kufanya viungo vya nguruwe visiwe rejected na recepient immune system kwasababu hicho hadi sasa ndio kikwazo kikubwa watafiti wamekuwa wakipambana nacho, waila katika jambo hilo kama watafiti watafanikiwa basi kitimoto atapanda thamani kubwa sana duniani kuliko hivi sasa anavyokuwa "cannibalised" na watu.
Nawasilisha.