Kumbe walikuwa wanaumia na hoja ya kombe la looser ilikuwa ni kujifariji tu

Kumbe walikuwa wanaumia na hoja ya kombe la looser ilikuwa ni kujifariji tu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Makolo msimu huu wanatia huruma sana. Leo wanafurahi lakini kila siku humu wanasema hilo ni kombe la looser. Sasa kama ni kombe la looser, hiyo furaha inatoka wapi?

Wengine walipoona Yanga ametinga fainali, wakaanza kuipongeza ila sio kwa kupenda bali kwa kuumia na leo tumewajua.

Niwaulize tu mambo yakiwa tofauti hiyo June 3, mtaficha wapi sura zenu?

Nilitarajia leo muwaponde na waliopata ushindi dhidi ya Yanga kwasababu wanagombania kombe la looser.

Hakika mtateseka sana na msubiri tubebe kombe la ASFC muumie zaidi kwani nyie huu mwaka ni kama wafa maji tu hamna kikombe hata kimoja.
 
Kama ambavyo wewe inakuuma kukandwa, mlitamba sana na kale ka ma U.T.I kenu, eti hamtaki support yetu nakwamba nyie ni wadedili sana mnajiweza, matako yak...! Kumradhi, matokeo yake mmebinuliwa kama mandazi licha ya kutimiza masharti ya mganga wenu kumdhihaki mzee juma mgunda, likini utombile mmeinamishwa laivu, dah!
 
Kama ambavyo wewe inakuuma kukandwa, mlitamba sana na kale ka ma U.T.I kenu, eti hamtaki support yetu nakwamba nyie ni wadedili sana mnajiweza, matako yak...! Kumradhi, matokeo yake mmebinuliwa kama mandazi licha ya kutimiza masharti ya mganga wenu kumdhihaki mzee juma mgunda, likini utombile mmeinamishwa laivu, dah!
Roho zinawaumu sana jamani!! Sasa mtu anatukana wakati hajatukanwa?!
 
Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.

Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1

Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania. Kwa miaka mi tatu inacheza na
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.

Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao sio UNACHEZA na zalan, bamako na marumo unajisifu mkubwa, MATUSI, kelele, nk

YANGA SHUGHULI YETU IMEISHIA HAPO.
 
Mmepigwa Jana!hayo ya looser Muulize Manara Case closed.
 
MAUMIVU YAKIZIDI MUONE USM ALGER
نستينينطنينينينطنطنطنسمسمطننطينيننطننيHABIB HABIB
 
Mimi sio shabiki wa Azizi Ki au Fei toto, ila niwe mkweli ukinipa Azizi Ki na Andazi mi nitachagua Andazi
 
nadhani tutakubaliana aliyefungwa ni utopolo sio tanzania
 
Unatufokea sisi kwani sisi ndo akina IBRAHIM BENZAZA? Mlaumu huyo dogo kwa kuuzamisha zaidi ule mwiko kiasi kwamba hauonekani tena kwa nje.
 
Back
Top Bottom