Pre GE2025 Kumbe Walioenda kwa Mbowe walikuwa wamealikwa?

Pre GE2025 Kumbe Walioenda kwa Mbowe walikuwa wamealikwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanini kila wakati wa uchaguzi hutokea mavutano kwenye vyama pinzani?. Mfano Lipumba na Seif Sharif. Mzee wa mihogo na Ukawa.

Sasahivi Mbowe na Lissu hapa watakao umia ni Chadema wakati ccm inajipanga kuiba kura na. kubaki madarakani.
 
Mbowe aliwaandalia pilau na maandazi wenyeviti aliowaweka yeye mikoani na kujifanya wanaenda kumuomba agombee uwenyekiti wakati ni uwongo.
 
Kwanini kila wakati wa uchaguzi hutokea mavutano kwenye vyama pinzani?. Mfano Lipumba na Seif Sharif. Mzee wa mihogo na Ukawa.

Sasahivi Mbowe na Lissu hapa watakao umia ni Chadema wakati ccm inajipanga kuiba kura na. kubaki madarakani.
Mmoja anakuwa tayari kanunuliwa na ccm...Mbowe ni bidhaa halali ya ccm
 
Kwanini kila wakati wa uchaguzi hutokea mavutano kwenye vyama pinzani?. Mfano Lipumba na Seif Sharif. Mzee wa mihogo na Ukawa.

Sasahivi Mbowe na Lissu hapa watakao umia ni Chadema wakati ccm inajipanga kuiba kura na. kubaki madarakani.
Vya upinzani Tanzania ni geresha tu, ila ni mpinzani namba moja Tanzania
 
Back
Top Bottom