Kumbe wasanii hawa ni ndugu ?

Lakini mbona kama hawapendi tujue!!!!!!
 
TE="mjasiliaupeo, post: 19194961, member: 137839"]Dokii ni Mkenya original, hao tini na richie ni mtu na kaka yake tena wa damu, ukichunguza kwa makini kuna mfanano sema tu kuna mmoja wao kajipodoa akapodoka.[/QUOTE]
Kama hujui kitu kaa kimya
 
Hongera zao na kwa wazazi wao.wangekua kina mwafulani kila siku tungekoma kwa mipicha
Watapost nini wakati hawana kiki hadi watu wanauliza tin white ni nani, dokii naye hana usanii wa maana labda rich mavoko.
Kupost nako kunahitaji uwe na cha kupost otherwise post zinakuwa hazina mvuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…