Kumbe wahaya ni wayaudi?

Kumbe wahaya ni wayaudi?

Hapo sina uhakika ila ukifuatilia majina hata ya waisraeli kwa Lugha ya kimasai yanaendana. Mfano Yakobo. Wao husema E yakobo. Maana yake mmoja atachukua. 2. Musa kwa kimasai Musana maana yake wa Zamani. Sinai maana yake Huzuni yangu. Sayuni wao husema Nyumba ya Sion kuna mambo ukifuatilia ni kama wanaendana ila sidhani kama itatufanya tuhakiki kuwa ni kabila moja maana mbona wao ni weusi
 
Wamasai ni wayahudi kweli,sasa kwanini wao weusi ni kwamba, wamasai walipopata watoto wenye ulemavu wa ngozi wazazi wa kiume walikuwa wakiwatupa,Lakini wamama waliwaficha mapangoni na kwenda kuwanyonyesha kwa siri,kwahiyo walipofika umri fulani walianza kukimbia kuelekea kaskazini kwenye hali ya ubaridi na Ndio wakawa wengi ndo hawa leo tunawaita weupe,na ndo maana unaambiwa masalia ya binadamu wa kale kabisa yalipatikana hapa kwetu,ndo ninavyoelewa
 
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no taifa linalo kula chakula maana ya ndizi sio nafaka wala mizizi ndo taifa linalopewa chakula toka mbinguni yaani mana(senene)maana hadi Leo Hakuna mtu anaye jua chimbuko la senene hivyo wahaya ni taifa teule
Na ndo taifa lenye maji mengi kuliko yote
 
Wamasai ni wayahudi kweli,sasa kwanini wao weusi ni kwamba, wamasai walipopata watoto wenye ulemavu wa ngozi wazazi wa kiume walikuwa wakiwatupa,Lakini wamama waliwaficha mapangoni na kwenda kuwanyonyesha kwa siri,kwahiyo walipofika umri fulani walianza kukimbia kuelekea kaskazini kwenye hali ya ubaridi na Ndio wakawa wengi ndo hawa leo tunawaita weupe,na ndo maana unaambiwa masalia ya binadamu wa kale kabisa yalipatikana hapa kwetu,ndo ninavyoelewa
Nimeanza kuelewa kwanini waafrika tuko nyuma kimaendeleo japo tuna kila kitu anachotumia mzungu (hata kiteknolojia pia maana aina zote za malighafi zinapatikana huku) Kumbe sisi mababu zetu (weusi) ni albino wa kale [emoji12] [emoji12] na walitupwa kwa ulemavu wao. Ndio maana hata watawala wetu wanakua na hasira na visasi kwa wingi. Sababu hua tunajihisi kudharauliwa kila wakati so mkubwa anamalizia hasira/chuki zake kwa mdogo maana asili yetu (uzunguni) walichukia spices yetu nyeusi
 
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no taifa linalo kula chakula maana ya ndizi sio nafaka wala mizizi ndo taifa linalopewa chakula toka mbinguni yaani mana(senene)maana hadi Leo Hakuna mtu anaye jua chimbuko la senene hivyo wahaya ni taifa teule
Naona unatupotosha,kabila linakuwa taifa
 
Back
Top Bottom