kumbe wahindi nao wanatutamani

Dah..una ngekewa na wahindi wewe, but why only indians?
iko siku utaingia kwenye 18 za mhindi hutaweza kuchomoka, wewe jisifie kwamba ni mjanja wa kula dola za wahindi na kusepa....ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu
 
Muindi wa tatu
Huyu tulikutana bankile ya wahindi hope mnaijua

wamaanisha Baroda bank?..............................lakini kumbuka hakuna free lunch.........................kuna siku utalipa kwa mtu mwingine.........................pale atakapo kukopa na ukakopesheka tena kilaini khalafu akaingia mtaani.......
 
Mimi nakwambia wale pesa yao, si wamezitoa kwa mapendekezo yao wenyewe. Hiyo ni dawa ya wanaopenda kucheat halafu sepa kama kawa, hawa huwa wanataka uroda tu they're not for commitment or longterm relationship.

long commtiment inatoka wapi na wao wana wake zao.....................au she ought to be looking for a second place..............
 
Yaelekea dada yangu mvuto wako upo kwa wahindi kwa kuwa sijasikia ukiwazungumzia watu weingine zaidi ya wahindi.
 
jamani yuko wapi smile aje ajibu shutuma hapa ............
 
jamani yuko wapi smile aje ajibu shutuma hapa ............
Kemcho bai toghocho,hani smile iko mimi bishangasingh chukua ,iko mimi na yeye toto smile furahi sana,mimi iko chukua yeye hamia purshotam gujarat,veve tog sema nini sasa,nyie golo pana honga,singh hongha,nee? Bebi smile kuja sogea mimi nunulia veve shea kampuni TATA,chikia veve toto juri?
 
jamani yuko wapi smile aje ajibu shutuma hapa ............

"Wana jamii forums wenzangu mbona mwauliza smile yuko wapi,wakati wengi wenu mmempa maneno makali?hamjaona post no 48? Nimetulia na Smile,tupo tuna smile na kupeana maneno mawili matatu...atajibu hoja zenu baadaye,tunaweka misingi kwanza!!
 
sema kweli nimecheka sana kwenye hii post, dah!!u made ma day mkuu bishangasingh a.k.a virusahastabuthe
 
we ni tapeli.
maana ka si tapeli usingekua unapokea na kutokomea.
labda ungezikataa au ungezipokea na kuwapa watakacho.
 
Hongera! ila vp hawatumii 'ndogo'?
 
umetupiga kamba ulivyokuwa unashift from one employment to another si rahisi sana kwa tanzania hii mara nyingi wadada mkiajiliwa mnakuwa miss ndio kila kitu kuogopa kuwa fired.
 
we zoea kula vya watu halafu unasepa,wengine vyao haviliwagi rafiki,shauri yako,kama ulikuwa huwapendi mbona hela zao ulichukua,au wewe ni degee, manake midegte ndo staili zao hzo
 
Ovyoo!! mwanaume mzima huoni aibu kujitapa ukuwadi? Kwani mwenyewe huna zana au.........?

 

Unafaa sana kwa usanii. Una kipaji!
 
tuliza hiyo nyet ww mbona unaweweseka it cmc that unapenda kuduu sema hapa unaonekana unahitaji experience ya wahindi kwa wenzio waliowahi duu na wahindi, dem t
 


hata kama uligawa huwezi sema humu koz sio sifa....shame up on u!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…