KUMBE WANAJUA! Janja ya Raila na Kalonzo kurudi bungeni kinyemela yazimwa na IEBC!

KUMBE WANAJUA! Janja ya Raila na Kalonzo kurudi bungeni kinyemela yazimwa na IEBC!

Nadhani tuache mpaka hiyo ijumaa tuone mwisho wa hii saga ni nini maana tunaweza kusema sana humu na mwisho wake tukaja kuonekana ni watu tusiojua kutamka kuendana na hali halisi.
Ila Kenya wamepiga hatua kubwa sana kisiasa ambayo sisi Tanzania itatuchukua muda mrefu kuifikia.

Ni kweli kenya wamepiga hatua sana kwenye siasa na sheria. Sisi bado ubabaishaji ni mwingi na ndiyo unalinda watu.
 
Ninavyofahamu ni kuwa Kalonzo alishaweka jina lake kwenye orodha ya mwanzoni, kwa nini tena anaomba orodha itenguliwe?

Ipo kesi mahakamani ya teuzi hizo sasa bado wanatafuta kesi nyingine za kuwapiga stop. Hizo nafasi ni za wanawake, vilema na makundi maalumu yaliyosahaulika siyo ya kuimarisha wanasiasa ambao wananchi wamewakataa.
 
Mi ninachoona ni kwamba walikuwa wanatest zali la IEBC kama watasema futeni kesi mahakamani na tutaruhudu ombi lenu.
Kukataa ombi la CORD inahashiria tume imejipanga kujibu kesi yao hivyo lazima watakuwa wanaogopa.
 
Mi ninachoona ni kwamba walikuwa wanatest zali la IEBC kama watasema futeni kesi mahakamani na tutaruhudu ombi lenu.
Kukataa ombi la CORD inahashiria tume imejipanga kujibu kesi yao hivyo lazima watakuwa wanaogopa.

Majibu wamekwishakupewa na yamewaacha vinywa wazi. Wanajua wanawapotezea wapigakura haki yao ya kujichagulia viongozi wao.
 
Naona unanionea. Sijamtaja Kenyatta kwenye huu uzi sasa hayo makamasi yako yanatoka wapi?
Mpe za uso mkuu naona huyu hakujui!!

Sasa yeye anayeng'ang'ania RAO na mwenzake wavunje katiba ana nini kwao kama siyo mapenzi? Wakubali tu hii imekula kwao kutokana na timing zao kuwa mbovu kuliko ilivyokuwa inatarajiwa. Mwenzao alicheza game vizuri ndo maana akashinda. Hata kama uchaguzi ungerudiwa leo RAO jamani hashindi!!! Maana kwenye marudio Mumbi watapeleka kupiga kura hadi wagonjwa walioko vitandani (yaani hawajiwezi)!!!

Tunawatakia mapumziko mema ya miaka mitano. Kalonzo avumilie tu maana umri yeye bado unaruhusu atarudi tu mbona miaka mitano siyo kitu!!! Ila jamaa aliwaahidi angependa kufanya nao kazi sasa wamejiharibia wenyewe walau wangekubali kushindwa tu wakasubiri nafasi za sandakarawe!!
 
Unapoona mgombea Uraisi aliyeshindwa na kesi iko mahakamani lakini anaiandikia IEBC anataka atengue uteuzi wa maseneta na wabunge ili wajiweke yeye na kalonzo ujue "KUMBE WANAJUA" kesi yao haina mashiko hata chembe. Sasa IEBC imewazima kwenye hilo wanasubiria kilio kingine Ijumaa.

punguza mahaba mkuu,utaolewa bure bure hii habari nimeisoma dailynation na standard.sio kama unavajaribu kupotosha humu.jamaa wameomba kuifanyia mrekebisho list yao ya awali,lakini hakuna sehemu inaonyesha wanataka wajipachika wao(kalonzo,Raila)kumbuka namination list huwakilishwa kabla ya uchaguzi,pia kuna odm big wings kama henry kosgey,bett,sally gosgei,pia upande wa wiper kuna watu.labda wanatafuta jinsi ya kuwa acomodate hawa watu.ni jambo la ufinyu wa fikra kupindisha au ku edit habari kisa una mahaba na mtu flani.kumbuka vyanzo vya habari kutoka kenya tunavyo.wewe jidanganye mwenyewe lakini humu adanganywi mtu.angalizo mahaba yamezidi mkuu mpaka unajisahau na kuedit habari.hata kama unalipwa angalia ucje uka obwa ....
 
utapeli wa Raila umewaingia wengi humu kwenye jamvi wanafikiria ni mwanamapinduzi wa kweli. Wapigakura knows him better and have sent him to retirement.

kama wizi na utapeli wa uhuru ulivyokuingia.wewe hata Raila akiretire umzidi lolote wala chochote,uwezi hata kumfikia house boy wake.punguza ukuwadi utaibika mwisho wa siku.
 
Naona unanionea. Sijamtaja Kenyatta kwenye huu uzi sasa hayo makamasi yako yanatoka wapi?

unajishushia sana tu.utakuwale wanaolipwa na jubilee kueneza propaganda mtandaoni.haya fanya kazi uliotumwa na masters wako.umekuwa slave kiasi cha kujidhalisha kiasi hiki.
 
punguza mahaba mkuu,utaolewa bure bure hii habari nimeisoma dailynation na standard.sio kama unavajaribu kupotosha humu.jamaa wameomba kuifanyia mrekebisho list yao ya awali,lakini hakuna sehemu inaonyesha wanataka wajipachika wao(kalonzo,Raila)kumbuka namination list huwakilishwa kabla ya uchaguzi,pia kuna odm big wings kama henry kosgey,bett,sally gosgei,pia upande wa wiper kuna watu.labda wanatafuta jinsi ya kuwa acomodate hawa watu.ni jambo la ufinyu wa fikra kupindisha au ku edit habari kisa una mahaba na mtu flani.kumbuka vyanzo vya habari kutoka kenya tunavyo.wewe jidanganye mwenyewe lakini humu adanganywi mtu.angalizo mahaba yamezidi mkuu mpaka unajisahau na kuedit habari.hata kama unalipwa angalia ucje uka obwa ....

tetea tu kama kuku mtetea lakini khhabari niliyonayo ndiyo hiyo. Hakuna mahaba kwenye kazi nzito kamahii ya kuelimisha umma.
 
unajishushia sana tu.utakuwale wanaolipwa na jubilee kueneza propaganda mtandaoni.haya fanya kazi uliotumwa na masters wako.umekuwa slave kiasi cha kujidhalisha kiasi hiki.

mjumbe hauwawi ni magazeti yao ndiyo yanatupasha khabari. Kama kuripoti ni kujidhalilisha basi wacha tu na iwe. After all, my body is brimming with maggots feeding sweetly on me. How then can I be glorified or even respected? I am worthless since the day I was born and sticking to the truth is the only path for my salvation of GOD!
 
kama wizi na utapeli wa uhuru ulivyokuingia.wewe hata Raila akiretire umzidi lolote wala chochote,uwezi hata kumfikia house boy wake.punguza ukuwadi utaibika mwisho wa siku.

Umesema kweli kabisa lakini ukweli wake lazioima miye kabwela niendelee kuaanika hadharani. Sina jinsi ndiyo kazi Muumba kanipangia.
 
punguza mahaba mkuu,utaolewa bure bure hii habari nimeisoma dailynation na standard.sio kama unavajaribu kupotosha humu.jamaa wameomba kuifanyia mrekebisho list yao ya awali,lakini hakuna sehemu inaonyesha wanataka wajipachika wao(kalonzo,Raila)kumbuka namination list huwakilishwa kabla ya uchaguzi,pia kuna odm big wings kama henry kosgey,bett,sally gosgei,pia upande wa wiper kuna watu.labda wanatafuta jinsi ya kuwa acomodate hawa watu.ni jambo la ufinyu wa fikra kupindisha au ku edit habari kisa una mahaba na mtu flani.kumbuka vyanzo vya habari kutoka kenya tunavyo.wewe jidanganye mwenyewe lakini humu adanganywi mtu.angalizo mahaba yamezidi mkuu mpaka unajisahau na kuedit habari.hata kama unalipwa angalia ucje uka obwa ....

kwa upeo huu hizi divisheni ziro naona zitaendelea kuongezeka. Reasoning capacity is really blank when you see the fool resorting to insults, deviating completely away from the subject at hand. It is shocking!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom