Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Baada Ya Wakimataifa Kujichimbia Kisiwani PEMBA- ZANZIBAR katika Eneo La Chake Chake Kujitayarisha Na Pambano lao Dhidi Ya Wekundu Wa Mzimbazi, Hatimae Baadhi Ya Viongozi Wao Waonekana Katika Kijiji Kimoja Kilichopo Mkoa Wa Kusini Pemba, Wailaya Ya Mkoani, Jimbo la Kiwani! Kijiji Hicho Kinaitwa Mwambe Chenye Wakazi Ambao 99% ni Wenye Asili Ya Kaskazini Unguja Wakijuilikana Maarufu Kama ni Watumbatu! Kijiji Hicho Ni Maarufu Kwa Waganga Wanaohusika Kuwafanyia Ushirikina Viongozi Mbali mbali Wa Kisiasa.
Wakimataifa Nao Mara Zote Wanazokuja Zanzibar Ni Lazima Viongozi Wao Wafike Katika Kijiji Hicho Hasa Nyakati Za Usiku ili Wasifahamike Kiurahisi Kwa Lengo La Kutumia Njia Za Kishirikina Kuroga Dhidi Ya Mchezo Wao na Simba! Na Ndiyo Maana Wakimataifa Huwaoni Kueka Kambi Unguja! Bali Ni Lazima Wake Kambi Pemba ili Kuwa Karibu Na Kijiji Hicho Chenye Waganga Wao.
Source: Ni mimi Mwenye Niliyekaribu na Maeneo Yao Ya Mazoezi Chake Chake ninaewaangalia Movements Zao Chafu Zote Usiku na Mchana.
Wakimataifa Nao Mara Zote Wanazokuja Zanzibar Ni Lazima Viongozi Wao Wafike Katika Kijiji Hicho Hasa Nyakati Za Usiku ili Wasifahamike Kiurahisi Kwa Lengo La Kutumia Njia Za Kishirikina Kuroga Dhidi Ya Mchezo Wao na Simba! Na Ndiyo Maana Wakimataifa Huwaoni Kueka Kambi Unguja! Bali Ni Lazima Wake Kambi Pemba ili Kuwa Karibu Na Kijiji Hicho Chenye Waganga Wao.
Source: Ni mimi Mwenye Niliyekaribu na Maeneo Yao Ya Mazoezi Chake Chake ninaewaangalia Movements Zao Chafu Zote Usiku na Mchana.