BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
SITAKI KUSEMA SANA, ROHO INANIUMA.😕🙁😕
Pole sana Mkuu George...lakini ukipenda na ukijua unapendwa ni raha iliyoje!...Those things we do when we're deep in love!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SITAKI KUSEMA SANA, ROHO INANIUMA.😕🙁😕
Ndugu yangu Fidel,
USHAINGIA KWENYE duka la perfumes ukaanza kujaribisha kila uionayo?
Mwisho wake unakuwaje?Nadhani unakuwa hujui tena ipi ni nzuri na ipi si mali kitu!Hivyo hivyo na mapenzi..ukizoea kuonjaonja utakuja kujikuta hata huelewi ladha ya penzi la kweli ni ipi.
Ukiskia kengele tulia na wako... acha kupenda mchuzi wa pilipili. kwa mama lishe.....kula nyumbani kwa mkeo.
kweli mkubwa ndio maana hata kuna duu wangu flan tuliachana sasa hivi ananiganda sana na tena mkanishauri hapa hapa, inja maana amecompare akaona bora kwangu kuliko huko alikoDogo Gudboy haya yapo sana mtu akiona mpya miyeyusho anarudi kwa yule yule wa zamani ndo maana iwa nasema mahawala iwa hawaachani kamwe. Yeah iwa tuna compare mapenzi na kila kitu mautundu kunako lazima uangalie je wanazidiana vp na yule Kigoma je huyu wa Lindi ana kosa nini.