Kumbe Watanzania tuna uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa; USA siyo, kosa la "upotofu wa kauli" linaondoa heshima ya Rais Trump

Kumbe Watanzania tuna uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa; USA siyo, kosa la "upotofu wa kauli" linaondoa heshima ya Rais Trump

Ni kweli ulichokoandika, hao jamaa wanafana almost kila kitu, Trump ni mkurupukaji bahati nzuri yeye alizuiwa na misingi ya kuheshimu sheria na vyombo vya maamuzi waliyojiwekea wamarekani, sisi kwetu hilo halipo, wa kwetu anaharibu makusudi na hakuna wa kumzuia, yeye ndie kila kitu.

Mfano mbovu wa hilo, sasa hivi hapa kwetu kila mtu analazimishwa kuimba wimbo wa Chato hata kama hataki kuuimba, lakini inabidi kuimba tu kwasababu mwenye madaraka ana tabia kama za Trump na bahati mbaya hakuna chombo kingine cha kumbana asifanye anayofanya.

Hivyo Trump ameondolewa Marekani sio kwasababu ya maamuzi ya wapiga kura kwenye sanduku la kura pekee, lakini zaidi ni kwasababu taasisi walizoziweka zina misingi ya uhuru haziingiliani.

Kama hilo lingekuwepo hapa kwetu, hata huyu wa kwetu nina hakika muda huu ninaoandika hapa asingekuwa tena Rais wa nchi yetu, kinachombakisha madarakani ni misingi mibovu tuliyojiwekea kama taifa isiyoheshimu maamuzi ya wapiga kura, inayoasisiwa na Katiba mbovu tuliyonayo.
Si mna bunge na mahakama kwa ajili ya checks and balances,na serikali?
 
å Mimi mara nyingi humfananisha Rais Donald Trump wa Marekani na Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania kitabia na kwa staili yao ya uongozi.

å Kwa yanayotokea Marekani chanzo kikiwa ni tabia na mwenendo mbovu wa Rais Trump, laiti ingekuwa yanafanywa na kiongozi wa mojawapo wa nchi za dunia ya tatu kama Tanzania, hakika ingekuwa ni maafa makubwa.

å Hakuna ubishi kuwa Rais Donald Trump ana tabia na mwenendo wa viongozi wa nchi masikini za dunia ya tatu kama Tanzania na zingine. Wamerekani walifanya kosa kumpa madaraka makubwa ya Urais. Madhara yake ni hayo.

å Sisi Tanzania bila shaka, Magufuli ndiye Trump wetu. Chunguza kauli za Rais Magufuli za mara kwa mara ktk hotuba zake. Mara nyingi huwa zinabeba ujumbe wa kuhimiza ghasia toka kwa wafuasi wake dhidi ya wasio kuwa wafuasi wake.

å Lakini nini hutokea? Kwa kiwango kidogo sana huleta madhara. Hii ni tofauti na nchi kama Marekani ambako viongozi wanaaminika sana bila kujali wasemalo ni UKWELI au UONGO.

å Wafuasi wa Trump wanamwamini sana kwa kila litokalo ktk kinywa chake. Tukio la uvamizi wa Capitol Hill wiki jana ni matokeo ya kauli zake kwa wafuasi wake na wakafanya kweli sawsawa na maagizo ya kiongozi wao.

Sisi kumbe ni wavumilivu na waelewa sana.
Mkuu sisi siyo kwamba ni wavumilivu sana.

Hatuna tu cha KUFANYA. Tuko MATEKA. Hatuna NAMNA.
 
Sisi Ni wahanga wa polisiccm, ukijaribu utakutana na ama kifo, ukilema au jela
 
Mleta mada unakosea Sana kumfananisha Trump na Magufuli.

Trump was not a career politician yule ni mfanyabishara mkubwa, hafahamu siasa za Washington DC, hakuwa na uzoefu wowote ule wa uongozi kwa nafasi yeyote ile serikalini, hivyo matendo yake yalitokana tu na hisia za yale iyokuwa akiyaona sio sawa kwa wanasiasa wa marekani wanavyoyafanya.

Hata hivyo baadhi ya watu wanasema kuwa kafanya reforms nyingi Sana ambazo ni nzuri kwa manufaa ya uchumi wa Marekani, na kwa kudhihirisha hilo kapata kura zaidi ya Milioni 70, alikuwa na wafuasi twitter zaidi ya milioni 80. Huwezi ita mtu kama huyo mkurupukaji kama Trump ni mkurupukaji how come spare kura zaidi ya 70 million unataka kusema watu wote hao hawajitambui?? Unakosea.

Unapokuja kwa Magufuli yeye ni mzoefu wa siasa, ana uzoefu wa miaka 20 kwa nafasi ya Uwaziri, anafahamu vyema namna serikali inavyofanya kazi.

Reforms zake zinatokana na observation na pia experience yake kwa namna serikali inavyofanya kazi, huyu kwa mtu mvivu na mpiga dili hata weza kuwa rafiki yake kwakua refoms zake zimelenga kuondoa utamaduni wa muda mrefu uliokuwepo wa kufuja mali za uma.

Baada ya kusema hayo sioni ni kwa namna gani mleta mada umefikia na hitimisho lako hili.
 
Mbona hujamzungumzia yule mabaga fresh aliyewahimiza wafuasi wake waandamane na kisha wakamtolea nje,yeye naye anakuwa ni kiongozi wa aina gani?
Jitu zimaa huna hata aibu!!!
Wenzio waliobaki na akili kidogo wamejificha wewe unakuja na kahoja uchwaraaaa!
Chutama mkuu
 
Raisi Trump ni kiongozi Mzuri sema tuu ukiwa mkweli halafu wakati huo huo umezungukwa na kundi na wanafki kama obama bideni na nancy huwezi kufanya yako bila kuletewa unafki. Ili uwe kiongozi bora huko ulimwengu wa kwanza ( kama unavyoita) lazima uwe na mambo ya kinafiki ikiwamo kujihusisha na mambo yasio kuhusu ya mataifa mengine.
 
å Mimi mara nyingi humfananisha Rais Donald Trump wa Marekani na Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania kitabia na kwa staili yao ya uongozi.

å Kwa yanayotokea Marekani chanzo kikiwa ni tabia na mwenendo mbovu wa Rais Trump, laiti ingekuwa yanafanywa na kiongozi wa mojawapo wa nchi za dunia ya tatu kama Tanzania, hakika ingekuwa ni maafa makubwa.

å Hakuna ubishi kuwa Rais Donald Trump ana tabia na mwenendo wa viongozi wa nchi masikini za dunia ya tatu kama Tanzania na zingine. Wamerekani walifanya kosa kumpa madaraka makubwa ya Urais. Madhara yake ni hayo.

å Sisi Tanzania bila shaka, Magufuli ndiye Trump wetu. Chunguza kauli za Rais Magufuli za mara kwa mara ktk hotuba zake. Mara nyingi huwa zinabeba ujumbe wa kuhimiza ghasia toka kwa wafuasi wake dhidi ya wasio kuwa wafuasi wake.

å Lakini nini hutokea? Kwa kiwango kidogo sana huleta madhara. Hii ni tofauti na nchi kama Marekani ambako viongozi wanaaminika sana bila kujali wasemalo ni UKWELI au UONGO.

å Wafuasi wa Trump wanamwamini sana kwa kila litokalo ktk kinywa chake. Tukio la uvamizi wa Capitol Hill wiki jana ni matokeo ya kauli zake kwa wafuasi wake na wakafanya kweli sawsawa na maagizo ya kiongozi wao.

Sisi kumbe ni wavumilivu na waelewa sana.
Huko ni duaniani hakuna aliyejuu ya sheria, taifa kwanza mtu baadae
 
Raisi Trump ni kiongozi Mzuri sema tuu ukiwa mkweli halafu wakati huo huo umezungukwa na kundi na wanafki kama obama bideni na nancy huwezi kufanya yako bila kuletewa unafki. Ili uwe kiongozi bora huko ulimwengu wa kwanza ( kama unavyoita) lazima uwe na mambo ya kinafiki ikiwamo kujihusisha na mambo yasio kuhusu ya mataifa mengine.
Kweli jamaa ni bonge la kiongozi
 
Mleta mada unakosea Sana kumfananisha Trump na Magufuli.

Trump was not a career politician yule ni mfanyabishara mkubwa, hafahamu siasa za Washington DC, hakuwa na uzoefu wowote ule wa uongozi kwa nafasi yeyote ile serikalini, hivyo matendo yake yalitokana tu na hisia za yale iyokuwa akiyaona sio sawa kwa wanasiasa wa marekani wanavyoyafanya.

Hata hivyo baadhi ya watu wanasema kuwa kafanya reforms nyingi Sana ambazo ni nzuri kwa manufaa ya uchumi wa Marekani, na kwa kudhihirisha hilo kapata kura zaidi ya Milioni 70, alikuwa na wafuasi twitter zaidi ya milioni 80. Huwezi ita mtu kama huyo mkurupukaji kama Trump ni mkurupukaji how come spare kura zaidi ya 70 million unataka kusema watu wote hao hawajitambui?? Unakosea.

Unapokuja kwa Magufuli yeye ni mzoefu wa siasa, ana uzoefu wa miaka 20 kwa nafasi ya Uwaziri, anafahamu vyema namna serikali inavyofanya kazi.

Reforms zake zinatokana na observation na pia experience yake kwa namna serikali inavyofanya kazi, huyu kwa mtu mvivu na mpiga dili hata weza kuwa rafiki yake kwakua refoms zake zimelenga kuondoa utamaduni wa muda mrefu uliokuwepo wa kufuja mali za uma.

Baada ya kusema hayo sioni ni kwa namna gani mleta mada umefikia na hitimisho lako hili.

Kufanana kwa mtu, huwa siyo lazima wafanane kwa yote...

Trump vs Magufuli wanafanana kihulda na aina yao ya uongozi kwa zaidi ya 90%...

Wote;
å Wako high tempered
å Ni waongo
å Hujifanya wanajua kumbe hawajui
å Hawapimi madhara ya kauli zao
å Wanapenda madaraka na wanaweza kung'ang'ania kwa kadiri wawezavyo
å 2020 USA na Tanzania zilikuwa na chaguzi. Wote Trump & Magufuli walikuwa ni maRais wagombea wanao omba kuwa re - elected for their 2nd terms.
å Wote wameshindwa vibaya ktk chaguzi hizo
å Magufuli kwa sababu ya taasisi dhaifu za nchi ya Tanzania, akafanikiwa kufanya manipulation na kujishindisha. Here he is, "The president". Mwenzie Trump akajaribu kutumia njia kama za Magufuli ili abaki madarakani, kashindwa. Kwanini?
å Ni kwa sbb taifa la Marekani limejengwa ktk msingi wa taasisi imara, halimtegemei mtu kusimama bila kujali mtu huyo ni nani hata kama ni Rais na Amiri Jeshi mkuu..!
å Hitimisho la ujinga wake (Trump) mwenye akili na mtazamo ulio sawa na wa Magufuli, ilikuwa ni jaribio la ku - incite insurrection dhidi ya mamlaka halali ya kisiasa na serikali ya Marekani. Sasa anapata adhabu yake..
å Trump anaamini kuwa Marekani ni " yeye" na yeye ni "Marekani" kama ambavyo Magufuli anaamini yeye ndiye "serikali ya Tanzania" na serikali ya Tanzania ni "Magufuli". Lakini ukweli ni huu, " Serikali ya Marekani" ni watu wa Marekani na kamwe siyo Rais Trump kama tu ambavyo ilivyo hapa kuwa "serikali ya Tanzania" ni Watanzania na kamwe siyo "Rais Magufuli"..
 
Hivi kwanini hamlinganishi hao wamarekani walivyo na sisi tulivyo? badala yake mnalinganisha tu hiyo mifumo yao ya uongozi na yetu,hiyo mifumo yao inatokana na watu wao walivyo.
Sasa sisi tulivyo ni kinyume na hayo tunayoyasifia kwa wenzetu ila tunatamani mabadiliko na tuwe kama hao wenzetu ila sisi wenyewe hatutaki kubadilika.
 
Magufuli is running the country like a Mafia Don!! He demands total loyalty to his appointees and makes sure that whatever he decides is implemented irrespective of any implications!! Magufuli has also completely subordinated the Judiciary and the legislature, something that Trump failed to do during his four year tenure as POTUS ! Will Magufuli end the Trump way or may be worse; only time will tell!
Hii nchi inamiliki viwiwili vya watu wanaomiliki matiki kama VICHWA
 
For once i can see everyone today on this topic is on same page!! What is happening?? Are we at last seeing the true situation of this country?
If yes, what does the green legislature say? Whay does the judiciary say??
Are they all just after their salaries and allowances to the extent of tourturing their own citizens???
Where are the former Leaders-presidents! Vice Presidents! Prime Ministerd! Ministers!!!!
Where are our elites- the Professors, Doctors, lawyers, students!!
Have they all turned spectators????
 
Back
Top Bottom