Kumbe Wanaohusishwa na Tukio la Bomu Arusha ni Askari Polisi??

Kumbe Wanaohusishwa na Tukio la Bomu Arusha ni Askari Polisi??

Can you support your notion with empirical evidence?
 
Maofisa wa Ubalozi wa U.A.E Wanalalamikia polisi kwa kutoa taarifa kwa vyombo vya Kimataifa vya habari na Wananchi wa Tanzania kupitia Waziri wa mambo ya ndani Dk Emmanuel Nchimbi kuwa raia wao wanahusika na tukio la Uhalifu lililotokea Arusha.

Kimsingi wametoa muda kwa Serikali ya Tanzania kuwaachia raia hao kwani nchi hiyo inaamini kuwa hawahusiki kwa namna yeyote na tukio la Arusha na kwamba kukamatwa kwao ni kinyume cha taratibu za sheria za Kimataifa.

Taarifa zinadai kuwa watuhumiwa wawili kati ya hao ni "ASKARI POLISI"wa nchi hiyo ya Falme za Kiarabu na Mwenzao mmoja ni Ofisa wa Ushuru wa Forodha wakati raia wa Saud anayeishi U.A.E ni mtaalamu wa maswala ya Moto.

Taarifa zinaonyesha kuwa vijana hao ambao wote ni watumishi wa Serikali waliwasili Jumatano iliyopita kwa likizo fupi ya kutembelea nchi za Afrika Mashariki na walitarajiwa kurejea U.A.E alhamisi wiki hii.

Taarifa zaidi zinabainisha kuwa baada ya kuwasili Tanzania na kutembelea jijini Dar es salaam kwa siku mbili vijana hao waliwasili Arusha Jumamosi wakitumia gari dogo la rafiki yao ambae ni Mtanzania mwenye asili ya kiarabu na kufikia hoteli ya Aquiline iliyopo jirani na Kituo Kikuu cha Mabasi Jijini Arusha.

Usiku huo jumamosi taarifa zinaonyesha kuwa vijana hao walikwenda kustarehe katika Vilabu mbalimbali vya starehe wakihama kutoka Kilabu vitatu tofauti.ilipotimia saa 9 alfajiri walirejea ktk Hoteli waliyoifikia.

Asubuhi ya Jumapili ambayo kanisa ililipuliwa kwa Bomu vijana hao waluanza Maandalizi ya kwenda Nairobi nchini Kenya kumalizia ratiba yao ya Starehe ilioanzia Tanzania lakini kabla ya kuondoka ndipo walipo kamatwa.

TAARIFA ZAIDI:Soma gazeti la Raia mwema.

Hili naliona kama issue ya mauaji ya Padri Mushi kule Zanzibar, Polisi hawana majibu sahihi juu ya akina nani ni watuhumiwa. Their intelligence analysis possible use old framework "guessing" instead of facts. It is about time Tanzania Police to be a Police of professionals not "children of Police lines" school failures. Our Police institution needs reform, instead of having one Police organ, we should have different independent Police forces of different roles, say Said Mwema brigade, Hi-Tech Crime Police, Police force to safeguard tourism, etc. meaning watoto wa wakubwa waajiriwe na Said Mwema Bridage na Tanzanian gurus waajiriwe na hizo Polisi zilizobaki to realise efficiency and proficiency within Police work.
 
Yatasemwa mengi humu. Lakini nadhani hizi tafakuri mnazozisema hazitofautiani na mganga wa kinyeji. Nini kazi polisi na usalama wa taifa endapo watashindwa kutupatia ushahidi pasipo shaka kuhusu wahuni hao? Ninadhani kama mawanzo ndo ya jinsi hii, bila shaka tutagombana na mchina, mmarekani, m-drc, mkenya na kila mmoja ilmradi tusema tunatengamanishwa tunaonewa ghele/wivu na mambo kama hayo yasiyo na mshiko. Kwa kuwa mh pinda alishasema tuwaachie serikali wafanye kazi, basi tuwaache wafanyekazi ilmradi deadline isiwe indefite.
kuna fmaswali ya msingi sana ambayo hayajapata majibu ya sawa sawa...tukiassume waarabu wanahusika, target angekuwa balozi wa vatican na viongozi waandamizi wa kanisa! Bomu lingekuwa na uwezo wa kufunika eneo lote la kanisa...
Well target wamekuwa waumini, bomu lililotumika ni ndogo lengo hapa ilikuwa ni vitisho zaidi plus propaganda ya utengano wa udini kuendelezwa...in this case adui anaweza kuwa ndani ya serikali na vyombo vya dola, anaweza kuwa ni miongoni mwa viongozi wa kanisa kwani ilishawahi kutokea huko duniani, inawezekana ikawa ni mpango wa kutugawa watanzania ili waendelee kufaidi rasilimali zetu kwani wanajua kuwa tukiungana itakuwa mwisho wao...tafakuri pana inahitajika hapa...
 
Duuu, mkuu punguza jaziba, hadi nimecheka.
kaka wanakera kila nikituliza hasira hao hao polisi wanazipandisha tena. polisi gani hata shabaha ya kulenga mtu hawana juzi badala ya kupiga mwarifu wamepiga mtoto shenzi kabisa, na mimi ningekuwa waziri wa ulinzi wote nawabadilisha kuwa City wazoa taka.
 
kama tunaazima mashirika ya kijasusi ya nchi nyingine yatusaidie, hapa kila raia atafute mpango wake wa kujilinda nje ya serikali, ukitegemea serikali ni kama kulala mlango wazi.
 
kaka wanakera kila nikituliza hasira hao hao polisi wanazipandisha tena. polisi gani hata shabaha ya kulenga mtu hawana juzi badala ya kupiga mwarifu wamepiga mtoto shenzi kabisa, na mimi ningekuwa waziri wa ulinzi wote nawabadilisha kuwa City wazoa taka.
usitukumbushe msiba wa huyo mtoto,machozi yanatutoka,bado tuna huzuni,maskini,kila picha yake ikinijia sina furaha.
 
vyombo vyetu vya usalama hasa polisi wanasumbuliwa na tatizo la ilimu.
kweli wengi wao weledi wao ni wa kiwango cha chini sana,toka mwanzo nimekua nasema kwamba siamini kama hawa vijana wa kiarabu wanahusika,hata kijana ambrose yeye alimbeba mtuhumiwa bila kufahamu kwamba jamaa anakwenda kushambulia kanisa!
 
Si ajabu hapa polisi wanatumia mazoea kwamba kila ukimuona mwarabu jua kuna bomu kiunoni.
Binafsi naamini mipango ya ulipuaji arusha imepangwa hapa hapa kwetu na hakuna uhusiano na hao vijana wa kiarabu.

Coincidence imewaponza vijana hawa.
 
Yatasemwa mengi humu. Lakini nadhani hizi tafakuri mnazozisema hazitofautiani na mganga wa kinyeji. Nini kazi polisi na usalama wa taifa endapo watashindwa kutupatia ushahidi pasipo shaka kuhusu wahuni hao? Ninadhani kama mawanzo ndo ya jinsi hii, bila shaka tutagombana na mchina, mmarekani, m-drc, mkenya na kila mmoja ilmradi tusema tunatengamanishwa tunaonewa ghele/wivu na mambo kama hayo yasiyo na mshiko. Kwa kuwa mh pinda alishasema tuwaachie serikali wafanye kazi, basi tuwaache wafanyekazi ilmradi deadline isiwe indefite.
Mkuu unamwamini PINDA? Waliohusika na Utekaji wa Dr Ulimboka wako wapi? wamefanywa nini? What if PM mwenye ni sehemu ya Tatizo?...
 
mkuu unamwamini pinda? Waliohusika na utekaji wa dr ulimboka wako wapi? Wamefanywa nini? What if pm mwenye ni sehemu ya tatizo?...

jaribu kumwelewesha kaka pinda ni pinda kama ilivyopinda kwenye jina lake naye kilaza tu anapelekeshwa
 
Mimi najiuliza kitu kimoja na hule jamaa eti askari aliyemkamata jamaa aliyelipua bomu, ni bomu lipi hasa hilo? Maana mm naona km habari zinanichanganya, cuz nimesoma hizo habari za huyo jamaa katika magezeti ya udaku...eti "jamaa aliyemkamata mlipua bomu, kwa kumkimbiza, alafu eti walimkuta na mabomu mengine pia"
Sielewi hizi habari zimetoka wapi....mwenye enough information atujuze jamani..
 
haya bana tumwachie mungu atahukumu.
 
Swali la kujiuliza hapa je hawa raia walifuata taratibu zote za sheria kuja tanzania?...
Pia walipotaka kwenda kenya walishakamilisha taratibu zote??..au walitaka kuondoka tu kama vile unatoka tegeta unaenda ubungo??
Receptionist wa zamu katika hoteli hiyo anawaongeleaje wageni hao akihusianisha muda wa tukio katika siku hiyo??
Ikiwa serikali itaonyesha udhaifu katika hili basi tena!......

Kwani wewee Dada,kwa uelewa wako unadhani hizo process zinafanyika wapi ? Kanisani ?

Mipaka hiyo unayoisikia inakila kitu kwa mahitaji ya kuingia nchini na kutoka as well...

Kwani huo mpaka siku hizo za kabla na baada ya tukio hawakupita Wazungu wowoote ? Au wao ni dhambi kuwashuku ?

Hilo tukio ni " Inside job " maana kama Magaidi ambao tunawafahamu Duniani kama Marekani na vibaraka wao wangeamua kufanya shambulizi la ukweli hakuna mtu ambae angetoka pale kanisani
 
Back
Top Bottom