Kumbe wahindi walioteshwa kabla ya "babu"

Kumbe wahindi walioteshwa kabla ya "babu"

1. Sio mwizi wa technologia wala wa idea kwasababu miti yote unayoiona inatibu na watu wapo huru kujaribu kuitumia so as "babu"
2.Sijasema babu hatibu ila kumhusisha Mungu kwenye tiba yake kuna utata na hapa ni kuwa angesema yeye anatibu ila kwa nguvu za Mungu mgonjwa atapona yaani anamtegemea Mungu na sio kusema huwa wanapiga story kwenye usingizi na Mungu!
3.Ya tatu sijui kwakweli mtu anaeweza kuwa na moyo wa kuthubutu kusema anaongea na Mungu ni malaika au ni shetani ikiwa ni Binaadamu mmoja tu ndie aliepata kuongea na Mungu nae ni Nabii Musa Yesu na wengine Mungu alikuwa anamtumia roho mtakatifu/malaika gabriel kufikisha ujumbe hapa sijajua Yesu na Babu wa Loliondo nani zaidi akili yangu inakataa kukubali kuwa babu ni zaidi ya Yesu. Kwani hata Yesu amepata kunena
"[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake Yohana 5:37" Au Yesu katuingiza Chaka Babu ndio anajua zaidi?
[/FONT]

Mkuu!
shida ni contents za thread yako-kama wahindi na Kenya walishafanya uchunguzi na kuwa wanaujua mti huu kabla na ndicho ulichotaka watu wajue,sasa watu wanauliza then wa-relate vp na huyo babu wa liliondo??yaani out of that article of yours which conclusion should people make?Hiyo ya kwamba ile dawa ina madhara inaweza kuwa sahihi (lakini tunahitaji muda kulihakiki hilo),swali linabaki palepale sasa kwa thread yako uliyotoa mbona hakuna relation??no matter nini kizuri unachotaka kusema..kuna thread yako ulishaweka ambayo ulieleza sababu zako za kutoamini dawa ile ya babu (kuna logical ideas uliweka ambazo naamini zilikuwa strong),lakini hii ya leo mkuu if you calculate coiffient of correlation unapata zero mkuu!!!
 
Mkuu!
shida ni contents za thread yako-kama wahindi na Kenya walishafanya uchunguzi na kuwa wanaujua mti huu kabla na ndicho ulichotaka watu wajue,sasa watu wanauliza then wa-relate vp na huyo babu wa liliondo??yaani out of that article of yours which conclusion should people make?Hiyo ya kwamba ile dawa ina madhara inaweza kuwa sahihi (lakini tunahitaji muda kulihakiki hilo),swali linabaki palepale sasa kwa thread yako uliyotoa mbona hakuna relation??no matter nini kizuri unachotaka kusema..kuna thread yako ulishaweka ambayo ulieleza sababu zako za kutoamini dawa ile ya babu (kuna logical ideas uliweka ambazo naamini zilikuwa strong),lakini hii ya leo mkuu if you calculate coefficient of correlation unapata zero mkuu!!!

 
kuna watu humu jf wana maslahi na babu mmoja alidiklea akasema anatoa huduma ya usafiri wa kati ya arusha kwenda kwa babu nahisi hao wanaopiga chepuo na wao wanafaidika na huduma ya "babu"

yaani m.s huna chochote ila ni kwa sababu umemsikia babu ana uhusiani na ukristo,so huna laziada,hizo dwa zenu zimeshindwa kuwaponya watu kwa nini wasiende wanapopata msaada,,,,,,,,,,,,,kama swala la kuua sell zipo dawa nyingi tu zinazoua sell,kwa maombi ya babu sell hazifi na hiyo ndio tiba,,,,ukipenda utainywa usipoipenda utaendelea kuteseka babu hakuita mtu pale,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Miss Judith ndiye Mohammed Shossi wala msijisumbue nina uhakika 100%
 
mkuu shossi we need 100 more threads za babu bwahahahahaha ishadaddie mkuuu
Miss Judith ndiye Mohammed Shossi wala msijisumbue nina uhakika 100%

dam right niliogopa kusema
 
yaani m.s huna chochote ila ni kwa sababu umemsikia babu ana uhusiani na ukristo,so huna laziada,hizo dwa zenu zimeshindwa kuwaponya watu kwa nini wasiende wanapopata msaada,,,,,,,,,,,,,kama swala la kuua sell zipo dawa nyingi tu zinazoua sell,kwa maombi ya babu sell hazifi na hiyo ndio tiba,,,,ukipenda utainywa usipoipenda utaendelea kuteseka babu hakuita mtu pale,,,,,,,,,,,,,,,,

Ukristo wenyewe unamkataa babu pale Yesu aliposema "[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake Yohana 5:37" [/FONT]Ikiwa Mungu alimtumia roho mtakatifu/malaika gabriel iweje babu awe anapiga story na Mungu kwenye ndoto? Babu na Yesu inamaana babu ni zaidi? Tafakari mkuu,
 
Ukristo wenyewe unamkataa babu pale Yesu aliposema "[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake Yohana 5:37" [/FONT]Ikiwa Mungu alimtumia roho mtakatifu/malaika gabriel iweje babu awe anapiga story na Mungu kwenye ndoto? Babu na Yesu inamaana babu ni zaidi? Tafakari mkuu,

omeona ulivyokuja vizuri hahahah janja yote kwisha,,,,,ni kama sindano inapoingilia ndipo itokapo,,,,,,sasa shida yako nini?kama babu ni shetani na anakuponya ukimwi unaendelea na imani yako shida ikowapi,,,,,,?ACHA KAHAWA nenda kapate kikombe m s(huo utafiti ulifanywa lini babu anaijua bawa toka 1991
chukua hatua!
 
Ikiwa mnafahamu side effect za huo mti mbona hamuwaambii ndugu zetu wanaoenda kujiangamiza Loliondo? mbona Serikali imekaa kimya kwa muda mrefu maelfu ya watu wakienda kunywa dawa ya mmea ambao Muhimbili ilishawahi kuufanyia utafiti?

Bora kuwa slavery kuliko kukaa kimya ndungu zangu wakawa wanateketea kama kuku wa kideri.

Sitaki kuamini kwamba una matatizo ya uelewa wa mambo lakini ni dhahiri kwamba aliyekutuma kumshambulia babu amekufanya ushindwe kutumia bongo yako sawasawa.

Akili ya kawaida kabisa ingekusaidia kufahamu kwamba kama mti huo ulishafanyiwa utafiti ukaonekana una sumu lakini babu anautumia kutibu watu na wanapona, basi kuna nguvu ya ziada inayotenda kazi kupitia mti huo nayo ni nguvu ya Mungu.

Hata wizara ya afya juzi wametangaza matokeo ya uchunguzi wao na kukiri kwamba dawa hiyo haina madhara yoyote kwa afya ya binadamu, sasa wewe sijui unaongea nini hapa.

Maslahi binafsi? chuki binafsi? husda? Upeo wa maandiko matakatifu?? Umetumwa? unatumika bila kujifahamu?
 
Nilishasema mnajisumbua bure kumuelimisha huyu, maslahi yake yamevurugika, Mohammed Shoss is 100% Miss Judith, i can bet 150 bucks!
 
Ukristo wenyewe unamkataa babu pale Yesu aliposema "[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake Yohana 5:37" [/FONT]Ikiwa Mungu alimtumia roho mtakatifu/malaika gabriel iweje babu awe anapiga story na Mungu kwenye ndoto? Babu na Yesu inamaana babu ni zaidi? Tafakari mkuu,
Hii Kwa Kweli Nimeipenda
 
Ukristo wenyewe unamkataa babu pale Yesu aliposema "[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake Yohana 5:37" [/FONT]Ikiwa Mungu alimtumia roho mtakatifu/malaika gabriel iweje babu awe anapiga story na Mungu kwenye ndoto? Babu na Yesu inamaana babu ni zaidi? Tafakari mkuu,

Huu ni uthibitisho tosha kwamba huifahamu Biblia, unaona unavyoisoma kwa makengeza, yani unalazimisha Biblia ikusupport badala ya kuacha Biblia ikuongoze. Ni vizuri ukajikita kusoma quran manake naamini hapo ndipo unaweza kusaidika zaidi kuielewa vizuri dini yako kuliko kupoteza muda kutafuta mistari michache ya Biblia kukusaidia kupotosha tiba ya babu wa loliondo. Biblia inasomwa kwa uweza na nguvu ya Roho mtakatifu sio tu unakurupuka kama unavyosoma gazeti la al huda, matokeo yake ndo kuokoteza mistari usiyoifahamu maana na context yake unakuja kushadidia hoja ya hovyo kabisa namna hii.
 
Miss Judith ndiye Mohammed Shossi wala msijisumbue nina uhakika 100%
mwanaume kutumia jina la kike ni hatari manake with time unaweza develop tabia za kike akajikuta unatamani mambo flani ufanywe
 
ukute hata Wizara ya Afya ya Tanzania haikufanya uchunguzi wowote, ila tu ilishia kusoma hiyo report afu ikafikia kwenye hitimisho kuwa dawa hiyo haina madhara pasipo kutuambia kama inatibu au haitibu
 
Ukristo wenyewe unamkataa babu pale Yesu aliposema "[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake Yohana 5:37" [/FONT]Ikiwa Mungu alimtumia roho mtakatifu/malaika gabriel iweje babu awe anapiga story na Mungu kwenye ndoto? Babu na Yesu inamaana babu ni zaidi? Tafakari mkuu,


Nakupa ushauri wa bure tu, Biblia haisomwi kwa kukariri wala haisomwi ukiwa umekaa kwenye mkeka, endelea kusoma vitabu vya kukariri ambavyo umevizoea, Biblia inahitaji Bible knowledge kwanza kabla hujaanza kuisoma.
 
Ikiwa mnafahamu side effect za huo mti mbona hamuwaambii ndugu zetu wanaoenda kujiangamiza Loliondo? mbona Serikali imekaa kimya kwa muda mrefu maelfu ya watu wakienda kunywa dawa ya mmea ambao Muhimbili ilishawahi kuufanyia utafiti?

Bora kuwa slavery kuliko kukaa kimya ndungu zangu wakawa wanateketea kama kuku wa kideri.

serikali si ni juzi tu imesikika ikitoa taarifa kuwa dawa ya babu haina madhara? au niliota tu??
 
Ikiwa mnafahamu side effect za huo mti mbona hamuwaambii ndugu zetu wanaoenda kujiangamiza Loliondo? mbona Serikali imekaa kimya kwa muda mrefu maelfu ya watu wakienda kunywa dawa ya mmea ambao Muhimbili ilishawahi kuufanyia utafiti?

Bora kuwa slavery kuliko kukaa kimya ndungu zangu wakawa wanateketea kama kuku wa kideri.
Taarifa ya watu wa afya waliokwenda kupima wameeleza kwamba "Kwa kiasi (dozi/kikombe) cha dawa anachotoa babu, imethibitika kwamba dawa hiyo haina madhara kwa binadamu"
 
Nimekumbuka maneno ya busara ya kiingereza yanayosema "time will tell" kumbe huu mti anaoutumia "babu" kama kuoteshwa basi wahindi watakuwa walioteshwa kabla ya babu kwa habari zaidi gonga hii link. http://www.ijcpr.org/Vol2Issue3/211.pdf

Na Kenya nao hawapo nyuma.........

Magic herb' is well known to Kenyan scientists
The ‘magic herb' that has made thousands of people flock to remote Loliondo village in Tanzania was identified by Kenyan scientists four years ago as a cure for a drug-resistant strain of a sexually transmitted disease.
An expert on herbal medicine also said yesterday the herb is one of the most common traditional cures for many diseases. It is known as mtanda-mboo in Kiswahili and it has been used for the treatment of gonorrhoea among the Maasai, Samburu and Kikuyu.
The Kamba refer to it as mukawa or mutote and use it for chest pains, while the Nandi boil the leaves and bark to treat breast cancer, headache and chest pains.
Four years ago, local researchers turned to the plant for the treatment of a virus that causes herpes. Led by Dr Festus M Tolo of the Kenya Medical Research Institute (Kemri), the team from the University of Nairobi and the National Museums of Kenya found the herb could provide alternative remedy for herpes infections.
"An extract preparation from the roots of Carissa edulis, a medicinal plant locally growing in Kenya, has exhibited remarkable anti-herpes virus activity for both wild type and drug resistant strains," they reported in the Journal of Ethnopharmacolo gy.
No negative effects
"The mortality rate for mice treated with extract was also significantly reduced by between 70 and 90 per cent as compared with the infected untreated mice that exhibited 100 per cent mortality."
The researchers reported that the extract did not have any negative effects on the mice.
Mrs Grace Ngugi, head of economic ethnobotany at the National Museums of Kenya, said the plant was not poisonous as feared earlier.
Further studies have shown the plant to contain ingredients that make it a good diuretic. Diuretics are drugs used to increase the frequency of urination to remove excess fluid in the body, a condition that comes with medical conditions such as congestive heart failure, liver and kidney disease.
Some diuretics are also used for the treatment of high blood pressure. These drugs act on the kidneys to increase urine output, reducing the amount of fluid in the blood, which in turn lowers blood pressure.
A study at the Addis Ababa University in Ethiopia found the herb was a powerful diuretic. It is found in many parts of the country and is used to treat headache, rheumatism, gonorrhoea, syphilis and rabies, among other diseases.
The Ethiopians tested its potency on mice and found it increased the frequency of urination. This was more so when an extract from the bark of the root was used.
"These findings support the traditional use of Carissa spp. as a diuretic agent," write the researchers in the Journal of Alternative Medicine.
The Kemri study also isolated other compounds from the herb, including oleuropein, an immune booster, and lupeol. Lupeol, according to researchers from the University of Wisconsin, US, was found to act against cancerous cells in mice.
"We showed that lupeol possesses antitumor-promoting effects in a mouse and should be evaluated further," wrote Dr Mohammad Saleem , a dermatologist.
Mrs Ngugi said the herb was one of the most prevalent traditional cures and herbalists harvest roots, barks and even the fruits to make concoctions for many diseases.
"Among the Mbeere and Tharaka people where the fruit is called ngawa, the plant is used for the treatment of malaria. The fruits, when ripe, are eaten by both children and adults," she said.
enheee!
 
Back
Top Bottom