Mkalibari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 659
- 399
Nopo ktk gari sasahivi nawaona akina mama wawili wamevaa nadhifu utadhani ni wasomi wakubwa na pia ni eafanya kazi ktk ofisi kubwa kabisa kumbe waapi.
Tatizo:mmoja anamwambia mwenzie kua meanae amefauru darasa la saba na amepata dovision one .
Mwingine anamwambia kua jana wameangalia kwenye mkada matokeo na wameona mtoto wa mdogo wake amepata mia mia masomo mawili na mengine amepata sabini sabini.
Mimi kwann nisicheke na kuandika post kama hii.
Tatizo:mmoja anamwambia mwenzie kua meanae amefauru darasa la saba na amepata dovision one .
Mwingine anamwambia kua jana wameangalia kwenye mkada matokeo na wameona mtoto wa mdogo wake amepata mia mia masomo mawili na mengine amepata sabini sabini.
Mimi kwann nisicheke na kuandika post kama hii.