Kumbe Waarabu na Wahindi ni waoga wa polisi

Kumbe Waarabu na Wahindi ni waoga wa polisi

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni jambo lililozoeleka kusikia wabongo kutukanwa na kushushiwa vipigo kwenye baadhi za ofisi za wahindi na biashara, hali hii ilikuwa tofauti kwenye kiwanda flani cha waarabu.

Kuna siku Moja ya mabosi mwarabu alipishana kauli na mfanyakazi, kwenye kurushiana maneno muarabu jasiraa zilimpanda akampiga mbongo.

Kumbe mbongo ana ndugu yake polisi, defender ilikuja pale, aisee !! muarabu kuona vile aliruka ukuta hakuonekana wiki 2 simu kazima, Ilibidi ndugu zake wampooze aliepigwa yaishe chini ya kapeti.

Lakini nilitafakari sana ni kwanini ni ngumu sana kuwakuta waarabu na wahindi jela au kuona wana kesi mahakamani, Inavyoonekana hawataki kabisa kuwa kwenye 18 za vyombo vya sheria.
 
Ni jambo lililozoeleka kusikia wabongo kutukanwa na kushushiwa vipigo kwenye baadhi za ofisi za wahindi na biashara, hali hii ilikuwa tofauti kwenye kiwanda flani cha waarabu.

Kuna siku Moja ya mabosi mwarabu alipishana kauli na mfanyakazi, kwenye kurushiana maneno muarabu jasiraa zilimpanda akampiga mbongo.
Sawa....
Kumbe mbongo ana ndugu yake polisi, defender ilikuja pale, aisee !! muarabu kuona vile aliruka ukuta hakuonekana wiki 2 simu kazima.
Mmmmh sasa embu ngoja kidogo
Ilibidi ndugu zake wampooze aliepigwa yaishe chini ya kapeti
so kwa hilo tukio moja tu wewe ukaamini kabisa kwamba waarabu ni waoga wa polisi!
 
Unajua kwanini wanaogopa mapoti? Hawataki kwaro na gavoo kwa sbb most of em wanakuwa na mambo ya kimafia nyuma ya pazia so hawataki kujiexpose sana. Ndio maana hata mtaani wanapoishi hawachangamani na raia kama sisi. Mfano mmoja huu.
 
Ni jambo lililozoeleka kusikia wabongo kutukanwa na kushushiwa vipigo kwenye baadhi za ofisi za wahindi na biashara, hali hii ilikuwa tofauti kwenye kiwanda flani cha waarabu.

Kuna siku Moja ya mabosi mwarabu alipishana kauli na mfanyakazi, kwenye kurushiana maneno muarabu jasiraa zilimpanda akampiga mbongo.

Kumbe mbongo ana ndugu yake polisi, defender ilikuja pale, aisee !! muarabu kuona vile aliruka ukuta hakuonekana wiki 2 simu kazima.

Ilibidi ndugu zake wampooze aliepigwa yaishe chini ya kapeti
Wanajua wakilazwa selo ya wabongo lazima washerekee wamepata mwali mweupe😂😂😂
 
Ni jambo lililozoeleka kusikia wabongo kutukanwa na kushushiwa vipigo kwenye baadhi za ofisi za wahindi na biashara, hali hii ilikuwa tofauti kwenye kiwanda flani cha waarabu.

Kuna siku Moja ya mabosi mwarabu alipishana kauli na mfanyakazi, kwenye kurushiana maneno muarabu jasiraa zilimpanda akampiga mbongo.

Kumbe mbongo ana ndugu yake polisi, defender ilikuja pale, aisee !! muarabu kuona vile aliruka ukuta hakuonekana wiki 2 simu kazima.

Ilibidi ndugu zake wampooze aliepigwa yaishe chini ya kapeti
Sio wahindi tu mkuu, hata wamasai na wamang'ati ni waoga sana wa polisi.
 
Bora mwarabu, muhindi ndio hataki kabisa shida na jamhuri, huwa hawataki kabisa
 
Waarabu sina experience nao, ila wahindi ni waoga sana wa polisi. Kuna tukio lilitokeaga likihuaiaha muhindi na mbongo, sasa ile ishu ilibidi ifike polisi ili ifikie muafaka!

Muhindi baada ya kusikia neno POLISI, aliruka mita 100 akawa hataki kabisa kuhusisha pilisi, mwishoe akaamua kusamehe pesa yake!

Iisue ni kuwa alimpa bodaboda $300 apeleke sehemu, boda akaja kusema pesa imepeperuka na hakujua kama kapewa pesa (pesa iliwekwa kwenye bahasha ndogo ya khaki).

Muhindi kiswahili hajui, aliposhauriwa ampeleke bodaboda polisi hilo neno POLISI likamfanya asamehe hiyo $300
 
Back
Top Bottom