kumbe wahindi nao wanatutamani

kumbe wahindi nao wanatutamani

Wembe ni ule ule uliowanyoa,tumia mbinu zile zile tahadhari kubwa ni kuwa makini mbinu siku hizi zinabadilika. Nawe lazima ubadilike na maujanja yako ili usijefanyiwa kitendo ambacho hukukitarajia maishani mwako. Kunajamaa aliweka thread akasema kwakuwa dada anawasumbua watu wawili wanapanga kumbaka,vitu kama hivi sio katika ulimwengu1
 
Mmmmh, kula vichwa, kula vichwa.
Biashara asubuhi, mahesabu jioni
Na ujana maji ya moto

hata wasipokula wao, kuna siku utaliwa tu.
 
Madamex sasa unakuta mtu anataka longterm committment alafu kuna mtu alishapita I mean sio bikira) unajua kinachotokea na yeye anabandua anasepa!
Basi inakuwa ni mwendo wa kumega na kusepa so KAZI NI KWAKO
 
Kwani wahindi sio watu?
Wale wanapenda kama binadamu wengine, sema tu wao wamefungwa na mila na desturi zao.................
Mara nyingi huwageuza dada zetu nyumba ndogo.
 
Duh Smile ww bingwa wa kusepa na noti za Wahindi, kwa jinsi unavyo chukua pesa na kutimka kwa wahindi huku ukiwanyima KISUKARI NYAMA aka "K" yako.Wahenga walinena " kila mla cha mwenzake na chake huliwa" kuna siku utanasa kwa muhindi mjanja lazima akuchovye KIBAMIA chake.
 
ukipenda kula lazima na wewe uliwe so u better be careful na hao jamaa,utashangaa unatafunwa bila kujua cku moja ohooo..!
 
Muindi wa kwanza
Nilifanya kazi kwake miezi miwili tu.daah kweli mzee Yule alikuwa na visa
Nilikuwa receptionist,secretary,administration.accountant,kilakitu
Saa moja keshanifata nyumbani
Nilihisi dalili chafu cause kampuni ilikuwa kubwa kabisa (kampuni ya ujenzi) madereva ni wengi sijui kwa nini alikuwaananifata mwenyewe one day akatangaza nia nikamwambia nitampa jibu bazazi yule
One day kuna barabara tulijenga ilikuwa ni kuikabidhi nje ya mkoa.eti akaniambie twende wote
Nikamuambia sijajiandaa
Akanipa hela ya safari cause alinipa bila utaratibu na ilikuwa hela nyingi nikasepa zangu kwanza mateso ya paleyalishanichosha

Muindi wa pili
Nilikuwa nafanya kazikampuni ya madini huyu alikuwa ni mmoja wa wakurugenzi
Nilikuwa naishikwenye nyumba ya kampuni kwa iyo akaona ili mahusiano yetu yawe sirinihame pale maana ingekuwa soo kwa wahindi wenzake maana hata mashemejizake walikuwepo
Akanipa hela ya kupangisha nyumba kodi ya mwaka mzima nay a kununuakitanda na godoro na vitu vingine vidogodogo kiukweli alinipa hela ya nguvu by the time huu mchakato unaendelea miminilikuwa natafuta kazi sehemu zingine si mnajua wahindi walivo?
Basi baada ya kunipa hiyo hela akawa amesafiri kufata malipo yake huko china
Kipindi yupo huko nikawa nimepata kazi sehemu ingine
Nikaondoka zangu nikabadili na simu
Hata hajawaikunifatilia mpuuzi Yule


Muindi wa tatu
Huyu tulikutana bankile ya wahindi hope mnaijua
Huyu tukawa marafiki sana wa kawaida email simu kwasana.anadai ameozeshwa mke hampendi sijui nini na nini? Kiukweli mimi na mume wa mtu huwa siwezi
Nae nikala dola zake nikasepa
Sasa kuna mwingine tena naona anakoelekea sipo sitaki dhambi tenajamani nifanyeje?
au destiny yangu ni kwa wahindi jamani?
nb sijali wale mnaoattack thread za watu personaly hii ni jf where we dare to talk openly








You might be so cute than I first thought and who knows may be I am your destiny! embu ni PM faster ila angalizo !mimi sio muhindi wala mzungu,Pure Tanzanian
 
Kama kwenye category zako za mume unayemtaka,kuna asili hiyo kwanini ujiulize mara nyingi au kama kuna mwenye asili zinazokaribia,kama huna uhakika,jambo jema na kubwa ni kumshirikisha mungu mana ndo wakaribu kuliko yeyote au washirikishe watu waimani yako(shehe/padre/mchungaji),lakini majibu ya uhakika yako kwa mungu na wewe mwenyewe concecutively
 
Smile, mimi ninavyowafahamu wanaume wa kihindii, wanatetemekea sana wanawake wa kiafrika weupe na wanene kiasi. Huenda hiyo ndo shape yako ndo maana.
 
Hongera zako kwa kutokewa na Wahindi! Hiyo mihela uliyopewa na hao Wahindi wako, fungua kampuni ya ujenzi, utafanya kazi kwa Wahindi hadi lini?
 
Kupendwa nao haina maana kwamba utaolewa na Mhindi, inaonekana wanataka kupata tu uroda kutoka kwako hao sio waoaji. Inategemea muonekano wako na unavyojilengesha, kujilegeza na kuwarembulia macho na kukubali wanayokuambia na mawasiliano yako nao ya kimahaba. Umetuonyesha jinsi unavyokula vitu vyao na kusepa, sio vizuri kufanya hivyo kama hutaki usikubali kuchukua hela zao, zitakuja kukutokea puani siku moja chunga sana. Wahindi ni waoga sana kwenye maswala ya kutongoza mara nyingi wanawake wa kiswahili ndio wanajitongozesha kwao kwa kutaka pesa au kuunganishiwa na wanaume wa kiswahili, nawajua nina marafiki wengi sana wa kihindi na nimeshawahi kuwaunganishia sana mademu wa kiswahili na kunilipa pesa kibao.

Duu...ushauri umempa ni mzuri lakini kumbe wewe nawe kuwadi acha kabisa na wewe tabia mbaya hiyo...najua kama Fisi nafuata simba nyuma nyuma siku simba nakosa nyama nageukia Fisi namaliza klbisa ...take care
 
Muindi wa kwanza
Nilifanya kazi kwake miezi miwili tu.daah kweli mzee Yule alikuwa na visa
Nilikuwa receptionist,secretary,administration.accountant,kilakitu
Saa moja keshanifata nyumbani
Nilihisi dalili chafu cause kampuni ilikuwa kubwa kabisa (kampuni ya ujenzi) madereva ni wengi sijui kwa nini alikuwaananifata mwenyewe one day akatangaza nia nikamwambia nitampa jibu bazazi yule
One day kuna barabara tulijenga ilikuwa ni kuikabidhi nje ya mkoa.eti akaniambie twende wote
Nikamuambia sijajiandaa
Akanipa hela ya safari cause alinipa bila utaratibu na ilikuwa hela nyingi nikasepa zangu kwanza mateso ya paleyalishanichosha

Muindi wa pili
Nilikuwa nafanya kazikampuni ya madini huyu alikuwa ni mmoja wa wakurugenzi
Nilikuwa naishikwenye nyumba ya kampuni kwa iyo akaona ili mahusiano yetu yawe sirinihame pale maana ingekuwa soo kwa wahindi wenzake maana hata mashemejizake walikuwepo
Akanipa hela ya kupangisha nyumba kodi ya mwaka mzima nay a kununuakitanda na godoro na vitu vingine vidogodogo kiukweli alinipa hela ya nguvu by the time huu mchakato unaendelea miminilikuwa natafuta kazi sehemu zingine si mnajua wahindi walivo?
Basi baada ya kunipa hiyo hela akawa amesafiri kufata malipo yake huko china
Kipindi yupo huko nikawa nimepata kazi sehemu ingine
Nikaondoka zangu nikabadili na simu
Hata hajawaikunifatilia mpuuzi Yule


Muindi wa tatu
Huyu tulikutana bankile ya wahindi hope mnaijua
Huyu tukawa marafiki sana wa kawaida email simu kwasana.anadai ameozeshwa mke hampendi sijui nini na nini? Kiukweli mimi na mume wa mtu huwa siwezi
Nae nikala dola zake nikasepa
Sasa kuna mwingine tena naona anakoelekea sipo sitaki dhambi tenajamani nifanyeje?
au destiny yangu ni kwa wahindi jamani?
nb sijali wale mnaoattack thread za watu personaly hii ni jf where we dare to talk openly








Du, anti wewe unatisha. Hili promo ulilojipigia hapa, M net watakuchota sasa hivi. Utuambie basi na wachina walioku mind
 
mimi ni mbaya tu mkuu labda nimekaa kikafara kafara

Kama ni mbaya then lazima itakuwa unaonekana uko cheap sana ndio maana wanataka kukununua kwa bei chee! Kula hela za watu pia si suala la kujisifia hvyo jamani......
 
I see bora niongeze juhudi kabla sijaskia ushapelekwa Punjab!
 
Ila unataka kusema yaani wote hao hamna aliyefanikiwa hata siku moja. Basi utakuwa mjanja sana..ila kuwa na huruma usiwatese hivyo watoto wa wenzio nao ni watu.
 
Nakumbunguka siku ile ulikuwa unatafuta mtu wa kushare naye nyumba tena ulitaka mkaka, kumbe ilikuwa nyumba ya Mhindi au ulikuwa unatafuta ulinzi wa bure.
 
Back
Top Bottom