Kumbe viungo (organs) vya nguruwe vinashabihiana na viungo vya binadamu !! 😱.

Kumbe viungo (organs) vya nguruwe vinashabihiana na viungo vya binadamu !! 😱.

Mokaze

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
14,370
Reaction score
14,929
Wakuu hii threads haihusiani na masuala ya imani za kidini, ni katika kujiuliza tu; ni kwanini Wanyama hususani jamii ya nyani ambao ndio tunashabihiana nao sana, hawatumiwi sana katika tafiti za tiba kwa ajili ya kupata viungo vya kupandikizwa watu wenye mahitaji ya viungo kama; figo, moyo, ini, mapafu, macho nk ??, nikiwa katika hamu ya kujua jambo hilo nikabahatika kuingia kwenye mtandao na kuona; Indian journal of Urology, ambamo nakakuta "thesis" yenye kichwa cha habari hii; "The potential advantages of transplanting organs from pig to man".

Humo nikapata jibu la swali langu; kwanini jamii ya nyani haitumiki katika tafiti kupata viungo kwa ajili ya watu??--- jibu lilikuwa hili; (1) Risk of Virus and (2) most primates are classed as endangered species.--- hizo ndizo sababu kuu mbili jamii ya nyani hawatumiwi katika huo utafiti.

Badala yake nikaona maneno haya; "Pigs Organs are ANATOMICALLY similar to human organs".

Hapo nimejifunza kitu kwamba; viungo vya nguruwe bali hata nyama yake inashabihiana (similar in anatomy) na viungo na nyama ya mtu, hoja ni hii; je tukisema kula.nyama ya nguruwe na viungo vyake ni karibu (similar) na kula nyama ya mtu hapo itakuwa ni kosa??!.

NB: Tafiti bado zinaendelea ili kufanya viungo vya nguruwe visiwe rejected na recepient immune system kwasababu hicho hadi sasa ndio kikwazo kikubwa watafiti wamekuwa wakipambana nacho, waila katika jambo hilo kama watafiti watafanikiwa basi kitimoto atapanda thamani kubwa sana duniani kuliko hivi sasa anavyokuwa "cannibalised" na watu.

Nawasilisha.
 
Bado wewe ni kinda kwenye mambo ya mtandao umejua nukta ya unachopaswa kutambua. Mpaka sasa binadamu anatumia lensi ya macho kutoka kwa nguruwe.

Watu wengi wenye upofu wa macho China wanawekewa nguruwe zaudi ya watu 5000 mpaka sasa 2022 wanebadikishiwa lensi
 
Bado wewe ni kinda kwenye mambo ya mtandao umejua nukta ya unachopaswa kutambua. Mpaka sasa binadamu anatumia lensi ya macho kutoka kwa nguruwe.
Watu wengi wenye upofu wa macho China wanawekewa nguruwe zaudi ya watu 5000 mpaka sasa 2022 wanebadikishiwa lensi
ohoo pamoja na hilo kumla siachi.
 
Wakuu hii threads haihusiani na masuala ya imani za kidini, ni katika kujiuliza tu; ni kwanini Wanyama hususani jamii ya nyani ambao ndio tunashabihiana nao sana, hawatumiwi sana katika tafiti za tiba kwa ajili ya kupata viungo vya kupandikizwa watu wenye mahitaji ya viungo kama; figo, moyo, ini, mapafu, macho nk ??, nikiwa katika hamu ya kujua jambo hilo nikabahatika kuingia kwenye mtandao na kuona; Indian journal of Urology, ambamo nakakuta "thesis" yenye kichwa cha habari hii; "The potential advantages of transplanting organs from pig to man".

Humo nikapata jibu la swali langu; kwanini jamii ya nyani haitumiki katika tafiti kupata viungo kwa ajili ya watu??--- jibu lilikuwa hili; (1) Risk of Virus and (2) most primates are classed as endangered species.--- hizo ndizo sababu kuu mbili jamii ya nyani hawatumiwi katika huo utafiti.

Badala yake nikaona maneno haya; "Pigs Organs are ANATOMICALLY similar to human organs".

Hapo nimejifunza kitu kwamba; viungo vya nguruwe bali hata nyama yake inashabihiana (similar in anatomy) na viungo na nyama ya mtu, hoja ni hii; je tukisema kula.nyama ya nguruwe na viungo vyake ni karibu (similar) na kula nyama ya mtu hapo itakuwa ni kosa??!.

NB: Tafiti bado zinaendelea ili kufanya viungo vya nguruwe visiwe rejected na recepient immune system kwasababu hicho hadi sasa ndio kikwazo kikubwa watafiti wamekuwa wakipambana nacho, waila katika jambo hilo kama watafiti watafanikiwa basi kitimoto atapanda thamani kubwa sana duniani kuliko hivi sasa anavyokuwa "cannibalised" na watu.

Nawasilisha.
Mkuu hiyo ni kweli kabisa,

Kuna siku nilibahatika kuona mbususu ya nguruwe,
Mkuu ni kama mbususu halisi ya binadamu,

Nilipata shida week nzima .
 
Mkuu hiyo ni kweli kabisa,

Kuna siku nilibahatika kuona mbususu ya nguruwe,
Mkuu ni kama mbususu halisi ya binadamu,

Nilipata shida week nzima .


Asante kwa ushuhuda lakini Pole sana kwa shida uliyopitia mkuu 🤣🤣
 
Waliokaa chini na kuandika hicho kitabu hawakuwa learned kiasi cha kuweza kubaini hayo.

Hivyo vitabu ni maandiko ya Mungu, unaposema walioandika hivyo vitabu sio learned ni sawa na kusema Mungu sio learned wakati elimu zote zenye manufaa zimetoka kwake na hata huyo nguruwe ni yeye aliyemuumba hivyo anamjua A to Z, juu ya yote mada-kuu inahusu tafiti za kisayansi kuhusu matumizi ya viungo vya nguruwe katika tiba (Xenotrasplants).
 
Waliokaa chini na kuandika hicho kitabu hawakuwa learned kiasi cha kuweza kubaini hayo.
Siyo kwamba baadhi, the likes of you, wanaokisoma kwa wenge, ndio wanavunga usomi kiasi cha kutotambua thamani yake? Where did you put your little brain, even?
 
Nguruwe alikuw binadam then alipo laniwa ndio akawa uyo mdudu
Wakuu hii threads haihusiani na masuala ya imani za kidini, ni katika kujiuliza tu; ni kwanini Wanyama hususani jamii ya nyani ambao ndio tunashabihiana nao sana, hawatumiwi sana katika tafiti za tiba kwa ajili ya kupata viungo vya kupandikizwa watu wenye mahitaji ya viungo kama; figo, moyo, ini, mapafu, macho nk ??, nikiwa katika hamu ya kujua jambo hilo nikabahatika kuingia kwenye mtandao na kuona; Indian journal of Urology, ambamo nakakuta "thesis" yenye kichwa cha habari hii; "The potential advantages of transplanting organs from pig to man".

Humo nikapata jibu la swali langu; kwanini jamii ya nyani haitumiki katika tafiti kupata viungo kwa ajili ya watu??--- jibu lilikuwa hili; (1) Risk of Virus and (2) most primates are classed as endangered species.--- hizo ndizo sababu kuu mbili jamii ya nyani hawatumiwi katika huo utafiti.

Badala yake nikaona maneno haya; "Pigs Organs are ANATOMICALLY similar to human organs".

Hapo nimejifunza kitu kwamba; viungo vya nguruwe bali hata nyama yake inashabihiana (similar in anatomy) na viungo na nyama ya mtu, hoja ni hii; je tukisema kula.nyama ya nguruwe na viungo vyake ni karibu (similar) na kula nyama ya mtu hapo itakuwa ni kosa??!.

NB: Tafiti bado zinaendelea ili kufanya viungo vya nguruwe visiwe rejected na recepient immune system kwasababu hicho hadi sasa ndio kikwazo kikubwa watafiti wamekuwa wakipambana nacho, waila katika jambo hilo kama watafiti watafanikiwa basi kitimoto atapanda thamani kubwa sana duniani kuliko hivi sasa anavyokuwa "cannibalised" na watu.

Nawasilisha.
 
Inawezekana,mbona moyo ulikubali kupandikizwa Kwa yule mzee
 
Je binadamu akimlala nguruwe maana yake atashika ujauzito pia...? Hili swaLi kipnd tuko shule ta msingi kuna mtu alimuuliza mwalimu mwalimu akagairisha kipindi pale pale hatukupewa majibu ndo nmekumbuka apa naomba kuuliza hilo swaLi na mm🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom